Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,579
- 50,666
Unambariki? Kwanini?
Ninambariki mno mno. Nitafarijika niko endelea kumuona anafanikiwa na kuishi na ndoa yake kwa upendo na amani. Mungu azidi kumkinga na hatari katika maisha yake alikuwepo wakati nina uhitaji na kila mtu aliniacha (nalithamini hilo kuliko kawaida) Mungu azidi kumtunza mtu huyu.
Twende kazi.
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Ninambariki mno mno. Nitafarijika niko endelea kumuona anafanikiwa na kuishi na ndoa yake kwa upendo na amani. Mungu azidi kumkinga na hatari katika maisha yake alikuwepo wakati nina uhitaji na kila mtu aliniacha (nalithamini hilo kuliko kawaida) Mungu azidi kumtunza mtu huyu.
Twende kazi.
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️