G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,276
- 38,847
Askari polisi abakufanyia udhalilishaji hadharani na bado una nguvu ya kuongea uliyoongea jana. Kwa wenzetu hiyo ni kesi kubwa kama mhusika akivalia njuga na anaungwa mkono na mamlaka. Ila wewe sasa.
Hii video watakuja kuiona wanao wakiwa watu wazima kisha wataangalia ulizungimza nini!
Hii video watakuja kuiona wanao wakiwa watu wazima kisha wataangalia ulizungimza nini!