Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Hivi hizo zawadi lazima ziwe za kizungu ili watoto wa siku hizi watuone kwamba tu watu wa mahaba? Nikibeba pakiti ya miwa, ubuyu, korosho, karanga au matunda damu ya Lushoto nakuwa nimepotea maboya???
hahaha DC mbona unashtuka? Naamini kuwa zawadi hata hizo ni sawa. Muhimu iwe zawadi tu yoyote. Mimi niletee mishkaki ya kwa Muchacho tu baasii umenimaliza, chocolate kitu gani? Kwanza situmii :]]