Exclusive Interview with UKAWA's Edward Lowassa: I think I can be a President

Exclusive Interview with UKAWA's Edward Lowassa: I think I can be a President

Lowassa, my President, yuko vizuri Sana.

He is the PRESIDENT already

Anajijua sanaaa.... Kimombo ndio kwake hapo

Jamaa Genius sanaaaaaaaaaaa
 
Dah Mimi napenda mabadiliko ila ukweli jamaa siku zinavyizidi kwenda ndio anazidi kuchoka

Mbona huyu anayemaliza unayemshabikia alichoka kuliko unavyomuona Lowassa lakini amemaliza miaka 10
 
jamaa yuko vizuri kwenye kizungu sio jk anayepataga kigugumizi akiongea ilingish, sasa ni zamu ya makomeo tusikie ile accent yake anapopiga umombo

Siku Magufuli akitema ung'eng'e humu ndani mtapoteana.
 
Siku Magufuli akitema ung'eng'e humu ndani mtapoteana.



Magufuli aongee English, wewe kweli kilaza.

Magufuli amekariri KM za barabara, samaki, chura,.mijusi, kuku, mbwa, bata, fisi, ng'ombe, njiwa, bweha, kunguru, mbuzi, kondoo, paka, panya, kobe, nyoka, tai, etc.


AMEKARIRI tu , ILA HAJUI KITU... sio muelewa.... na kakariri uongo mtupu.

Hata hujamuuliza swali, ATAANZA KUPA KM za barabara, ebo.
 
Lowassa kwa mara nyingine anakiri wazi kuwa kujiunga kwake upinzani hakuhusiani na kuamini kile upinzani unaamini, bali ni kupinga kukatwa jina lake. Swali la msingi kabisa, kama ungepitishwa na CCM kuwa mgombea, ungesema haya unayoyasema leo kuhusu CCM? Edo kajikuta akitapatapa tu
 
Nimependa english ya Lowasa... kiukweli nimependa pale
Mwishoni kuhusu kushindwa
 
I am disappointed.

I am more disappointed by the interviewer than the interviewee. The interviewer responded to the questions which were being asked. The interviewer did not do his homework. Lowasa is running for a presidency of a country of almost 50 million people not of a college. The interviewer was supposed to ask the aspirant some hard hitting and incisive questions about himself, allegations being leveled at him, the Tanzanian economy, etc.
 
Ukawa Mnataka Mdahalo Wa Lowassa Na Magufuli Uwe Kwa Kiingereza Tena Citizen,hivi Ni Waulize Wangap Wanapata Access Ya Kuangalia Citizen Au Wangapi Wanajua Na Sio Tu Kujua Bali Kujua Vizuri Kiingereza?Nyie Wenyewe Mnasema Wapiga Kura Wenu Ni Mama Ntilie Na Madereva Bodaboda Hivi Hao Asilimia Kubwa Wanajua Kingereza?
 
Alipokuwa CCM kipindi anatafuta wadhamini alizunguka mikoa yote 30 kwa siku 36. Baada ya wiki 3 kampeni za kitaifa zikaanza tena, ambapo atazunguka mikoani na wilayani kwa siku 70. Na mpaka sasa kashazunguka mikoa 16 wilaya zaidi ya zaidi ya Km 13,658...

Ebu tuweni fair, kama binadamu kwa nini asichoke? Au yeye anatumia diesel?....

Mkuu sijasema hayo kwa ubaya ni kweli ni binadamu na anachoka kama wengine
 
Lowassa Ni Musa Aliewakomboa Wana Waisral Toka Utumwani Misri
 
Barbarosa

Magufuli anapiga push up tu. Na alivyo kichwa maji sijui hata kama anajua good morning ni nini!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom