Exclusive Interview with UKAWA's Edward Lowassa: I think I can be a President

Exclusive Interview with UKAWA's Edward Lowassa: I think I can be a President

Daah mzee anaongea kingereza kizuri sn.
Tunaomba mdahalo uendeshwe kwa Kiingereza ili tuwapime uwezo wao kutuwakilisha kimataifa!! Hapa Solex fake atakuwa wa mwisho!!
 
Lowassa kwa mara nyingine anakiri wazi kuwa kujiunga kwake upinzani hakuhusiani na kuamini kile upinzani unaamini, bali ni kupinga kukatwa jina lake. Swali la msingi kabisa, kama ungepitishwa na CCM kuwa mgombea, ungesema haya unayoyasema leo kuhusu CCM? Edo kajikuta akitapatapa tu

Hujui kingereza.... Tulia dawa ikuingia wewe gamba
 
Lowasa yk vzr jmn sio mropokaji magupushap asiyejua ht rais wa libya
 
Mkuu media za Tanzania zina kasoro gani mpaka tufikie hatua ya kuamini WAGENI, msifikiri Mh.Magufuli hajui kuongea kingereza fasaha.

Kwaiyo unataka mdahalo uendeshwe na waandishi wa Sahara media, au Channel Ten, au TBC au Itv ambapo wakina Gondwe waligombea ubunge kwa CCM, je wanaweza kuwa fair?.. Au uongozwe na Maria Sarungu au Aidan wanavyoongoza sijui Mikikimikiki. Not really

Kenya kuna minded, objective people kama Julie Gichuru, Linus Kaikai etc... Hawa wana akili ya kufanya debate bila kutanguliza njaa zao
 
Ukawa Mnataka Mdahalo Wa Lowassa Na Magufuli Uwe Kwa Kiingereza Tena Citizen,hivi Ni Waulize Wangap Wanapata Access Ya Kuangalia Citizen Au Wangapi Wanajua Na Sio Tu Kujua Bali Kujua Vizuri Kiingereza?Nyie Wenyewe Mnasema Wapiga Kura Wenu Ni Mama Ntilie Na Madereva Bodaboda Hivi Hao Asilimia Kubwa Wanajua Kingereza?

Labda Watakaopiga Kura Ni Wakenya ILA Kama Kura Zitapigwa Na Watanzania Basi Dr. John Pombe Joseph Magufuli Ndiyo Rais Ajae au Mtarajiwa Wa Tanzania UTAKE USITAKE au UKUBALI UKATAE.
 
Kwaiyo unataka mdahalo uendeshwe na waandishi wa Sahara media, au Channel Ten, au TBC au Itv ambapo wakina Gondwe waligombea ubunge kwa CCM, je wanaweza kuwa fair?.. Au uongozwe na Maria Sarungu au Aidan wanavyoongoza sijui Mikikimikiki. Not really

Kenya kuna minded, objective people kama Julie Gichuru, Linus Kaikai etc... Hawa wana akili ya kufanya debate bila kutanguliza njaa zao

Mkuu Kwanini Msitumie Vituo Mnavoviamini Kama Azamtv Na Itv?Hivi Mnavotumia Citizen Leo Na Kuvikacha Vya Nyumbani Mnavijengea Picha Gani?Mnakataa Mdahalo Wa Tanzania Mnataka Mdahalo Wa Kenya Tena Kwa Kiingereza Hivi Kwani Uchaguzi Unafanyika Kenya?Hata Kama Hamuwaamini Waandishi Wa Hapa Bongo Kwanini Msisuggest Mwandindi Mnayemwamini Aendeshe Huo Mdahalo?
 
Safiiiiiiii



Yeah kamanda...!!!👏👏👏✌✌✌

Lowassa is our BEST PRESIDENT to come...!!!

CCM = Vultures...!!!

CCM hawana huruma na CHOCHOTE NCHI HII...!!! hata kidogo..!!
 
Lowassa kwa mara nyingine anakiri wazi kuwa kujiunga kwake upinzani hakuhusiani na kuamini kile upinzani unaamini, bali ni kupinga kukatwa jina lake. Swali la msingi kabisa, kama ungepitishwa na CCM kuwa mgombea, ungesema haya unayoyasema leo kuhusu CCM? Edo kajikuta akitapatapa tu

Yawezekana kingereza kinakupiga chenga mkuu. Tukusaidie wapi kutafasili ili uhelewe. Ila edo akiapishwa lazma uludi shule manake elim itakua bule.
 


Sasa nimeamini kwa 100% kwamba Lowasa kweli ni fisadi na mwizi mkubwa ambaye anastahili kuwa Segerea!

Embu angalia hata hawezi kumuangalia anayemuhoji machoni, anaona haya, sasa ni raisi gani wa nchi hawezi hata kutoa eye contact anaangalia pembeni?
Hii ni kwa wataalamu wa kusoma Body language watakwambia kabisa kwamba mtu yoyote yule ambaye hawezi kukuangalia mchoni (eye contact) huwa ni mtuhumiwa!

Siku ukimshika mwizi mtaani kwenu jaribu kumuangalia machoni halafu uone kama ataweza kukuangalia ni lazima ataangalia chini au pembeni kama vile fisadi Lowasa anavyofanya!
Alivyokuwa CCM alikuwa anawaangalia machoni? Oh na Kumbe Hiyo ndo sababu hamkumpeleka segerea!!
 
lowassa anazidi kupona. afya yake ime imarika sana
 


Sasa nimeamini kwa 100% kwamba Lowasa kweli ni fisadi na mwizi mkubwa ambaye anastahili kuwa Segerea!

Embu angalia hata hawezi kumuangalia anayemuhoji machoni, anaona haya, sasa ni raisi gani wa nchi hawezi hata kutoa eye contact anaangalia pembeni?
Hii ni kwa wataalamu wa kusoma Body language watakwambia kabisa kwamba mtu yoyote yule ambaye hawezi kukuangalia mchoni (eye contact) huwa ni mtuhumiwa!

Siku ukimshika mwizi mtaani kwenu jaribu kumuangalia machoni halafu uone kama ataweza kukuangalia ni lazima ataangalia chini au pembeni kama vile fisadi Lowasa anavyofanya!


Utakua na makengeza wewe!
Eti Lowasa hajamwangalia mtangazaji machoni?
Hivi mnaona waTanzania Ni vipofu?
Kwa nini mnalazimisha siasa za kulaghai na kudanganya umma
 
Back
Top Bottom