Ya juzi ndio habari ya mujini kama ulichanga 54 basi ongezea ifike 63 ununue gas mama
Mkiambiwa mabomba yaletwe tuweze kutumia gas yetu mnalalamika, sasa unganeni na Serikali ifike mapema gas yetu hapa tuachane na hii LPG ambayo ni ghali.
Tayri kuna kampuni itaanza kushughulikia mabomba ya kufikisha gas majumbani. Kwa wale wanaokaa kwenye mitaa iliyopimwa tu, mlionunua viwanja vya squatter mkajenga mtajijuu.
Yeeeh.....hii ya lini hii.....
Hebu nisaidieni sijaelewa inamaana nikipeleka mtungi wa oryx mihans wanijazie gas watajaza au inakuaje maana hela ilipandishwa ni kubwa jamani....
Na ni wapi kwa dar watanijazia hiyo gas ya mihans kwenye mtungi wa oryx
Mkiambiwa mabomba yaletwe tuweze kutumia gas yetu mnalalamika, sasa unganeni na Serikali ifike mapema gas yetu hapa tuachane na hii LPG ambayo ni ghali.
Tayri kuna kampuni itaanza kushughulikia mabomba ya kufikisha gas majumbani. Kwa wale wanaokaa kwenye mitaa iliyopimwa tu, mlionunua viwanja vya squatter mkajenga mtajijuu.
Aisee.
Wanataka watu warudi kwenye mkaa walah
Jamani ni rangi ya mitungi tu gas ni ile ile karbuni Mihan gas ni rahisi na salama mihan ni 52,000
chadema mlisema gas isitoke mtwara mpaka watu wapate elimv leo mnalia.pikien kuni
Asavali mie nilijinunulia mkaa kiroho safiiiiiiiiii........... Jigunia zima miezi mitatu! Gas rest in peacE...........
chadema mlisema gas isitoke mtwara mpaka watu wapate elimv leo mnalia.pikien kuni
Kama unatumia mkaa gunia moja kwa miezi mitatu basi gas ya kg 15 unaweza kutumia hata miezi ninane.
Means huna matumizi sana ya mambo ya mapishi.
Istoshe maisha ya sasa tulivo busy mtu unarudi kazini 2 au 3 ya usiku uanze kukoka makaa ili kujipikia si kupoteza muda huko?
Au unaamka asubuh, mathalan unataka kupikia wtt uji au chips za shule tena uanze kukoka makaa, utamaliza saa ngapi?
Kwangu mimi makaa rip.