Ewura na Gas za majumbani!

Ewura na Gas za majumbani!

Kwa maeneo ya Mbezi Beach Mihan gas wanapatikana wapi?
 
Hivi Arusha kuna Mihan kweli?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
ccm hoyeeeeeeee! Magamba juuuuuu! Mr fast jet aka plent smile: kasi zaidi, nguvu zaidi na shida zaidi. Kigumu CCMAGAMBA Kidumu Chama twawala,
 
Kwenye thread hii wale vijana wapuuzi wa buku 7 hawafiki kabisa!jk anaingia madarakani 2005 gas ilikua sh 18000,leo ipo sh63000 anategemea nini kama siyo tuimalize misitu yetu?INGEKUA NCHI ZINGINE SUALA HILI LA GAS LINGESHAMTOA JK MADARAKANI
 
Du imepanda hivyo!!54 ilikuwa inanitoa jasho sasa hiyo 63 itakuwaje!inabidi nisiitumie isije kuisha aiss!!
 
Nachojua EWURA hawadhibiti bei za gesi na ndo maana mara zote bei za gesi hutolewa na oryx ambao ndo waagizaji na wasambazaji wakuu.

Kiukweli EWURA wanapaswa kulitazama eneo hili muhimu badala ya kuwaachia magabachori wafanye watakavyo km ilivyo sasa.
 
Nachojua EWURA hawadhibiti bei za gesi na ndo maana mara zote bei za gesi hutolewa na oryx ambao ndo waagizaji na wasambazaji wakuu.

Kiukweli EWURA wanapaswa kulitazama eneo hili muhimu badala ya kuwaachia magabachori wafanye watakavyo km ilivyo sasa.

Mkuu kufa hatufi lkn cha mtema tutakiona.

Umeme umepanda balaa, gas ndo hio. Mshahara uko palepale na hata ukiongezwa unaongezwa elfu 7.

Wanoongezwa mamilioni ni hao hao wenye nacho.

Sie wacha tuseme weeeee, mwisho tutapasuka. Nani anaskia?
 
Wenzetu Ulaya mkate ukiongezeka senti hamsini juu nchi nzima wanagoma lakini watanzania tunabakia kulalamikia uvunguni tu. mimi nipo tayari kuandamana kwa hilo nani ananiunga mkono
 
Hebu nisaidieni sijaelewa inamaana nikipeleka mtungi wa oryx mihans wanijazie gas watajaza au inakuaje maana hela ilipandishwa ni kubwa jamani....
Na ni wapi kwa dar watanijazia hiyo gas ya mihans kwenye mtungi wa oryx
 
Tukiwa kwenye malumbano yasiyo na maana mara zitto, mara mbowe kaenda dubai mara mkuu wakaya kaenda pima maradhi,.

Serikali ovu ya chama cha mapinduzi imeruhusu upandandaji wa bei ya gesi,.
Bei hizo zimepanda toka
-mtungi 6kg zamani 22000 bei ya sasa ni 26000
- mtungi 15kg zamani 54000 sasa ni 64000:

je serikari inampango kweli wa kupunguza uharibifu wa mazingira kwa kupunguza matumizi ya mkaa nakuni.???
 
Mkiambiwa mabomba yaletwe tuweze kutumia gas yetu mnalalamika, sasa unganeni na Serikali ifike mapema gas yetu hapa tuachane na hii LPG ambayo ni ghali.

Tayri kuna kampuni itaanza kushughulikia mabomba ya kufikisha gas majumbani. Kwa wale wanaokaa kwenye mitaa iliyopimwa tu, mlionunua viwanja vya squatter mkajenga mtajijuu.
 
Back
Top Bottom