Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
watu8, striking force? Timu ina striking force ya kutosha, CR7 (wa pili kwa wingi wa magoli kwa Ulaya nzima, katika msimu wa soka ulioisha) na Nani kama wakipiga kama wanvyokuwa kwenye klabu zao, basi sioni hiyo force kuiangusha Ureno. Kitakachoweza kuwaangusha ni viwango vya CR7 na Nani kuwa vibovu!Ureno anaangushwa na striking force
Last edited by a moderator: