Ewura na Gas za majumbani!

Ewura na Gas za majumbani!

BornTown

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2008
Posts
1,716
Reaction score
486
Jamani hv hawa ewura wanatumia vigezo gani kupandisha bei za gas. Kutoka Tsh.54000 hadi Tsh. 63000 jamani kwa maisha haya elfu tisa mzima kweli hii nihaki?

Tukiwa kwenye malumbano yasiyo na maana mara zitto, mara mbowe kaenda dubai mara mkuu wakaya kaenda pima maradhi,.

Serikali ovu ya chama cha mapinduzi imeruhusu upandandaji wa bei ya gesi,.
Bei hizo zimepanda toka
-mtungi 6kg zamani 22000 bei ya sasa ni 26000
- mtungi 15kg zamani 54000 sasa ni 64000:

je serikari inampango kweli wa kupunguza uharibifu wa mazingira kwa kupunguza matumizi ya mkaa nakuni.???
 
chadema mlisema gas isitoke mtwara mpaka watu wapate elimv leo mnalia.pikien kuni
 
Nilienda jana na sh 54,000, nikaambiwa mama soma bei hapo nje, nikawa mdogo kama piriton, yaani hii nchi sijui hawa watawala wanatupeleka wapi


Jamani hv hawa ewura wanatumia vigezo gani kupandisha bei za gas. Kutoka Tsh.54000 hadi Tsh. 63000 jamani kwa maisha haya elfu tisa mzima kweli hii nihaki?
 
chadema mlisema gas isitoke mtwara mpaka watu wapate elimv leo mnalia.pikien kuni


Mkuu katika hili suala halitakiwi kuhusishwa na siasa za vyama, songas tokea waanze kutumia gesi ya kilwa umewahi kuona tofauti gani zaidi ya gharama za umeme kupanda. Juzi juzi tanesco waliomba kupandisha bei ya umeme wakati wanajua wazi kua bomba la gesi linakaribia kufika dar. Sasa kama wataalamu wa Tanesco hawaamini kua gesi itapunguza gharama za uzalishaji utamlaumuje mtu anaetaka watu waelimike kwanza ndo gesi itoke?
 
Tunatakiwa kuwatoa walioko madarakani sasa na kuwaweka wenye fikra tofauti maana walioko sasa wamefika mwisho wa kufikiri. Anahitajika mtu jasiri atakaye waamsha wananchi na kuanza kudai haki zao. Wiki chache zilizopita bei ya mkate ilipanda nchini Brazil, wananchi waliandamana sana, serikali ikashusha bei. Sisi hapa Tz bei za vitu zinapanda hovyohovyo tu wananchi tunaugulia chini kwa chini. Inabidi sasa wananchi tuseme inatosha.
 
pambaf kikwete,na gesi yangu inakaribia kuisha,kikwete ni janga la taifa...aaaaggghhh
 
Yaani mie nilikuwa mkali nikaonyeshwa hadi waraka wa ewura nikajiondokea zangu uso umenishuka kweli tunakoelekea ni kubaya sijui kwanini ewura wanapandisha bei bila hata ya kutoa matangazo kama kwenye petrol na dizeli!?

JK yy busy na kuuza sura safarini wananchi wake wanataabika
 
Hata mimi imenikuta leo mchana orxy ni 64000 Alf mihani 54000 sasa nimeshangaa kwa nini mihani iwe 54000?
Kila kitu kinapanda maisha haya magumu jamani
 
Hata mimi imenikuta leo mchana orxy ni 64000 Alf mihani 54000 sasa nimeshangaa kwa nini mihani iwe 54000?
Kila kitu kinapanda maisha haya magumu jamani

Juzi kuna mtu aliuliza hapa kama kaibiwa au ndio bei zake.

Sote tukwamwambia kuwa kaibiwa coz bei ya gas kg 15 ni elfu 54.

Kumbe wamepandisha bei bila taarifa. Tena si mpandisho mdogo.

Mimi leo nineenda kununua Oryx imenishinda eti bei elfu 65, imebidi nigeukie kwenye mihan ninenunua kwa elfu 54 sasa sijui tena kama yafaa au haifai.

Mradi majanga.
 
Tunatakiwa kuwatoa walioko madarakani sasa na kuwaweka wenye fikra tofauti maana walioko sasa wamefika mwisho wa kufikiri. Anahitajika mtu jasiri atakaye waamsha wananchi na kuanza kudai haki zao. Wiki chache zilizopita bei ya mkate ilipanda nchini Brazil, wananchi waliandamana sana, serikali ikashusha bei. Sisi hapa Tz bei za vitu zinapanda hovyohovyo tu wananchi tunaugulia chini kwa chini. Inabidi sasa wananchi tuseme inatosha.
Kwenye red! Lini waliwahi kufikiri?
 
Jamani hv hawa ewura wanatumia vigezo gani kupandisha bei za gas. Kutoka Tsh.54000 hadi Tsh. 63000 jamani kwa maisha haya elfu tisa mzima kweli hii nihaki?

aisee tutarudi kwenye kuni,naona sasa hii serikali inalazimisha kumkamua ng'ombe dume maziwa.mi mwenyewe nimekamatika jioni hii mida ya saa moja,nilidhani mshikaji kaamua kupiga cha juu,ili ajiandae vema na xmas,nikaondoka nikaenda sehemu nyingine nikakuta ni yale yale.siyo siri,kuna haja ya kumuondoa mkoloni mweusi
 
Juzi kuna mtu aliuliza hapa kama kaibiwa au ndio bei zake.

Sote tukwamwambia kuwa kaibiwa coz bei ya gas kg 15 ni elfu 54.

Kumbe wamepandisha bei bila taarifa. Tena si mpandisho mdogo.

Mimi leo nineenda kununua Oryx imenishinda eti bei elfu 65, imebidi nigeukie kwenye mihan ninenunua kwa elfu 54 sasa sijui tena kama yafaa au haifai.

Mradi majanga.
Mbali ya bei, hivi kuna tofauti gani kati ya Oryx na Mihan au hata CAM na lakegas>>>>????
 
Juzi kuna mtu aliuliza hapa kama kaibiwa au ndio bei zake.

Sote tukwamwambia kuwa kaibiwa coz bei ya gas kg 15 ni elfu 54.

Kumbe wamepandisha bei bila taarifa. Tena si mpandisho mdogo.

Mimi leo nineenda kununua Oryx imenishinda eti bei elfu 65, imebidi nigeukie kwenye mihan ninenunua kwa elfu 54 sasa sijui tena kama yafaa au haifai.

Mradi majanga.

hebu nielimishe kidogo,naweza kutumia mtungi wa oryx kujaza wa mihani?natumia oryx but naona bei inanishinda sasa,je nikipeleka mtungi huo empty,naweza kupewa wa mihan?
 
Jamani ni rangi ya mitungi tu gas ni ile ile karbuni Mihan gas ni rahisi na salama mihan ni 52,000
 
Juzi kuna mtu aliuliza hapa kama kaibiwa au ndio bei zake.

Sote tukwamwambia kuwa kaibiwa coz bei ya gas kg 15 ni elfu 54.

Kumbe wamepandisha bei bila taarifa. Tena si mpandisho mdogo.

Mimi leo nineenda kununua Oryx imenishinda eti bei elfu 65, imebidi nigeukie kwenye mihan ninenunua kwa elfu 54 sasa sijui tena kama yafaa au haifai.

Mradi majanga.

Mkuu hakuna Gas nzuri kama Mihan,mwanzoni nilikua natumia orxy but jamaa nilipokuwa nanunua akanishauri niende kujaribu Mihan nikachukua,ni nzuri sana sababu ina ujazo uliokamilika,moto wake ni mzuri kuliko orxy na inadumu sana kuliko oxry,try it Mkuu.
 
Mkuu hakuna Gas nzuri kama Mihan,mwanzoni nilikua natumia orxy but jamaa nilipokuwa nanunua akanishauri niende kujaribu Mihan nikachukua,ni nzuri sana sababu ina ujazo uliokamilika,moto wake ni mzuri kuliko orxy na inadumu sana kuliko oxry,try it Mkuu.

Ndo leo nshanunua huo wa mihan mkuu.

Nahs ni kweli mihan una ujazo zaidi mana hata ukiubeba unahisi km mzito sn.
 
Back
Top Bottom