Exclusive Interview with UKAWA's Edward Lowassa: I think I can be a President

Very Stupid comment, Interview kwa lugha ya kiingereza sababu wapiga kura wake ni Waingereza???????? By the way, hao watu wa Ulaya na America wote wanajua huyu jamaa ni mwizi tu na mla rushwa, hana jipya. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.

Ni ujuha kuropoka kama zuzu hapa kazi tu wakati hata kibarua huna pimbi wewe.
 
Haina tabu madamu nakuingiza paipu wewe endelea. Ila mara ingine nenda chooni kabla. Ona unavotoa mikimba sasa

Naendelea kumuingizia. Niheshim mimi ni baba yako nachepukia kwa mama yako, nitakuachia laana ohooo...
 
HA2HITAJI M2 BALI TUNAHITAJI MFUMO KIONGOZI..

Nianze kwa kusema ,duniani hakuna aliyemkamilifu tumejaa udhaifu mwingi ndiyo maana nadhani ndiyo sababu Mungu aliweka amri 10 na sheria zingine ndogondogo kulingana na wkt na uhitaji hii ni kuwabana watenda kaz katika nyumba yake kwa kila jambo muhimu wafanyalo ktk ktk utumishi wao na jamii yao kwa ujumla.

Hii imekuwa kiu ya watanzania kila uchaguzi na nchi nyingi za kiafrika kila uchaguz tukimsaka perfect man(mtu mkamilifu) ambaye kihalisi hayupo, sisemi tuweke yeyote bali tunapaswa kwanza tuamini kuwa hakuna aliyekamilika bali tuamini tunaweza kuwa na mfumo bora wenye kuwabana watu japo kutumika ktk masirahi mapana ya uma.

Ukitaka kujua uhalisi wa hoja hii fuatilia kila mgombea wako utagundua kuwa hakuna asiye na doa either kimaamuzi /kiutendaji ktk wizara/idara aliyowahi kuaminiwa.

Huwezi walaumu ni mfumo wetu uliosababisha haya kutuaminisha kuwa kuna mtu mkamilifu hivyo kumkabidhi mamlaka makubwa kimaamuzi kwa niaba ya taifa kitu ambacho wote tunakubali kuwa umefeli.Hii ni kutokana na ushahidi ulio wazi kuwa watu wamefanya maamuzi ya taifa kwa masrahi yao.

Ndiyo maana tunasema hatuhitaji mtu bali tunahitaji mfumo ongozi na siyo mtu mkamilifu ambaye hayupo.Mfumo huu msingi wake ni katba yenye masrahi mapana ya umma, ilakayotupa new structure(Muundo mpya) wa serikali yenye kuweka nguvu kubwa ya kimaamuzi kwa watu na sio mtu.

Leo utakuta tunawalaumu mawaziri/viongozi kuwa waliamua vibaya sio kosa lao they are actually expressing that they are human being thus, they are not perfect.

Maamuzi ya masuala ya umma yaamliwe /yachakatwe na wengi(wabunge wetu, wataalam wetu) ambapo maamuzi yote yatazingatia mazingira yote kiuchumi, kisiasa,kisheria nk.

Ukimuona Obama anatangaza kitu sio yeye bali wachumi na wataalam wote wameshachaka kuona masrahi mapana ndani ya uamuzi huo...

Binafsi naunga mkono jitihada zote zinazodai mabadiliko ndani ya nchi hii tukianza na katiba.

Watanzania hatuhitaji mtu tunahitaji mabadiliko ya mfumo mzima hasa katika maamuzi ya umma.
 
Back
Top Bottom