Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

nimeisoma hii thread kwa umakin...lakin nimeona kuna vitu vitanifanya nisimuanche huyu mwanaume...

No body is perfect..nitaachana na huyu anaechelewa kutoa maamuzi..ntaenda kwa anae act immedietly

lakin ni kiwembe tena kile Gillette..We should learn to appreciate what we have..not what we don't have

He loves ME..yes.I love him yes why leaving such a nice man


Hana pesa nying but he contribute something to our life that's okay....Most men are NATURAL LEADERS they just step

back when their wives think they want to be the leaders..Mbona hakuact hivo when we were boyfriend what If I am the

SOURCE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!I will consider some facts before I pull the PLUG..
Naanza kuamini majina ya watu pia hu- reflect tabia ya mtu, kweli wewe ni Heaven on Earth, swali la kizushi, hivi wewe umeolewa?
 
Hebu chukulia tu kwamba ulikuwa na boy friend ambae mlikuwa pamoja toka secondary halafu mkamaliza pamoja masomo yenu[a level] na kwenda kuendelea na maisha na baada ya muda mkaamua kuoana,maisha ya mke na mume yakaanza.

Baada ya kumaliza masomo mlifanikiwa nyote kupata kazi sehemu tofauti

Baada ya hapo wewe ukawa unajiendeleza kimasomo zaidi na ukafanikiwa kuongeza elimu yako hiyo na kupanda kiwango,kwa upande mwingine mumeo akawa busy na maisha mengine,hakupenda kuendelea kwani yeye aliridhika na elimu aliyokuwa nayo

Kitendo cha wewe kuongeza elimu yako kilikufanya ukapandishwa cheo kazini kwako kitendo kilichoongeza kipato chako kuwa kinono sana,mshahara wako ukawa ni mara 5 ya mshahara wa mumeo,ila kwa kipindi chote mlichokuwa pamoja mlikubakiana msipate kwanza mtoto ili uweze kupata muda mzuri wa kujiendeleza kimasomo

Kitabia mumeo sio mtu wa watoto[wanawake] ni mpole sana na huwa anaonesha kukujali sana kiasi kwamba mtu akija anaweza kudhani umemloga,yaani ni kama goigoi fulani hivi

Pia kwenye upande wa maamuzi ni mzito sana yaani kukiwa na tatizo anachukua muda sana kuamua yeye kama mwanaume hadi wakati mwingine unaingilia kati,yaani huduma ya maji inaweza kuondolewa hapo nyumbani kama yeye ndie alikuwa na jukumu la kulipia au kusimamia ulipaji,pia kutokana na udogo wa kipato chake mara nyingi wewe umekuwa ukichangia karo za watoto na hata mahitaji ya nyumbani kwa kiwango kikubwa sana,na hili wala halioneshi kumkera hata kidogo mumeo yeye anaona ni sawa tu

Mmefanikiwa kujenga nyumba ambayo haijaisha lakini gharama za ujenzi wa nyumba hiyo wewe umegharamia kwa 90% na imebakiza mambo madogo tu mhamie

Kutokana na shughuli unayofanya kuna wakati unachelewa kurudi nyumbani na kumkuta anakusubiri na wala haoneshwi kukerwa na hili,anaona sawa tu

Kwenye familia wewe ndio unaonekana kama mhimili wa hiyo familia kutokana na wewe kuwajibika kwa kiasi kikubwa kwenye mambo mbalimbali

SWALI NI HILI:
Ikitokea ukapewa fursa ya kubadili mume,je utamuacha huyu?
Na kwanini?

Siwezi badili,tena nitampenda zaidi.kipato changu hakina thamani kuliko upendo wangu kwa mwanaume kama huyo maana anajielewa,sio wanaume suruali wa nowdays
 
maana yangu ilikuwa unakosa nn kwa mkeo hadi ukazini nje hayo mambo unayopata huko si umwambie mkeo akupe
 
Ndio nalisubirii kwa mali zote

Dah!
Mtoto king'ang'anizi wewe ...lol!
Hivi tulikuwa tunaongelea nini kweli ....lol!

Kwani wewe ili awe mwanaume bora wewe unadhani anatakiwa awe na sifa gani?
 
Siwezi badili,tena nitampenda zaidi.kipato changu hakina thamani kuliko upendo wangu kwa mwanaume kama huyo maana anajielewa,sio wanaume suruali wa nowdays

Unajua maana ya mwanaume suruali?
 
Nisingebadili..i hate topaz na magillete
ningejaribu tu kumsaidia kama kuna biashara ambayo he is good at ili isifike mahali nikaona nachoka tena(it happens)kusaidiana au yeye isifike mahali akaanza kujiona mzigo, matatizo yakaanza.
 
Hebu chukulia tu kwamba ulikuwa na boy friend ambae mlikuwa pamoja toka secondary halafu mkamaliza pamoja masomo yenu[a level] na kwenda kuendelea na maisha na baada ya muda mkaamua kuoana,maisha ya mke na mume yakaanza.

Baada ya kumaliza masomo mlifanikiwa nyote kupata kazi sehemu tofauti

Baada ya hapo wewe ukawa unajiendeleza kimasomo zaidi na ukafanikiwa kuongeza elimu yako hiyo na kupanda kiwango,kwa upande mwingine mumeo akawa busy na maisha mengine,hakupenda kuendelea kwani yeye aliridhika na elimu aliyokuwa nayo

Kitendo cha wewe kuongeza elimu yako kilikufanya ukapandishwa cheo kazini kwako kitendo kilichoongeza kipato chako kuwa kinono sana,mshahara wako ukawa ni mara 5 ya mshahara wa mumeo,ila kwa kipindi chote mlichokuwa pamoja mlikubakiana msipate kwanza mtoto ili uweze kupata muda mzuri wa kujiendeleza kimasomo

Kitabia mumeo sio mtu wa watoto[wanawake] ni mpole sana na huwa anaonesha kukujali sana kiasi kwamba mtu akija anaweza kudhani umemloga,yaani ni kama goigoi fulani hivi

Pia kwenye upande wa maamuzi ni mzito sana yaani kukiwa na tatizo anachukua muda sana kuamua yeye kama mwanaume hadi wakati mwingine unaingilia kati,yaani huduma ya maji inaweza kuondolewa hapo nyumbani kama yeye ndie alikuwa na jukumu la kulipia au kusimamia ulipaji,pia kutokana na udogo wa kipato chake mara nyingi wewe umekuwa ukichangia karo za watoto na hata mahitaji ya nyumbani kwa kiwango kikubwa sana,na hili wala halioneshi kumkera hata kidogo mumeo yeye anaona ni sawa tu

Mmefanikiwa kujenga nyumba ambayo haijaisha lakini gharama za ujenzi wa nyumba hiyo wewe umegharamia kwa 90% na imebakiza mambo madogo tu mhamie

Kutokana na shughuli unayofanya kuna wakati unachelewa kurudi nyumbani na kumkuta anakusubiri na wala haoneshwi kukerwa na hili,anaona sawa tu

Kwenye familia wewe ndio unaonekana kama mhimili wa hiyo familia kutokana na wewe kuwajibika kwa kiasi kikubwa kwenye mambo mbalimbali

SWALI NI HILI:
Ikitokea ukapewa fursa ya kubadili mume,je utamuacha huyu?
Na kwanini?

Huyo sio goigoi wa maamuzi ila financial position yake dhidi ya mke wake ndio imemfanya awe hivyo. Ktk jamii nyingi mtu mwenye uwezo mkubwa wa kipato ndio mwenye maamuzi mfano mzuri hata katika nchi zilizoendelea watu wenye uchumi mkubwa wanapewa kipaumbele ktk mambo mengi kutokana na mchango wao ktk jamii.
 
I think, to the point ya kukubali kuwa married...you have known all his weaknesses and strengths. Usually, the one in your hand is better than two out of reach. I will have to adjust to what he is..but he will still be the head of the household!
 
Nitapenda kubaki naye, coz in real life, ukichunguza kwa makini mume na mke hawawezi kuwa sawa, yaani ni lazima mmoja atakuwa tofauti kidogo na mwenzake ili muwe na mustakabali fulani. Kwa hiyo kwa scenario hii, huyo mume hapo ni mahali pake kabisa, na ndio maana mama akapewa huo wepesi kidogo kimaamuzi ili ajazie pale panapohitajika maamuzi ya haraka. Na kama mke hana anajiona kuwa anawiwa kujazia hilo pengo (kama litaonekana ni pengo) basi wana maisha marefu tu baadaye, iwapo Mungu atawaweka.

Lakini kama mke atalichukulia kama ni tatizo, basi hapo ndio atataka kumbadili for another, ila ajiandae kuiacha hiyo amani kwenye nyumba hiyo hiyo na huko ataenda mwenyewe....
 
Hebu chukulia tu kwamba ulikuwa na boy friend ambae mlikuwa pamoja toka secondary halafu mkamaliza pamoja masomo yenu[a level] na kwenda kuendelea na maisha na baada ya muda mkaamua kuoana,maisha ya mke na mume yakaanza.

Baada ya kumaliza masomo mlifanikiwa nyote kupata kazi sehemu tofauti

Baada ya hapo wewe ukawa unajiendeleza kimasomo zaidi na ukafanikiwa kuongeza elimu yako hiyo na kupanda kiwango,kwa upande mwingine mumeo akawa busy na maisha mengine,hakupenda kuendelea kwani yeye aliridhika na elimu aliyokuwa nayo

Kitendo cha wewe kuongeza elimu yako kilikufanya ukapandishwa cheo kazini kwako kitendo kilichoongeza kipato chako kuwa kinono sana,mshahara wako ukawa ni mara 5 ya mshahara wa mumeo,ila kwa kipindi chote mlichokuwa pamoja mlikubakiana msipate kwanza mtoto ili uweze kupata muda mzuri wa kujiendeleza kimasomo

Kitabia mumeo sio mtu wa watoto[wanawake] ni mpole sana na huwa anaonesha kukujali sana kiasi kwamba mtu akija anaweza kudhani umemloga,yaani ni kama goigoi fulani hivi

Pia kwenye upande wa maamuzi ni mzito sana yaani kukiwa na tatizo anachukua muda sana kuamua yeye kama mwanaume hadi wakati mwingine unaingilia kati,yaani huduma ya maji inaweza kuondolewa hapo nyumbani kama yeye ndie alikuwa na jukumu la kulipia au kusimamia ulipaji,pia kutokana na udogo wa kipato chake mara nyingi wewe umekuwa ukichangia karo za watoto na hata mahitaji ya nyumbani kwa kiwango kikubwa sana,na hili wala halioneshi kumkera hata kidogo mumeo yeye anaona ni sawa tu

Mmefanikiwa kujenga nyumba ambayo haijaisha lakini gharama za ujenzi wa nyumba hiyo wewe umegharamia kwa 90% na imebakiza mambo madogo tu mhamie

Kutokana na shughuli unayofanya kuna wakati unachelewa kurudi nyumbani na kumkuta anakusubiri na wala haoneshwi kukerwa na hili,anaona sawa tu

Kwenye familia wewe ndio unaonekana kama mhimili wa hiyo familia kutokana na wewe kuwajibika kwa kiasi kikubwa kwenye mambo mbalimbali

SWALI NI HILI:
Ikitokea ukapewa fursa ya kubadili mume,je utamuacha huyu?
Na kwanini?

Nitampenda sana kupita wanaume wote duniani, ukizingatia nae ananivumilia kwa mengi ingawaje hujaweka tabia za kike. Tukubali ukweli kama umeamua kuolewa na mtu kubali yote, kikubwa ni kutengeneza ka mtandao ka kuambiza ukweli bila shuruti, na kuwa wavumilivu pale mwenzi wako anapochelewa kubadilika.
 
Huyo sio goigoi wa maamuzi ila financial position yake dhidi ya mke wake ndio imemfanya awe hivyo. Ktk jamii nyingi mtu mwenye uwezo mkubwa wa kipato ndio mwenye maamuzi mfano mzuri hata katika nchi zilizoendelea watu wenye uchumi mkubwa wanapewa kipaumbele ktk mambo mengi kutokana na mchango wao ktk jamii.
Hili jambi unalilizungumzia kimazoea au vipi?
 
I think, to the point ya kukubali kuwa married...you have known all his weaknesses and strengths. Usually, the one in your hand is better than two out of reach. I will have to adjust to what he is..but he will still be the head of the household!

Hujui kuwa kuna mambo yanatokea on the way?
 
Back
Top Bottom