Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,987
Wapo dada zetu ambao wanaamini kabisa kuwa hakuna mapenzi ya kweli na ya kina kama ya na mzungu.
pesa ni kila kitu mkuuWapo dada zetu ambao wanaamini kabisa kuwa hakuna mapenzi ya kweli na ya kina kama ya na mzungu.
Wapo dada zetu ambao wanaamini kabisa kuwa hakuna mapenzi ya kweli na ya kina kama ya na mzungu.
Wapo dada zetu ambao wanaamini kabisa kuwa hakuna mapenzi ya kweli na ya kina kama ya na mzungu.
mzungu know how love and care me ninaye tunapendana sana,
Niliwahi kuhisi hivo lakini kumbe si kweli ,,
pesa ni kila kitu mkuu
pesa inaficha kila kitu,
Wazungu gani mnaowazungumzia? Pink/white people or even brown/black people? Naomba tofauti maana wengine wapendelea brown au sijui wanawaitaga black men hata kama sio wa hapa kwetu.
Ulihisi???? sijakusoma binti
at least once in my life hata kama ni babu