MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,588
Tupe basi uhondo kidogo ndugu yangu,
Hiki kizazi inawezekana kimeshatuacha mbali sana!
Mzee DC, nitajaribu kukumbuka lakini point kubwa iliyokuwa inazungumziwa kule ni kuwa romantic kwa maana ya kuwa katika kujiandaa kwa tendo wanaume wa kibantu wao hawachukui muda mrefu kumuandaa mpenzi wake kabla ya business..............point moja ambayo aliitoa kaka mmoja alisema hii yote inategemea tunavyoidefine ile kuandaa na ingredients tunazoweka ili mtu aandaliwe. Aliuliza kina dada mnataka mfanyiwe nini ili muandaliwe vya kutosha,, ichukue muda gani ili mjione kuwa muda muafaka umetumika kwa ajili ya kuandalia. Alisema tusiige vya wazungu ambao wao wanahitaji kuandaa toka asubuhi kwa kuwa wao hawana jinsi kutokana na mila na desturi au utamaduni wao. Alieleza mf. kwa mwanaume wa kizungu ambaye kwa culture yao wanawake wao ni kawaida kuvaa nusu uchi huku maungio yale ya kutamanisha yamezoeleka machoni kwa mwanaume, ni lazima extra nguvu na time itumike ili kumuandaa mdada (hii inajumlisha kuandaana toka asubuhi, kikiss kwa muda mrefu tena kila pahali ili mradi tu hisia zivutike na mazingira yaruhusu.
Hii ni tofauti kwa mwanaume wa kibantu ambaye hakuzoea kuona maungo yake yanayoamsha ashki mapema yakiwa nje nje tu kiasi kuwa the moment anapoyaona anakuwa aroused na hivyo kumtaka avumilie ni kumwonea bure. Yeye kwa tamaduni yake ni kuwa akiliona lile nofu la juu ya goti, anahema, akiligusa ndo unammaliza kabisa huku silaha ikiwa tayari (nasikia huwa wanapata maumivu flani kama shinikizo linakuwa kubwa kwa muda mrefu bila kupozwa - mi sijui bana). Na isitoshe wabantu (wadada tumejaaliwa ile rangi na mvuto wa yale maeneo ya sitiri kulinganisha na wenzetu wazungi ) Sasa unapoanza kumtaka mkaka wa kibantu achukue muda mrefu kukuandaa wewe mdada wa kibantu wakati ulishamuarouse ni kumwonea.
KwWenye mengine ya kawaida mfano kununua maua, kununua card alichosema ni kuwa si sehemu ya tamaduni zetu
Jamani muwe na usiku mwema, mie ni Mtanzania halisi, kukosa umeme ndio kitambulisho changu.