Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,579
- 50,669
- Thread starter
- #341
Pengine labda ningeendelea kuwa nae nisingetambua umuhimu wake,nisingejifunza,nisingejua kuvumiliana,kuchukuliana,kuwa na huruma kwa watu wengine,nisingejifunza tofauti ya watu,nisingekuwa na unysnyekevu na kuchukuliana,nisingemjua Mungu na matendo yake makuu(maana ndicho kipindi nilichoanza kusali na kufunga kwa juhudi zote)itoshe kusema nimejifunza mengi kwa kupigwa chini na kukutana na yule mastaOoooh!pole sana kwa kumpoteza huyo jamaa
Kila kitu hutokea kwa sababu Hicho ndicho naamini sana.kila wakati umebeba kusudi lake