Eti uchochezi, uchochezi gani?

Eti uchochezi, uchochezi gani?

Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.

Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?

Kumpindua Magufuli?

Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.

Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.

Hovyo kabisa!

Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Broo hebu jitahidi umpe heshma yake sema mh.rais!acha kumwita jamaa!!!alafu nakushauri upunguze mihemuko!!tulia usipandishe mitero yako kwani utajiumiza mwenyewe!!
 
Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.

Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?

Kumpindua Magufuli?

Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.

Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.

Hovyo kabisa!

Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Polisi
 
Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.

Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?

Kumpindua Magufuli?

Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.

Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.

Hovyo kabisa!

Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Ni kwamba wamechochea kuni na moto wa mabadiliko umekuwa hauvumiliki.
 
Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.

Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?

Kumpindua Magufuli?

Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.

Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.

Hovyo kabisa!

Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Wa hovyo mamako kwanza
 
Sasa mtandao wangu halafu wewe unanikaribisha?

Mimi nilikuwepo kwenye mtandao tangu enzi za Geocities.

Unafahamu Geocities ni kitu gani?

That's way back when...

Like mid to late 90s [from what I can remember].
 
Ngabu

Yesu alisema rudi nyuma shetani we, na shetani akarudi, na sisi tuseme rudi nyuma ccm.....kwa kukataa uvunjifu wa katiba.

Mungu tena akaufanya moyo wa farao uwe mgumu aliamuadhibu. Hakika adhabu ya Mungu ni kubwa kuliko maanadamano na makelele ya wapinzani.
 
Guys we have to be patient, presidaa yashamuwia magumu ndio maana anasema tumwombee.Tuweni watulivu tu pengine mabo yatanyooka ingawa sina uhakika.
 
Ngadu

Yesu alisema rudi nyuma shetani we, na shetani akarudi, na sisi tuseme rudi nyuma ccm.....kwa kukataa uvunjifu wa katiba.

Mungu tena akaufanya moyo wa farao uwe mgumu aliamuadhibu. Hakika adhabu ya Mungu ni kubwa kuliko maanadamano na makelele ya wapinzani.

Get my name right man!
 
waziri Nape hebu fafanua toa tafsiri au define neno uchochezi maana yake/tafsiri yake nini? nani anaamua au ana define kwamba maneno fulani ni uchochezi? kwa mtazamo wangu mimi wewe kwenda Bungeni na kuzima matangazo kupitia tv zote yasionyeshwe live na kutoa sababu zisizo na mashiko na za uongo kabisa ni kitendo cha uchochezi wa kiwango cha juu sana.Bunge ni la wananchi na wala sio la serikali, TBC ni chombo cha wananchi wanakilipia kodi zao wanataka kuangalia Bunge lao kwa uwazi na ukweli waone uendeshaji wa serikali na yao wewe unazima unapata wapi moral authority?huo ni uchochezi dhahiri kabisa.Haya mambo munafanya walikuwa wanafanya wakoloni na Makaburu wa Afrika ya kusini.Watu waliojitawala na kustaarabika hawafanyi mambo ya hovyo namna hii
 
mimi niliposikia tu kwao hakuwa First born nilijiuliza sana

Kawaida first born wanakuwaga natural leaders

Unamaana gani kwao hakuna first born mkuu? Manake huyu jamaa kuna kitu anajaribu kukificha kwenye public
 
Back
Top Bottom