Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Salaam,
Natumaini wana jamii ni wazima wa afya,kwangu mimi ni mzima na buheri wa afya.
Eti huo usemi hapo juu ni wakweli?
Kama nikweli inamana wanawateja wengi kuliko kampuni za simu zote hapa nchini.
Lakini jambo lililonisukuma niandike posti hii ni kuwa,kama wanaongoza basi wangeongoza na kulipa Kodi,na Wangekuwa wanaongoza kwenye kuchangia pato la taifa kuliko air tel.
Sasa tujiulize ni mtandao unao ongoza kwa kipi nchini Tanzania??
Natumaini wana jamii ni wazima wa afya,kwangu mimi ni mzima na buheri wa afya.
Eti huo usemi hapo juu ni wakweli?
Kama nikweli inamana wanawateja wengi kuliko kampuni za simu zote hapa nchini.
Lakini jambo lililonisukuma niandike posti hii ni kuwa,kama wanaongoza basi wangeongoza na kulipa Kodi,na Wangekuwa wanaongoza kwenye kuchangia pato la taifa kuliko air tel.
Sasa tujiulize ni mtandao unao ongoza kwa kipi nchini Tanzania??