Eti Wazungu -nyie dada zetu chonde!

Lol, romance na kianzio?? heloooooooooooooooo.....tatizo mianaume yetu ya kiafrica imejaa misifa mingi sana ya kijinga na mijuaji...suala la romance linalalamikiwa sana...btw ataanza wapi romance karudi home saa tisa usiku anataka saa kumi na moja awahi kazini na foleni zetu hizi....wanachotaka ni sehemu ya kupunguza uzito unaowasumbua....ndo hiyo chovya chovya....wanajielewa sana tu...ukikuta tena ndo wale wa daslamu wala chipsi zege,hakuna mazoezi hata ya kutembea,basi hasara unayo dearest...wazungu wana take effort kumuandaa mtu,atleast you are more likely ku-enjoy sex!

Hahahaha unaona sasa dearest. Vitu ambavyo hua wanajitahidi kufanya ni kunywa na kula tu, tena bar na sio nyumbani. Mengine yanayohusiana na kuboresha mahusiano tukisema tuanze kuwapa marks utashangaa watakavyofeli.
 
Lol, romance na kianzio?? heloooooooooooooooo.....tatizo mianaume yetu ya kiafrica imejaa misifa mingi sana ya kijinga na mijuaji...suala la romance linalalamikiwa sana...btw ataanza wapi romance karudi home saa tisa usiku anataka saa kumi na moja awahi kazini na foleni zetu hizi....wanachotaka ni sehemu ya kupunguza uzito unaowasumbua....ndo hiyo chovya chovya....wanajielewa sana tu...ukikuta tena ndo wale wa daslamu wala chipsi zege,hakuna mazoezi hata ya kutembea,basi hasara unayo dearest...wazungu wana take effort kumuandaa mtu,atleast you are more likely ku-enjoy sex!

...dahhhh, mzee mwanakijiji unaona sasa ulivyotutukanisha?
hivi nyie hao wanaume wa hivyo mnawaokota wapi? mnapenda ma bongo celebrity
matokeo yake ndio hayo bana,

...sio wote tuko ki hivyo.
:A S-coffee:
 
Hahahaha unaona sasa dearest. Vitu ambavyo hua wanajitahidi kufanya ni kunywa na kula tu, tena bar na sio nyumbani. Mengine yanayohusiana na kuboresha mahusiano tukisema tuanze kuwapa marks utashangaa watakavyofeli.

wanakera sana hasa hao washinda bar hadi mida ya usiku,linakunywa misupu,mipombe,minyama huko,kushika shika barmaids, halikumbuki hata kama lina mke na watoto home,mi kitu nawapenda wazungu kwa namna moja wanatoa muda kwa familia zao...anahakikisha anakula chakula cha jioni na watoto,anawasaidia homeworks,kama hauko vizuri anapika bila hiyana,anakusaidia laundry....sasa washinda bar wangu weusi hawa,akifika anafunua hotpot,anasunya then hata kuoga haogi alivyolewa anakuja kukunukisha mipombe yake...msonyo!
 
Hahahaha unaona sasa dearest. Vitu ambavyo hua wanajitahidi kufanya ni kunywa na kula tu, tena bar na sio nyumbani. Mengine yanayohusiana na kuboresha mahusiano tukisema tuanze kuwapa marks utashangaa watakavyofeli.

...umefuraaaaaaahi kusikia wazungu ni mafundi wa kupiga kinanda...hahaha...

...hao mwisho wao ndio huo...wao ni ufundi wa kinanda na kujaza mimate tu...uwanjani 20%...
mnh,...[hii sredi karibu itahamishiwa kwa wakubwa]..lakini ukweli ndio huo, mbu nishashtakiwa
sana juu ya kesi hizo.
 

...mnh, nawewe nawee.....kwenye encyclopedia yako hakuna ufafanuzi "hauwezekani" maana yake nini?
wenzako wanataka mende aangushe kabati, shtuka!

Haina maana moja Mbu. .ila ni mkusanyiko wa maneno.
Kwanzia 'kukosa utiifu (eti natakiwa kutii bila kujali nnachofanyiwa mimi), kushindwa kujishusha (natakiwa niwe mdogo, SIKU ZOTE, what the man says GOES), kuwa mbishi (karibu ntaacha kujenga hoja), kuwa feminist (inabidi niombe uanachama kabisa sasa), kupenda usawa (wanaume na wanawake tuna haki tofauti. Mmoja anatangatanga na njia huku dharau imejaa debe mwingine anavumilia), kupenda kuheshimiwa (wakati nnachotakiwa kufanya ni kumtii, yeye kunipenda), kukataa kupumbazwa . . . Ahhhh nimeshachoka!!!
 

...dahhhh, mzee mwanakijiji unaona sasa ulivyotutukanisha?
hivi nyie hao wanaume wa hivyo mnawaokota wapi? mnapenda ma bongo celebrity
matokeo yake ndio hayo bana,

...sio wote tuko ki hivyo.
:A S-coffee:

Kweli Mbu sijasema wote mko hivyo wala sina maana hiyo....huyu wa kwangu hana tabia hizo ndo maana namheshimu...

Trust me bongo haina celebrities wengi hivyo kushindwa ku-perform kiasi cha kulalamikiwa na wadada wengi hivyo....kama upo tofauti ni wewe mkuu, huoni B-bar panavyo jaa,rose garden?
 
wanakera sana hasa hao washinda bar hadi mida ya usiku,linakunywa misupu,mipombe,minyama huko,kushika shika barmaids, halikumbuki hata kama lina mke na watoto home,mi kitu nawapenda wazungu kwa namna moja wanatoa muda kwa familia zao...anahakikisha anakula chakula cha jioni na watoto,anawasaidia homeworks,kama hauko vizuri anapika bila hiyana,anakusaidia laundry....sasa washinda bar wangu weusi hawa,akifika anafunua hotpot,anasunya then hata kuoga haogi alivyolewa anakuja kukunukisha mipombe yake...msonyo!

hahahaha....
duhhh, hebu tustiri wewe bana...au ndio samaki mmoja akioza?
 
wanakera sana hasa hao washinda bar hadi mida ya usiku,linakunywa misupu,mipombe,minyama huko,kushika shika barmaids, halikumbuki hata kama lina mke na watoto home,mi kitu nawapenda wazungu kwa namna moja wanatoa muda kwa familia zao...anahakikisha anakula chakula cha jioni na watoto,anawasaidia homeworks,kama hauko vizuri anapika bila hiyana,anakusaidia laundry....sasa washinda bar wangu weusi hawa,akifika anafunua hotpot,anasunya then hata kuoga haogi alivyolewa anakuja kukunukisha mipombe yake...msonyo!
Michelle, hiyo sio uzungu na weusi. Mi nina ndugu yangu anahishi ulaya, kaolewa na kaka yetu mbongo. Nyumbani wamekaa kama hapo bold maana hata mke wake anafanya kazi na wakirudi nyumbani wote wameshoka kiasi. Hakuna cha mtu mmoja kufanya kazi mwenzie akae tu miguu juu. Mara nyingi wakitoka wanatoka wote, na kila mmoja anamtaja mwenzie kama best friend wake. miaka 10 ya ndoa in 2011.
Na pia nina rafiki yangu kaolewa na mzungu wanahishi burundi. Mume wake ni mkubwa kwake, yeye ni mwanafunzi mume anafanya kazi ubalozini kwao, na wanawafanya kazi ndani. Akitoka kazini anaunganisha bar na pub na rafiki zake wa kazini, wengi wazungu. anacheat kuliko maelezo, hadi rafiki yangu kamlazimisha condom ndani ya ndoa! hajali kabisaaaaaa hata birthday za watoto lazima akumbushwe. Miaka 7 ya ndoa in 2011.
Sometimes ni mazingira mnayo jenga tu..
 

...umefuraaaaaaahi kusikia wazungu ni mafundi wa kupiga kinanda...hahaha...

...hao mwisho wao ndio huo..
.wao ni ufundi wa kinanda na kujaza mimate tu...uwanjani 20%...
mnh,..
.[hii sredi karibu itahamishiwa kwa wakubwa]..lakini ukweli ndio huo, mbu nishashtakiwa
sana juu ya kesi hizo.

hakuna ubaya as long as i get what i want in the end....!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
wanakera sana hasa hao washinda bar hadi mida ya usiku,linakunywa misupu,mipombe,minyama huko,kushika shika barmaids, halikumbuki hata kama lina mke na watoto home,mi kitu nawapenda wazungu kwa namna moja wanatoa muda kwa familia zao...anahakikisha anakula chakula cha jioni na watoto,anawasaidia homeworks,kama hauko vizuri anapika bila hiyana,anakusaidia laundry....sasa washinda bar wangu weusi hawa,akifika anafunua hotpot,anasunya then hata kuoga haogi alivyolewa anakuja kukunukisha mipombe yake...msonyo!

Nimekusaidia kusonya dearest.

Kwakweli huo ndio mfumo wa maisha kwa wengi. Sio mke wala watoto wanaopewa kipaumbele. Hiyo ya kurudi ananuka mipombe yake huko ndio kabisaaaa, mtu unaweza ukahama hata chumba.

Hata hivyo bado sijasahau kina Gentlemen kwahiyo Mbu ondoa shaka. Y'all are acknowledged. Nawafagilia kila siku hata kama hamjui.
 

...umefuraaaaaaahi kusikia wazungu ni mafundi wa kupiga kinanda...hahaha...

...hao mwisho wao ndio huo...wao ni ufundi wa kinanda na kujaza mimate tu...uwanjani 20%...
mnh,...[hii sredi karibu itahamishiwa kwa wakubwa]..lakini ukweli ndio huo, mbu nishashtakiwa
sana juu ya kesi hizo.

Hahahahaha. . . Ndio nimefurahiiiiii maana dearest kaanza kulegea na kesi yangu imekaribia kuisha.
 
Ndio hivo. Kwanza kama ni kufanya generalities mimi badala ya focus kwenye rangi ya ngozi bora nifocus kwenye back ground ya familia. Mara nyingi watu (any race) walio lelewa na mama peke yake wanakua na heshima kwa wanawake kuliko walio lelewa na wazazi wote, hasa kama baba alikua abusive. Pia wanaume walio lelewa katika familia ya wanawake wengi (na yeye akawa mdogo wao) wanakua na uelewa mkubwa kuliko wale walio zaliwa katika familia za mchanganyiko zaidi. Hii ni kutokana na uchunguzi wangu mwenyewe kwa baadhi ya rafiki zangu wa kiume.

Asante Mwali, umenipa criteria nyingine ya kuwafahamu hawa watu....!
 
Haina maana moja Mbu. .ila ni mkusanyiko wa maneno.
Kwanzia 'kukosa utiifu (eti natakiwa kutii bila kujali nnachofanyiwa mimi), kushindwa kujishusha (natakiwa niwe mdogo, SIKU ZOTE, what the man says GOES), kuwa mbishi (karibu ntaacha kujenga hoja), kuwa feminist (inabidi niombe uanachama kabisa sasa), kupenda usawa (wanaume na wanawake tuna haki tofauti. Mmoja anatangatanga na njia huku dharau imejaa debe mwingine anavumilia), kupenda kuheshimiwa (wakati nnachotakiwa kufanya ni kumtii, yeye kunipenda), kukataa kupumbazwa . . . Ahhhh nimeshachoka!!!

...dont believe everything you read kwenye jf bana....wengine wanakuja wamwevimbisha vifua hapa
nyuma ya pazia hawafurukuti kwa wake zao....wanapangiwa na zamu ya kukosha vyombo baada ya mlo...

...usiwe na makuu kwenye uchaguzi. Jikubalishe kwa yule mnayeendana kitabia...kisha m- mould unavyotaka
maisha yenu yawe....samaki mkunje angali mbichi,...ukijitia kumpa mwanaume wako screwdrivers zote ni kosa lako
mwenyewe...umeolewa muwe familia, sio uwe yes sir!


Kweli Mbu sijasema wote mko hivyo wala sina maana hiyo....huyu wa kwangu hana tabia hizo ndo maana namheshimu...

Trust me bongo haina celebrities wengi hivyo kushindwa ku-perform kiasi cha kulalamikiwa na wadada wengi hivyo....kama upo tofauti ni wewe mkuu, huoni B-bar panavyo jaa,rose garden?

...LOL...afadhali unalitambua hilo...
huo uchafu ni hulka za mtu bana...yuk!
mtu arudi kalewa na mitapishi yake, mijasho kisha analala kitandani na mke anamvua nguo na kumkogesha?
na nyie wanawake mmezidi...

...wazungu wao hutumia zaidi wipes badala ya kukoga, kisha kuna walevi mbwa pia na chain smokers....
sijui tabia hii mnaichukuliaje? ndio mana nasema uchafu ni tabia ya mtu!
 
@ Mbu. . .
Ya nini mateso. . .acha nitafute pa kupumzika, kukimbizana mimi tena BASI.
 
Michelle, hiyo sio uzungu na weusi. Mi nina ndugu yangu anahishi ulaya, kaolewa na kaka yetu mbongo. Nyumbani wamekaa kama hapo bold maana hata mke wake anafanya kazi na wakirudi nyumbani wote wameshoka kiasi. Hakuna cha mtu mmoja kufanya kazi mwenzie akae tu miguu juu. Mara nyingi wakitoka wanatoka wote, na kila mmoja anamtaja mwenzie kama best friend wake. miaka 10 ya ndoa in 2011.
Na pia nina rafiki yangu kaolewa na mzungu wanahishi burundi. Mume wake ni mkubwa kwake, yeye ni mwanafunzi mume anafanya kazi ubalozini kwao, na wanawafanya kazi ndani. Akitoka kazini anaunganisha bar na pub na rafiki zake wa kazini, wengi wazungu. anacheat kuliko maelezo, hadi rafiki yangu kamlazimisha condom ndani ya ndoa! hajali kabisaaaaaa hata birthday za watoto lazima akumbushwe. Miaka 7 ya ndoa in 2011.
Sometimes ni mazingira mnayo jenga tu..

Mwali umetoa mifano ya watu wawili...wanne, kwenye kila race hawatakosekana walio tofauti na ndo nilichomwambia Lizzy, hata kwa weusi wapo wenye sifa hizoi ...ila ni wachache mno...nimebahatika kuishi nchi tatu tofauti kwenye mabara matatu tofauti, wanaume wa namna hiyo ni wa kubahatisha sana Africa...pita bar usiku uone,wale ni kina baba wanaokaa kule hadi wanaomba wenye bar waongeze muda...kwa starehe wanaume wa kiafrica maskini na matajiri ndo wenyewe....watakuachia 5000 kila asubuhi kwa ajili ya matumizi ya familia,ataspend 50,000 kwa bia na rafiki zake na offer kwa barmaids.....!!
 
Hao wanaopelekwa mahusiano yao ni mazuri kwa kiasi gani?
Jando haihusiki sana kwenye mahusiano, ila kwa anae tafuta mzungu inaweza kua starting point kwanza.
kama hana shida na hayo ndio aendelee sasa kutafuta. lol
Mi nimesha toa maoni yangu kuhusu wanaume wazungu na weusi.
 
Back
Top Bottom