Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
Nilijua Italy atapita kwa vyovyote vile, hata kama England wakishinda wataishia kwa Ujerumani tu!
Nilijua Italy atapita kwa vyovyote vile, hata kama England wakishinda wataishia kwa Ujerumani tu!
Weusi wote wa England wamekosa....
Ila wakuu penati ya Andrea Pirlo ni MATUSI kwa Waingereza...
Jamaa kakamilika kila Idara
Ila wakuu penati ya Andrea Pirlo ni MATUSI kwa Waingereza...
Jamaa kakamilika kila Idara
thi waingeredha jamani, ha ha🙂))
mweuthi wa italia hakukosa..super mario!
Inamana Italy atachomoka kwa ujerumani?
Ujerumani unaijua rafiki yangu, ogopa sana kina Gomez aisee!
Italy siku zote wanadharaulika....Hata mwaka 2006 watu waliwadharau matokeo yake wakachukua FIFA World Cup.....Na hata kwenye Euro ya mwaka 2000 walidharaulika matokeo yake walienda mpaka fainali na kushindwa na France na Golden Goal la David TrezeguetInamana Italy atachomoka kwa ujerumani?
Ila wakuu penati ya Andrea Pirlo ni MATUSI kwa Waingereza...
Jamaa kakamilika kila Idara
Halafu wote ni akina Ashley( Young na Cole).....Weusi wote wa England wamekosa....