Mbilimbi Mbovu
Senior Member
- May 25, 2015
- 185
- 119
Wachangiaji, nadhani mtoa mada anamaanisha vitu visivyoonekana kwa maana ya viumbe vya kiroho. Kuna ushahidi usio na shaka kuwa kuna uhusiano kati ya choo/bafu na makazi ya majini/mapepo/roho chafu na ngono ni tendo la kimwili lenye athari za kiroho; fo sho majini hupenda kukaa kwenye matumbo ya uzazi ya wanawake.
Sidhani kama kumbeza ni vizuri. Uhusiano wa chumvi na alichokisema siufahamu ila naweza kuwa na picha ya anachotaka kusema. Kuna wakati niliwahi kuishi maeneo yenye ushirikina wa kiwango cha kati, wenyeji wanadai kuwa huwezi kufanya shughuli kama ujenzi ikafanikiwa; hivyo wakapendekeza kabla ya kuanza mradi unyunyize chumvi na kunuia mema kwa unachotaka kufanya.
Mti wa Chuma, ahsante kwa tahadhari!
Sidhani kama kumbeza ni vizuri. Uhusiano wa chumvi na alichokisema siufahamu ila naweza kuwa na picha ya anachotaka kusema. Kuna wakati niliwahi kuishi maeneo yenye ushirikina wa kiwango cha kati, wenyeji wanadai kuwa huwezi kufanya shughuli kama ujenzi ikafanikiwa; hivyo wakapendekeza kabla ya kuanza mradi unyunyize chumvi na kunuia mema kwa unachotaka kufanya.
Mti wa Chuma, ahsante kwa tahadhari!