Esther Matiko ahoji tofauti ya mishahara kwa askari magereza na askari polisi licha ya kuwa wote wapo wizara moja

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,716
45,121
"Nini kinasababisha tofauti ya maslahi kati ya Askari wa Jeshi la Polisi na Askari wa Jeshi la Magereza, mathalani Assistant Inspekta of Police anapewa basic salary shilingi laki tisa na elfu hamsini (950,000) wakati wa magereza anapewa kiasi cha shilingi laki nane na elfu hamsini na saba (857,000) tofauti ya takribani laki moja na wote wako Wizara ya Mambo ya Ndani na wana cheo kimoja nini kinapelekea utofauti wa mshahara huu," - Esther Matiko

My take:
Kama ofisa mwenye nyota moja analipwa hivyo, ni ngumu sana kwa rushwa kuisha nchi hii.
 
"Nini kinasababisha tofauti ya maslahi kati ya Askari wa Jeshi la Polisi na Askari wa Jeshi la Magereza, mathalani Assistant Inspekta of Police anapewa basic salary shilingi laki tisa na elfu hamsini (950,000) wakati wa magereza anapewa kiasi cha shilingi laki nane na elfu hamsini na saba (857,000) tofauti ya takribani laki moja na wote wako Wizara ya Mambo ya Ndani na wana cheo kimoja nini kinapelekea utofauti wa mshahara huu," - Esther Matiko

My take:
Kama ofisa mwenye nyota moja analipwa hivyo, ni ngumu sana kwa rushwa kuisha nchi hii.
CEO/Mawaziri/wabunge/RC/DC/RAS/DAS/DED/ n.k wanalipwa pesa ndefu sn lakini bado na rushwa wanachukua kwa sana
 
Ana-aim nini hapa Mb. matiko? Anataka nani apunguziwe au nani aongezewe?
"Nini kinasababisha tofauti ya maslahi kati ya Askari wa Jeshi la Polisi na Askari wa Jeshi la Magereza, mathalani Assistant Inspekta of Police anapewa basic salary shilingi laki tisa na elfu hamsini (950,000) wakati wa magereza anapewa kiasi cha shilingi laki nane na elfu hamsini na saba (857,000) tofauti ya takribani laki moja na wote wako Wizara ya Mambo ya Ndani na wana cheo kimoja nini kinapelekea utofauti wa mshahara huu," - Esther Matiko

My take:
Kama ofisa mwenye nyota moja analipwa hivyo, ni ngumu sana kwa rushwa kuisha nchi hii.

Mbunge angeanza na yeye mwenyewe kwanini
Anagonga meza na kulipwa 11M kwa mwezi
Wanaokimbizana na bunduki usiku kucha wanalipwa posho ya mbunge ya siku 3
 
"Nini kinasababisha tofauti ya maslahi kati ya Askari wa Jeshi la Polisi na Askari wa Jeshi la Magereza, mathalani Assistant Inspekta of Police anapewa basic salary shilingi laki tisa na elfu hamsini (950,000) wakati wa magereza anapewa kiasi cha shilingi laki nane na elfu hamsini na saba (857,000) tofauti ya takribani laki moja na wote wako Wizara ya Mambo ya Ndani na wana cheo kimoja nini kinapelekea utofauti wa mshahara huu," - Esther Matiko

My take:
Kama ofisa mwenye nyota moja analipwa hivyo, ni ngumu sana kwa rushwa kuisha nchi hii.
Magereza ni jeshi lenye askari wenye akili sana kuliko Polisi
 
"Nini kinasababisha tofauti ya maslahi kati ya Askari wa Jeshi la Polisi na Askari wa Jeshi la Magereza, mathalani Assistant Inspekta of Police anapewa basic salary shilingi laki tisa na elfu hamsini (950,000) wakati wa magereza anapewa kiasi cha shilingi laki nane na elfu hamsini na saba (857,000) tofauti ya takribani laki moja na wote wako Wizara ya Mambo ya Ndani na wana cheo kimoja nini kinapelekea utofauti wa mshahara huu," - Esther Matiko

My take:
Kama ofisa mwenye nyota moja analipwa hivyo, ni ngumu sana kwa rushwa kuisha nchi hii.
Sasa nimejua kuwa hawana hela watajua hawajui tukikutana viwanja hawa watoto .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kama ofisa mwenye nyota moja analipwa hivyo, ni ngumu sana kwa rushwa kuisha nchi hii
Rushwa ni tabia yako.
Kuna watumishi wanalipwa mamilioni lakini wanakula rushwa.
Huko huko polisi kuna Watumishi wanapokea mshahara chini ya huo lakini wamejitenga na rushwa
 
Muulize kwanini wabunge wanalipwa pesa nyingi kuliko watz wengine wakati wote wakiwa nchi moja?
"Nini kinasababisha tofauti ya maslahi kati ya Askari wa Jeshi la Polisi na Askari wa Jeshi la Magereza,ani Assistant Inspekta of Police anapewa basic salary shilingi laki tisa na elfu hamsini (950,000) wakati wa magereza anapewa kiasi cha shilingi laki nane na elfu hamsini na saba (857,000) tofauti ya takribani laki moja na wote wako Wizara ya Mambo ya Ndani na wana cheo kimoja nini kinapelekea utofauti wa mshahara huu," - Esther Matiko

My take:
Kama ofisa mwenye nyota moja analipwa hivyo, ni ngumu sana kwa rushwa kuisha nchi hii.
 
Kuwa cheo kimoja sio sababu ya kupata mshahara sawa, kitu cha msingi ni lini alikipata cheo. Kuna suala la "Salary Incliment" kwa wale tuliosoma Cuba watakua wamenielewa.
 
Hao polisi kuipata hiyo nyota moja wawe na digrii na kutumika zaidi ya miaka na miaka!!

Ninawadau wameingia upongo 2015, mwaka 2021/22 ndipo wakapata nyota pamoja na wengine walioanza na elimu za chini wakajiendeleza Hadi digree.

Nina mdau aliingia 2013 akaunga Hadi dip Bado ni vuruga vumbi vv aka cpl.

Wote Hawa Wana 30+.....

Wasipobahatka kuruka vyeo hawatavuka ASP!!

Na bahati mbaya wakaguzi wapo wengi sana Kwa Sasa, wataanza kupanda Kwa ubaguz ili kujenga pyramid la uongozi
 
Back
Top Bottom