Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Ureno anaangushwa na striking force
watu8, striking force? Timu ina striking force ya kutosha, CR7 (wa pili kwa wingi wa magoli kwa Ulaya nzima, katika msimu wa soka ulioisha) na Nani kama wakipiga kama wanvyokuwa kwenye klabu zao, basi sioni hiyo force kuiangusha Ureno. Kitakachoweza kuwaangusha ni viwango vya CR7 na Nani kuwa vibovu!
 
Last edited by a moderator:
Ebana kuna refa nyuma ya goli..?????!!!!
 
hao marefa sijawahi kuona umuhimu wao
 
Tatizo la Uholanzi hawana beki nzuri
 
Jamani nimekimbia toka mjini nikiwa na matumaini ya kuangalia mechi kupitia ATN na UBC lakini nashangaa hakuna kinachoendelea. Mwenye taarifa plz ili tuanze kujiandaa na nini cha kufanya
 
Sasa hivi Uholanzi watajutia nafasi zao.
Na tayari wameanza kujuta. Kumbuka hawa Sub Champions wa World Cup, sasa ikiwa matokea yatabaki hivi hivi, tusubiri maajabu mengine zaidi katika mashindano haya.
 
Niambie kama uko na mimi kumpigia chapuo England kubeba ndoo...
Na tayari wameanza kujuta. Kumbuka hawa Sub Champions wa World Cup, sasa ikiwa matokea yatabaki hivi hivi, tusubiri maajabu mengine zaidi katika mashindano haya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom