BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hii ngoma inaweza kwenda mpaka dakika 120
Hata penalties pia zinaweza kuwepo, Italy wazuri zaidi kuliko England...Ngoja tuangalie 30 minutes za nyongeza
Hii ngoma inaweza kwenda mpaka dakika 120
Hapo kwenye red sidhani kama ni kweli.
Huyu kocha wa England vp yaani anamtoa Scot Parker na kumuingiza Jordan Henderson,kiungo cha England kitakufa na kuwafanya Italy watawale kati kati.
Uingereza wakiendelea ni hii presha kwa kipindi cha pili cha ET, basi wanaweza pata goli