England wana bahati kweli maana hayo magoli wanayokoswa....DAH....... ITA hawana Bahati asee
Hapo kwenye red sidhani kama ni kweli.[/color=blue] Jamani Blue jezi ni noma kwani Baloteli anafanya watu wapate presha presha[/color].Uingereza anarudi kwao kiroho safi bila kelele