Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Nitampenda sana kupita wanaume wote duniani, ukizingatia nae ananivumilia kwa mengi ingawaje hujaweka tabia za kike. Tukubali ukweli kama umeamua kuolewa na mtu kubali yote, kikubwa ni kutengeneza ka mtandao ka kuambiza ukweli bila shuruti, na kuwa wavumilivu pale mwenzi wako anapochelewa kubadilika.

I see!!!!!!!!!
 
Nitapenda kubaki naye, coz in real life, ukichunguza kwa makini mume na mke hawawezi kuwa sawa, yaani ni lazima mmoja atakuwa tofauti kidogo na mwenzake ili muwe na mustakabali fulani. Kwa hiyo kwa scenario hii, huyo mume hapo ni mahali pake kabisa, na ndio maana mama akapewa huo wepesi kidogo kimaamuzi ili ajazie pale panapohitajika maamuzi ya haraka. Na kama mke hana anajiona kuwa anawiwa kujazia hilo pengo (kama litaonekana ni pengo) basi wana maisha marefu tu baadaye, iwapo Mungu atawaweka.

Lakini kama mke atalichukulia kama ni tatizo, basi hapo ndio atataka kumbadili for another, ila ajiandae kuiacha hiyo amani kwenye nyumba hiyo hiyo na huko ataenda mwenyewe....

Unasema huyo mume hapo ni mahali pake kabisa?
Kivipi?
 
Dah!
Mtoto king'ang'anizi wewe ...lol!
Hivi tulikuwa tunaongelea nini kweli ....lol!

Kwani wewe ili awe mwanaume bora wewe unadhani anatakiwa awe na sifa gani?

Mie nataka awe mwaminifu,transparent,atakae nijali na tutakae heshimiana and above all awe na hofu na kumuamini mungu
 
Mie nataka awe mwaminifu,transparent,atakae nijali na tutakae heshimiana and above all awe na hofu na kumuamini mungu

Hebu chukulia tu kwamba mimi na wewe tumekuwa kwenye mahusiano na sasa tunahitaji kuoana,ni maeneo gani ambayo wewe utayaangalia na kama yakikuridhisha utaamua niwe mumeo?
 
Hebu chukulia tu kwamba mimi na wewe tumekuwa kwenye mahusiano na sasa tunahitaji kuoana,ni maeneo gani ambayo wewe utayaangalia na kama yakikuridhisha utaamua niwe mumeo?

All in all lazima tuwe na characters ambazo tutaeza kuvumiliana na pia nijue weaknesses zako na jinsi ya kuzi handle baada ya hapo mengine yata sahihishika maana no1 is perfect
Kitu kingine kinacho sumbua sana dini wazazi huwa wanakua wagumu thow mie hata bomani am ok ila hiyo ndoa itapata baraka za wazee?
 
All in all lazima tuwe na characters ambazo tutaeza kuvumiliana na pia nijue weaknesses zako na jinsi ya kuzi handle baada ya hapo mengine yata sahihishika maana no1 is perfect
Kitu kingine kinacho sumbua sana dini wazazi huwa wanakua wagumu thow mie hata bomani am ok ila hiyo ndoa itapata baraka za wazee?

I see!
Ndoa ni jambo utakalokuwa nalo maisha yako yote
Kuna mambo mengi sana watu wanatakiwa wayajue kuhusiana na hili

Kwenda kuoana kwa sababu nyepesi mara nyingi ndoa hufa baada ya muda mfupi sana
Wakati mwingine ndoa huleta mahuzuniko badala ya furaha!
 
I see!
Ndoa ni jambo utakalokuwa nalo maisha yako yote
Kuna mambo mengi sana watu wanatakiwa wayajue kuhusiana na hili

Kwenda kuoana kwa sababu nyepesi mara nyingi ndoa hufa baada ya muda mfupi sana
Wakati mwingine ndoa huleta mahuzuniko badala ya furaha!


Very true
naheshimu na nnaogopa sana ndoa and i still value ndoa kama tendo takatifu
 
nimeisoma hii thread kwa umakin...lakin nimeona kuna vitu vitanifanya nisimuanche huyu mwanaume...

No body is perfect..nitaachana na huyu anaechelewa kutoa maamuzi..ntaenda kwa anae act immedietly

lakin ni kiwembe tena kile Gillette..We should learn to appreciate what we have..not what we don't have

He loves ME..yes.I love him yes why leaving such a nice man


Hana pesa nying but he contribute something to our life that's okay....Most men are NATURAL LEADERS they just step

back when their wives think they want to be the leaders..Mbona hakuact hivo when we were boyfriend what If I am the

SOURCE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!I will consider some facts before I pull the PLUG..

sikupendi
 
I see!
Ndoa ni jambo utakalokuwa nalo maisha yako yote
Kuna mambo mengi sana watu wanatakiwa wayajue kuhusiana na hili

Kwenda kuoana kwa sababu nyepesi mara nyingi ndoa hufa baada ya muda mfupi sana
Wakati mwingine ndoa huleta mahuzuniko badala ya furaha!
Mkuu ndoa kudumu au kuvunjika ni kwa kudra za mwenyezi Mungu

Ukae ukijua kuwa mnapooana mnakutana watu kutoka culture tofauti kabisa, wengine ni kawaida kujamba wakati wa kulala na wengine kukoroma ni dalili ya utajiri

Watu wawili kutoka familia tofauti wakikutana na kuishi mpaka mauti basi ujue wamependana kwa dhati

Ngoja nikupe mfano mmoja.

Hebu fikiria mwanamke mwenye ghubu,

Mwanamke asieridhika

AU Mume mwenye wivu

nI VIGUMU SANA LAKINI mUNGU YUKO KWA AJILI YETU SOTE NA NATUONGOZA, UNACHOTAKIWA NI KUFAHAMU MAPUNGUFU YA MWENZAKO BAAS
 
Mkuu ndoa kudumu au kuvunjika ni kwa kudra za mwenyezi Mungu

Ukae ukijua kuwa mnapooana mnakutana watu kutoka culture tofauti kabisa, wengine ni kawaida kujamba wakati wa kulala na wengine kukoroma ni dalili ya utajiri

Watu wawili kutoka familia tofauti wakikutana na kuishi mpaka mauti basi ujue wamependana kwa dhati

Ngoja nikupe mfano mmoja.

Hebu fikiria mwanamke mwenye ghubu,

Mwanamke asieridhika

AU Mume mwenye wivu

nI VIGUMU SANA LAKINI mUNGU YUKO KWA AJILI YETU SOTE NA NATUONGOZA, UNACHOTAKIWA NI KUFAHAMU MAPUNGUFU YA MWENZAKO BAAS

hapa umenimaliza
 
I know...because we are dynamic and circumstances change us, but that does not mean we should be rigid too! Its foolish to think it is going to be a smooth way all through!
 
Unasema huyo mume hapo ni mahali pake kabisa?
Kivipi?

Kwa sababu huyo mdada amemkubali hayo 'mapungufu' yake, kama tutaya-refer kama mapungufu. Nasema hivyo kwa sababu inawezekana mwanamke mwingine angeyachukulia kama mzigo na mwisho ndoa ikaingia matatani...si unajua yale ya....mpaka ada nalipa eboo....

Lakini swali la nyongeza, huyo mwanaume hiyo tabia ni yake natural au ni kwa sababu 'fungu' lake dogo? Manake kuna ule usemi wa....mpe mtu pesa ujue tabia yake.....
 
Kwa sababu huyo mdada amemkubali hayo 'mapungufu' yake, kama tutaya-refer kama mapungufu. Nasema hivyo kwa sababu inawezekana mwanamke mwingine angeyachukulia kama mzigo na mwisho ndoa ikaingia matatani...si unajua yale ya....mpaka ada nalipa eboo....
Sijasema amemkubali bali hakujua kama atakuwa hivyo hadi wameoana ndipo akajua hayo!
Na sasa unapewa nafasi ya kubadili,je itakuwaje?
Lakini swali la nyongeza, huyo mwanaume hiyo tabia ni yake natural au ni kwa sababu 'fungu' lake dogo? Manake kuna ule usemi wa....mpe mtu pesa ujue tabia yake.....
Hii ndivyo alivyokuwa lakini wakati wa mahusiano yenu hukuweza kuyajua hayo kutokana na kujishughulisha na masomo zaidi
Sasa umejua na umepewa nafasi ya kumpa kibuti au kuendelea nae,utafanyaje?
 
Mkuu ndoa kudumu au kuvunjika ni kwa kudra za mwenyezi Mungu
That's not true!
Ukae ukijua kuwa mnapooana mnakutana watu kutoka culture tofauti kabisa, wengine ni kawaida kujamba wakati wa kulala na wengine kukoroma ni dalili ya utajiri
Kwanini usijifunze kuhusu tamabora[sio tamaduni] zingine ili kuepusha migogoro?

Watu wawili kutoka familia tofauti wakikutana na kuishi mpaka mauti basi ujue wamependana kwa dhati
Not true
Kuna watu wanaishi kwa kuogopa kutengana kwasababu dini imesema kutengana ni dhambi
Kuna watu wanaishi na kuzeshana kwa sababu mmoja ni tajiri na sio mapenzi au upendo
Kuna wengine wamezeeshana kwasababu wakiachana na wenza wao hawana pa kwenda na sio upendo
Kuna wengine wamezeeshana kwasababu wana watoto na sio upendo
Kuna wengine wamezeeshana kwa sababu wazazi wao waliwaambia kuvunja ndoa ni laana na sio upendo

Halafu fahamu upendo unaweza usihusike pia kwenye ndoa tu!

Ngoja nikupe mfano mmoja.
Hebu fikiria mwanamke mwenye ghubu,
Mwanamke asieridhika
AU Mume mwenye wivu
nI VIGUMU SANA LAKINI mUNGU YUKO KWA AJILI YETU SOTE NA NATUONGOZA, UNACHOTAKIWA NI KUFAHAMU MAPUNGUFU YA MWENZAKO BAAS
Sijaelewa context ya mfano wako
Halafu sijui unamhusishaje Mungu hapo!
 
Very true
naheshimu na nnaogopa sana ndoa and i still value ndoa kama tendo takatifu

Kuogopa na kukithaminisha kitu vinaendana kweli!
Au unaweza kuviweka kwenye kundi moja kweli?
 
Sijasema amemkubali bali hakujua kama atakuwa hivyo hadi wameoana ndipo akajua hayo!
Na sasa unapewa nafasi ya kubadili,je itakuwaje?

Hii ndivyo alivyokuwa lakini wakati wa mahusiano yenu hukuweza kuyajua hayo kutokana na kujishughulisha na masomo zaidi
Sasa umejua na umepewa nafasi ya kumpa kibuti au kuendelea nae,utafanyaje?

Eiyer jamani, mbona unatafuta justification ya dada yako kumpiga kibuti huyo shemeji jamani?(joke...).
Binadamu hatuna ukamilifu, kila mmoja ana mapungufu yake, kuna uhakika gani huyo atakayebadili ndio atakuwa 'bed of roses'? Si bora huyo mapungufu yake yanavumilika? Ni suala la kupigana brashi na kukumbushana tu, au mpaka atakapoanza shughuli ya kurudiwa 'alfajiri' ndio ataona excitement ya maisha? Kwangu mimi, issue ya huyo bwana inabebeka aisee....
 
Mie tena nimuachee? Haiwezi kutokea aisee
 
Back
Top Bottom