Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,227
Tunaomba mdahalo wa Lowassa na Magufuli ufanyike CITIZEN...
Mkuu media za Tanzania zina kasoro gani mpaka tufikie hatua ya kuamini WAGENI, msifikiri Mh.Magufuli hajui kuongea kingereza fasaha.