Mtu akiwamua kukutukana sio lazima akatamka waziwazi! Iweje Lowassa akatae mdahalo nchini Tanzania halafu afanye interview na vyombo vya habari vya Kenya? Kama sio kuwaona Watanzania malofa ni nini?
Dah Mimi napenda mabadiliko ila ukweli jamaa siku zinavyizidi kwenda ndio anazidi kuchoka
Dah Mimi napenda mabadiliko ila ukweli jamaa siku zinavyizidi kwenda ndio anazidi kuchoka
Kwa siasa za Tz, mdahalo wala hausaidii kitu chochote kile katika kuwashawishi wapiga kura. kwa aina hii ya wapiga kura wa Tz??!! ambao kila kitu wanaweka ushabiki wa yanga na simba, huo mdahalo wa masaa mawili utasaidia nini kuweza kumbadirisha mpiga kura, ambaye hata kwenye mikutano anaenda tu na wala si kusikiliza sera, ni ushabiki tu. Na siasa zenyewe hizi za ulaghai.Watanzania lazima tuwe makini juu hili jambo,mdahalo ni jambo la msingi na ni rahisi kugundua mgombea gani anatosha.