Eti CPA ni ngumu kuliko MBA?

Uzuri mwingine wa NBAA ni kuwa mitihani haivuji aka tetere kataga kama vyuoni.

Ulimakafu siyo vizuri kusingizia vyuo. Ni chuo gani ambacho mitihani ilivuja na ikathibitika hivyo? Kwa taarifa yako mitihani ya NBAA hutungwa na hao hao walimu wa vyuo. Hivyo NBAA inategemea sana vyuo vikuu.
 
cpa sio ngumu ila kutokana na sasa huu mpango wa kupunguza wasomi........watu waliosoma miaka ya zamani ilikuwa simple ila sasa hivi wasomi mmekuwa wengi ndo maana wanawapunguza ...........maana kozi ya accounts imejaaa sana mpaka selikali haijui iwapeleke wapi
 
Professional always huwa inakuwa ngumu zaidi! MBA kwa sasa haina maana tena hapa Bongo. Mpaka mtu mwenye Advanced diploma anaweza kuisoma wakati miaka yetu ilikuwa mtu mwenye Advanced diploma haqualify otherwise awe na Post!
Mi na MBA yangu mhasibu wangu mwenye CPA ananiletea financial reports ili nizifanyie analysis. Ninapokuwa katika meeting na shareholders napresent pamoja na mambo mengine financial report iliyoandaliwa na mhasibu wangu mwenye CPA ambaye wakati anaomba kazi nilimfanyia interview na nikampangia mshahara wa kumpa kutokana na job class yake ambayo iko chini sana ukilinganisha na yangu mwenye MBA

Mleta mada ameleta hii kitu watu wachangie ili kuumbua mfumo wa elimu wa bongo ambao kuna watu wanamaliza MBA akija kwenye interview ukimuuliza kwa nini unadhani unafaa kufanya hii kazi uliyoomba anaanza kuuma vidole. Ishu sio MBA au CPA, ishu ni Shukuru Kawambwa.
 
Idea ya hizi proffessional certificate kama CPA,uwakili,mafamasia,injinia nk ilikuwa ni baada ya kumaliza masomo yako ya msingi ktk taalamu yako kama bachela,advanced dip nk unatikiwa ufanye kazi kwa muda fulani na kujisomea kisha ndio unafanya mitihani ya hizi bodi kupima ulichosoma chuo na mazingira ya kazini, baada ya hapo ndio unapewa hivyo vyeti baada ya kufaulu.
Lakini sasa mambo yamekuwa shaghala baghala na kibiashara zaidi, mfano bodi wamebadili eti ukipasi mtihani ndio unapimwa utendaji kazini kabla ya kupewa cheti kamili.
Elimu ya chuo ni elimu ya juu kuliko CPA kwa msingi nilioutaja hapo juu, hizi CPA zipo kisheria zaidi
Sasa unapolinganisha CPA na NBA kuna mambo mawili, kwanza nikweli CPA inaweza ikawa ngumu kuipata kwasababu ya mfumo wake wanachotaka bodi ni kutoa mtaala kutunga mtihani basi, utakaposoma wao haiwahusu na wengi wanaosoma hii wapo makazini na wakati mwingine wanafundishwa na watu wasio na uwezo kivile na mwisho kuna madai kuwa bodi wanakuwa na limited namba ya watu wanaotakiwa kupasi kutokana na calculation zao.
Linapokuja swala la ubora wa elimu kitaalamu elimu ya chuo ipo juu kitaaluma kuliko mitihani ya proffessional board, mfumo wa kutoa NBA upo juu zaidi ya CPA.
Mleta mada ni kweli kuipata CPA ni ngumu zaidi kuliko kuipata NBA lakini zingatia haina maana CPA ipo juu zaidi ya NBA, CPA ipo kukizi matakwa fulani ya kisheria zaidi na ndio maana inaonekana ipo juu.
Linapokuja suala la kiutawala bado NBA ipo juu zaidi, mfano katika idara au makampuni chief accuontant na chief auditor wanakuwa na CPA lakini bosi wao wakuu wa vitengo vya finance kama director wa finance nk wanakuwa na NBA.
So kama unataka kuwa mtendaji zaidi CPA inakufaa zaidi lakini kama unataka ukuu wa vitengo then go for NBA.
Pia naona watu wengi wanaponda sana NBA eti kwasababu watu wengi wanaipata, hii inatokana watu kuwa na mawazo mgando kwakuwa zamani kupata ilikuwa issue nzito na hii ni kutokana na uchache wa wasomi, sasa tupo wengi lazima zitoke.
Mawazo mgando mengine ni kuhusu advanced diploma, kuna watu huwa wanataka kupasuka wanapoona wanafanya masters hii kitu UDSM ndio walileta huu ukiritimba wao wa kijinga jupromote degree zao,advanced diploma inavigezo vyote vya degree na ipi kundi moja kuanzia entries za kujiunga na vyuo,mikopo na ajira.
 
Mi na MBA yangu mhasibu wangu mwenye CPA ananiletea financial reports ili nizifanyie analysis. Ninapokuwa katika meeting na shareholders napresent pamoja na mambo mengine financial report iliyoandaliwa na mhasibu wangu mwenye CPA ambaye wakati anaomba kazi nilimfanyia interview na nikampangia mshahara wa kumpa kutokana na job class yake ambayo iko chini sana ukilinganisha na yangu mwenye MBA

Mleta mada ameleta hii kitu watu wachangie ili kuumbua mfumo wa elimu wa bongo ambao kuna watu wanamaliza MBA akija kwenye interview ukimuuliza kwa nini unadhani unafaa kufanya hii kazi uliyoomba anaanza kuuma vidole. Ishu sio MBA au CPA, ishu ni Shukuru Kawambwa.
Asante kwa mchango mkuu,avatar yako pia imenivutia.
 
Kuna jamaa huwa wanadai kuwa CPA inabana vibaya na vijana wanalia,wakati MBA mambo ni laini kabisa.Binafsi sina hoja maana ninavyofahamu moja ni professional na nyingine ni academics zaidi.

Nina hakika hasa tests,nimesoma na kuhitimu kwenye hivi vyuo vyetu.
 
Ngoja nikung'ate sikio,siku hizi watu wanawapiga changa la macho,mimi kuna watu nawajua wana cheti cha ule wanaouita mtihani mgumu wa serikali unaotungwa pale magogoni(Higher standard govt accounting),wanakubaliwa kuanzia module A tena wala sio ATEC!yani unafanya mtihani wa magogoni wa masomo manne,public finance and administration,Book keeping na Govt accounting 1 and 2,hakuna hesabu ni hayo masomo manne tu then ukifaulu unaenda pale jirani na maktaba kujisajiri module A! wenye masikio msikie na kuichangamkia hiyo short cut,na mtihani wa magogoni hauhitaji credit,mradi uwe umemaliza form four tu!kazi kwenu,lakini CPA ni ngumu kutoka nayo!
Kama ni hivyo hatari,mtu anaanza na module A kama wa degree zingine zisizo za uhasibu wakati ana cheti cha magumashi???
 
Mku
Idea ya hizi proffessional certificate kama CPA,uwakili,mafamasia,injinia nk ilikuwa ni baada ya kumaliza masomo yako ya msingi ktk taalamu yako kama bachela,advanced dip nk unatikiwa ufanye kazi kwa muda fulani na kujisomea kisha ndio unafanya mitihani ya hizi bodi kupima ulichosoma chuo na mazingira ya kazini, baada ya hapo ndio unapewa hivyo vyeti baada ya kufaulu.
Lakini sasa mambo yamekuwa shaghala baghala na kibiashara zaidi, mfano bodi wamebadili eti ukipasi mtihani ndio unapimwa utendaji kazini kabla ya kupewa cheti kamili.
Elimu ya chuo ni elimu ya juu kuliko CPA kwa msingi nilioutaja hapo juu, hizi CPA zipo kisheria zaidi
Sasa unapolinganisha CPA na NBA kuna mambo mawili, kwanza nikweli CPA inaweza ikawa ngumu kuipata kwasababu ya mfumo wake wanachotaka bodi ni kutoa mtaala kutunga mtihani basi, utakaposoma wao haiwahusu na wengi wanaosoma hii wapo makazini na wakati mwingine wanafundishwa na watu wasio na uwezo kivile na mwisho kuna madai kuwa bodi wanakuwa na limited namba ya watu wanaotakiwa kupasi kutokana na calculation zao.
Linapokuja swala la ubora wa elimu kitaalamu elimu ya chuo ipo juu kitaaluma kuliko mitihani ya proffessional board, mfumo wa kutoa NBA upo juu zaidi ya CPA.
Mleta mada ni kweli kuipata CPA ni ngumu zaidi kuliko kuipata NBA lakini zingatia haina maana CPA ipo juu zaidi ya NBA, CPA ipo kukizi matakwa fulani ya kisheria zaidi na ndio maana inaonekana ipo juu.
Linapokuja suala la kiutawala bado NBA ipo juu zaidi, mfano katika idara au makampuni chief accuontant na chief auditor wanakuwa na CPA lakini bosi wao wakuu wa vitengo vya finance kama director wa finance nk wanakuwa na NBA.
So kama unataka kuwa mtendaji zaidi CPA inakufaa zaidi lakini kama unataka ukuu wa vitengo then go for NBA.
Pia naona watu wengi wanaponda sana NBA eti kwasababu watu wengi wanaipata, hii inatokana watu kuwa na mawazo mgando kwakuwa zamani kupata ilikuwa issue nzito na hii ni kutokana na uchache wa wasomi, sasa tupo wengi lazima zitoke.
Mawazo mgando mengine ni kuhusu advanced diploma, kuna watu huwa wanataka kupasuka wanapoona wanafanya masters hii kitu UDSM ndio walileta huu ukiritimba wao wa kijinga jupromote degree zao,advanced diploma inavigezo vyote vya degree na ipi kundi moja kuanzia entries za kujiunga na vyuo,mikopo na ajira.
MkuuUmenichekesha sana, NBA? NA CPA UTOFAUTI WAKE??
 
Back
Top Bottom