Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Kwahiyo shilingi yako ipo kwa Ujerumani sio? Anyway, ngoja tuone game yao hapo baadaye na Ureno itakuwaje!

Cheers.

yeh mkuu! bila kusahahu uholanzi pia
 
Daah kweli mpira umekuwa mgumu .........denmark wanacheza kwa displine sana.
 
Naona mnawasahau wazee wa fitina Azzuri
 
Duh tuache majungu MAN UTD tunamuitaji Sneijder pale kati..........
 
Ingiza Huntelaar kipindi cha pili
Rafa Van Der Vaart na Jan wanaingia,De Jong na Afelay nje...

Afelay alikuwa na anao anao nyingi...

Dakika ya 71 ngoma bado imewalalia Uholanzi
 
Tushampata Kagawa ,kijana mdogo na kwa bei rahisi
 
Waholanzi sijui wana nini wanampira mzuri lakini sikuzote wanakosa bahati,halafu robben kama vipi atolewe tu
 
Mkuu Mutta mimi mwenyewe nimenunua kifurushi cha Uhuru leo pale Mlimani City. ATN nao wanauza TING halafu hawaonyeshi mechi

Hawa wapuuzi kweli ingekuwa nchi nhyingine watu wangeandamana ama kuwashitaki. Ovyo kabisa!!!!. dakika chache baada ya saa kumi na mbili walisema wataanza saa moja hawa ATN naangalia wapi? Je Easy TV wanaonyesha ama mpaka ZUKU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom