wehoodie
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,037
- 1,024
thank you sana kwa majibu poa....
mbona bi mkubwa tuu?
father wako ndiyo hana time na mambo yako?
smart question...lets get to the bottom...#BlameSociety
thank you sana kwa majibu poa....
mbona bi mkubwa tuu?
father wako ndiyo hana time na mambo yako?
smart question...lets get to the bottom...#BlameSociety
Lara Moko
tatizo aise,
kumiliki mwanamke mwenye Imani kama Lara 1 ina bidi Ukaze Sana,
Vinginevyo Jela Nnje nnje,
Sometime pesa muhimu msimlaumu lara 1 eti hana feelings aolewe kwa kufata feelings watakula na kuvaa hizo feelings me namuunga mkono money on the table and make it practicle no free Pumbu
achana naye huyo, ye anakalia kujudge watu tu hapa. ye anayoyafanya huko si tunayajua?
Fikiri urakavyo i just love the way she speak her mind am too way deffent from her
Kuna kitu kinaitwa mawazo huru,nilipoishia kuchangia mimi,nyie mnaweza anzia hapo.
Ndiyo raha ya mjadala wa wazi,au nimewaudhi? Kama ni hivyo unatakiwa useme na utakwe radhi,mipasho yakinaa haina nafasi.
Ujumbe umefika senkyuu
lara1 amekuwa muwazi
na wadada wengi wa mjini wapo hivyo, huo ndo ukweli.
simulaumu lara1.
though we a differ
mi naamini ktk upendo bt haimaniishi nikupende tu huna vission wala hufikirii chochote kuhusu future big No!!!!
nakupenda bt fanya kazi kwa bidii ili utafute na mi naku sapoti(hubby sio BF).