Epuka kufanya mapenzi bafuni au chooni

Epuka kufanya mapenzi bafuni au chooni

Mkuu huu uzi inaonesha ni jinsi gani ulivyokuwa na imani haba,epuka kuamini ktk nguvu za giza.
 
Bakteria waliopo chooni ni 1000 times less ya wale walio mezani.
Inategemea na choo chenyewe ni kipi? Hivi vyoo vya stendi za bongo unataka kuniambia vina bakteria wachache kuliko meza yako ya ofisini? Acha masihara wewe, ile tafiti ilikuwa inakusudia vyoo vinavyosafishwa vizuri
 
Mti wa Chuma

aaa huu uongo huuu....
hao viumbe nani kawaweka humooo..teh teh... mkuu acha imani za kizamani bwana... kama ni majini au mapepo hata chumbani wapo, sebuleni wanafika kila kona...
ukiweka chumvi hapo umemwaga tu chumvi bure...
dawa ya yote hayo ni kumwomba Mungu tu, malaika zake walinde nyumba yako hapo jini hasogei hata kwenye tundu la choo
 
Last edited by a moderator:
jaribu uone utamu wake uone ka utaacha mana naona umesimuliwa tu
 
Hivyo ni vyoo vya nyumbani, na je vyoo vya ofisini ambapo wake za watu wanaliwa huko bila huruma inakuwaje?
Halafu chumvi ya nini wakati tunaipata tukianza kunyonya mkuu, hebu kuwa serious bana
 
Tena usiombe ukute na choo ndio kinatoa harufu yaani burudani inazidi kunoga haaa mapenzi ya chooni/bafuni matamu
 
JF bhana, hadi waganga wa kienyeji wamo. Chumvi inaua mapepo mahaba??? Haahahaa!
 
2.jpg

i3.jpg

index.jpg
 
Duh!
hizi imani za ajabu ajabu zinaturudisha nyuma sana! alafu wiki hizi mbili topix za "bafuni kutokuwa salama" naona zimepamba moto!
je store ni salama??
 
:dance:Unachekesha kweli rafiki yetu!!!
Tuko dunia ya karne ya 21 wewe bado unazungumzia habari za kumwagia chumvi mlangoni mwa bafu???
Hizo ni imani potofu. Mungu aliumba tendo la ndoa ili mme na mke walifurahie popote pale wanapoona panastaha, NA kingine nataka nikwambie katika vitendo ambavyo Mungu wa mbinguni anavifurahia kwenye MWili wa mwanadamu ni "TENDO LA NDOA" kama una mke wako wa halali fanya popote pale ambapo mnaona mnaenjoi mradi pawe na staha na Mungu atawabarikia.
Hayo mambo ya kuamini visivyoonekana ni ushirikina
 
Ninachofahamu ni kwamba:
1. Chumvi ni dawa ya kufukuza mambo ya giza yasikudhuru, kwani hata baadhi ya maaskofu/wachungaji huwa wanashauri kwamba mbali na maji ya baraka, pia kumwaga chumvi kuzungukia kitanda chako kabla ya kulala ni jambo jema.
2. Inasemekana kwamba katika nyumba, "mambo ya giza" hupendelea sana kukaa bafuni/chooni.

Nimetumia neno "mambo ya giza" kumaanisha yale yale anayojadili mtoa mada.

Vinginevyo tumweke mungu mbele, yeye ndiye mlinzi wetu wa ukweli na uhakika.

Mchambuzi,
Mimi naomba uchambuzi wako katika eneo lako maarufu la kisiasa hasa katika kipindi hiki cha UKAWA na CCM kuelekea Uchaguzi mkuu. Ni nini maoni yako na tutegemee nini??? Ujue wewe ni kati ya watu wachache wanaoniinspire kwenye mambo ya kisiasa. Nitafurahi sana nikiona umeanzisha thread ukielezea mambo ya kisiasa hapa Tanzania na hasa uchaguzi mkuu mkuu mwaka 2015. Ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom