The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Thanks, sasa The Boss....wangekuwa wanajiuza kwa mabaharia weusi ingekuwa sawa.....
natafuta kujua kwanini kuwa kwao na wazungu kulikuathiri? walikuwa wanawakataa nyie,wana prefer wazungu??
aisee mimi hiyo club wala sikuwahi kwenda
nimekuwa nalisikia hilo jina kwa watu wakubwa as nilipokuwa mdogo ndo
nilisikia mambo hayo