Ethiopia wanaomba hata kilomita 20 tu za ufukwe, Tanzania tuna zaidi ya kilomita 1500 lakini hakuna cha maana. Shida ni nini?

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,409
8,911
Nchi ya Ethiopia hawana bahari wanaomba Somalia wawape hata tu 20 km ya ufukwe na kila kitu kitabadilika vs Tanzania tuna zaidi ya 1500 km coast line kutoka tangagiza mpaka Mtwara ni bahari tupu lkn ni uchuuzi tu wa kuleta imports ktk China na kujenga fremu za GSM & co. uchumi wote bazaar tu hakuna cha maana, tatizo ni nini?

1704614485573.png
 
Nchi ya Ethiopia hawana bahari wanaomba Somalia wawape hata tu 20 km ya ufukwe na kila kitu kitabadilika vs Tanzania tuna zaidi ya 1500 km coast line kutoka tangagiza mpaka Mtwara ni bahari tupu lkn ni uchuuzi tu wa kuleta imports ktk China na kujenga fremu za GSM & co. uchumi wote bazaar tu hakuna cha maana, tatizo ni nini ?

View attachment 2864418
Niliwahi kuandika hivi:

 
Nchi ya Ethiopia hawana bahari wanaomba Somalia wawape hata tu 20 km ya ufukwe na kila kitu kitabadilika vs Tanzania tuna zaidi ya 1500 km coast line kutoka tangagiza mpaka Mtwara ni bahari tupu lkn ni uchuuzi tu wa kuleta imports ktk China na kujenga fremu za GSM & co. uchumi wote bazaar tu hakuna cha maana, tatizo ni nini ?

View attachment 2864418
Ethiopia wanashindwaje kuivamia Djibouti wapate free entry ya port!! Kama Russia kavamia Ukraine na Israel kamvamia Gaza basi naye aivamie tu maana dunia kwa sasa ni survival of the fittest.
 
Tuna fukwe ndefu, je ukiwapa jirani 20km wajenge then mgawane mapato nusu kwa nusu kuna ubaya gani?
Ethiopia apigane vita ajimegee tu no way out!
 
Tuna fukwe ndefu, je ukiwapa jirani 20km wajenge then mgawane mapato nusu kwa nusu kuna ubaya gani?
Ethiopia apigane vita ajimegee tu no way out!

hakuna mtu anayegawa ufukwe kwa maana kila ufukwe una matumizi ya kiuchumi sasa ukiona haujui nini cha kufanya na ufukwe hadi ufikirie hata kuugawa kwa foreigners wakati you live in absolute poverty ujue una low IQ na haitoshi ku solve problems …
 
hakuna mtu anayegawa ufukwe kwa maana kila ufukwe una matumizi ya kiuchumi sasa ukiona haujui nini cha kufanya na ufukwe hadi ufikirie hata kuugawa kwa foreigners wakati you live in absolute poverty ujue una low IQ na haitoshi ku solve problems …
Hatusemi unagawa tunasema unakaribisha uwekezaji wenye maslahi mapana,na tija sometime kunakuwa na miradi ambayo serekali haiwezi kuitelekeza si mbaya mwingine akawekeza kwa maelewano maalumu, mbona wapo wanaochimba dhahabu na tunaambulia kiduchu mno aibu.
 
Watanzania bado tina fikra za ujamaa na kila wakati tunahisi muwekezaji ni mwizi.

Kama sio Samia kuwa bold, uwekezaji bandarini usingefanyika. Bado Bagamoyo, kidogo watu watoane roho kwa ten pasent, msukuma kachukua hela kaenda kujenga bandari Nyamirembe,Chato, na hakuna meli iliyowahi kufika tangu bandari iishe.

Morogoro ilitajwa kama moja ya mikoa inayoweza kulisha taifa, who cares kuja na mkakati maalum?

Karafuu inalimika baadhi ya mikoa ya nchi yetu huku bara, walio serious ni zanzibar tu!

Parachichi biashara kubwa sana, lakini huoni commitment ya serikali hata kuweka miundombinu ya maghala yenye mafriji maalum ya kuyatunza.

Tanga wana machungwa na machenza, who cares?

Kagera, Mbeya, Kilomanjaro wana ndizi, who cares to make the business go international?

Zabibu Dodoma? Mahindi tele Katavi na Rukwa
 
Ethiopia na Eritrea walikuwa nchi moja sijui waligombea Nini wakawa kama Sudan kusini na kaskazini
Siasa za Cold War lakini pia mfumo wa federal states unawapa autonomy majimbo hivyo inakua rahisi kujitenga au kuanzisha vita vya kujitenga. Hata Ogaden ilitaka kujitenga ijiunge somalia ila wakashindwa vita
Kwani Misri mwenye Gaza yake ameilalamikia Israel?
Misri na Gaza wapi na wapi? Hao Israel waliwahi chukua Sinai (Misri) ila baada ya pressure kubwa ya mataifa mbalimbali ikabidi waiachie otherwise leo hii misri wangeporwa ardhi kibao.

Anyway kama Israel anaachwa kuteka anavyojiskia, Ethiopia nayo iivamie Djibouti na Eritrea ijitwalie bandari alafu ndio utaona unafiki wa wazungu.
 
Back
Top Bottom