Asante bamdogo nimekaribia tenaKaribuni tumalizie interview tuliyoianza jana. Jana wadau mlizingua kwa comments zisizo za msingi zilizochangia kuivuruga interview kwa leo please and please utani tutataniana baadae na muda wa maswali ya nyongeza ukifika utaruhisiwa kuuliza ila kwasasa kuwa msomaji.
Shunie karibu kwa wakati mwingine mamdogo.
yana furaha sana kuna wengine wamefikia kwenye hatua ya ndoa hayana tofauti na mm ambae sijanzia mtandaoniUmekuwa Unayachukuliaje mapenzi ya hao marafiki zako ambao mapenzi yao yalianzia mtandaoni ? Yanafuraha? Yanatofauti gani na yako ambayo hayakuanzia mtandaoni?
hahhaah nashkuru bamdogoPia, Pole kwa kaugonjwa na muda sio mrefu utakuwa ok maana babu Asprin kashapanda mlimani kukuombea.....
Tupe findings na recommendations zake basi.. Itakuwa msaada sana hapaKuna rafiki yangu alifanyia research degree ya kwanza
namshukuru Mungu sana sana tulipo na tulipofikiaHongera zao. Ila kuna hili pia ustawi wa penzi unauhusiano wowote na sehemu mlipokutania na mwenza wako?
Nafikir haujaelewa swali langu.namshukuru Mungu sana sana tulipo na tulipofikia
Mpaka nim-consultTupe findings na recommendations zake basi.. Itakuwa msaada sana hapa
nilikua sijaelewaNafikir haujaelewa swali langu.
Kwako Unadhani kustawi kwa penzi kuna uhusiano wowote na hao wapenzi (walipotongozeana) kuna watu wanakutana kwenye vyombo vya usafiri wengine mashuleni ila wengine ni hawa wa mitandaoni..je kustawi kwa penzi kuna uhusiano na sehemu ama namna wapenzi walivyokutana?
Za muda huu wadau. Hope mpo Ok.
Karibuni katika interview. Kama mada ilivyo ni pana ila Tutajaribu kuangalia kwa ujumla ni kwa namna gani suala la online dating kwa context yetu ya kitanzania linavyochukuliwa na jamii hasa wazazi na daters wenyewe.
Interviewee kwa leo atakuwa Shunie. wadau wengine mtakaribishwa kuuliza maswali pale itapowezekana.
Kwenye basi unamwona mtu...shuleni unamwona mtu kazini unamwona mtu na inaweza kuwa mmezoeananilikua sijaelewa
hapana haihusiani sbbu mtu unaekutana nae kwenye bus ndio huyo unakutana nae mtandaoni
kikubwa ni hisia za kweli
kwa hapa jf ni kweli tunatumia I'd fake na avatarKwenye basi unamwona mtu...shuleni unamwona mtu kazini unamwona mtu na inaweza kuwa mmezoeana
Sasa mfano hapa JF tunatumia ID fake avatar fake hatuonani physically, inawezekanaje kupata hisia kwa mtu kwa vitu fake?
kwa hapa jf ni kweli tunatumia I'd fake na avatar
kabla ya kukutana mnaanza kuzoeana pm kwanza kwa kuwasiliana kama mnaweza kutumiana picha mwisho mnaamua kuonana
kwahiyo kwenye kuonana mnaweza endelea na mambo mengine