Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Kamtesa sana Joe Hart....Nusura amtengue Kiuno.....Hata mie nimeifagilia yaani BBC (sport commentators) wameiongelea sana. Unbelievable!!
Kamtesa sana Joe Hart....Nusura amtengue Kiuno.....Hata mie nimeifagilia yaani BBC (sport commentators) wameiongelea sana. Unbelievable!!
Ndio maana nimekuuliza, manake umesema kwamba England hata angepita safari yake ingeishia kwa Ujerumani. ujumbe mwingine kwenye maneno hayo ni kwamba Italy ana nafasi ya kupita kwa UJERUMANI
Wataliano hawana bahati,penati zikija nadhani waingereza wanaweza kuibuka kidedea.
Ni semi final ingine baada ya ile ya world cup kati ya Italy na Germany mwaka 2006.
Andrea Pirlo alicheza mechi ile akiwa ana miaka 27 na sasa ana miaka 33. Mesul Ozil ana miaka 24 tu na bado damu inachemka.
Hivyo inangojwa nusu fainali ya nguvu kati ya Mesut Ozil- "attacking midfielder" na Andrea Pirlo- "playmaker" ambae pasi zake ndefu hufikia washambuliaji ambao kama Balotelli hupoteza.
Ahaa! Sawa, ni kweli kwa mtazamo wangu England ataishia kwa Ujerumani tu hata kama wamepita leo, ila Italy kwa Ujerumani kazi itakuwa ni kubwa sana kuipita manake ile timu ni noma(Ujerumani)!