Epuka kufanya mapenzi bafuni au chooni

Epuka kufanya mapenzi bafuni au chooni

Hahhahhahahwhhahah Dunia inaangamia kwa ajili ya vitu viwili tuu ,HOFU NA IMANI. Hivyo vitu ndo vinateketeza dunia kwa sasa.
Umeambiwa uache kwakuwa na wewe ni mmojawapo ndo maana unaleta habari za kufikirika!

Ni salama kabisa mkuu
Mkuu umesoma juzuuh ngapi za kruan na ni shia au answal sun wenye pensi nyanya!!!??
 
asilimia 93 ya watanzania wanaamini uchawi au mambo yakichawi!!!!!!
 
Yaan jaman Jf ni zaidi ya burudan kuna vitu sikutegemea kuvisikia/kuvisoma lkn Jf vinapatikana bureeeee bila Vat wala kodi
 
Haya mambo hata mababu zetu walifanya sana kwenye vyoo vya nyasi na huko maporini kwenye wanyama wakali mbona hawajadhurika?

Acha kututisha bana mimi sitoacha na mama Ngina wangu
 
ha ha ha ha ha ha nimecheka sana lol, kitu ambacho labda tunatakiwa kuamini ni kwamba majini yapo, na uchawi upo na na hata kwenye bible vimetajwa na qur'an imetajwa.

Kinachotakiwa kufanyika ni kwamba hatutakiwa kuamini na kuwapa nguvu kiasi hicho, huyo jini akikukosa chooni hata chumbani kwako anaweza akaingia kwani kuna kizuizi gani au umbali gani kutoka chooni???

kumbuka hata hao majini hutuogopa kama tunasimama katika misingi mizuri ya dini, jini ni kiumbe ameumbwa tu na amehasi usimpe uwezo wa kukutawala na kukupa hofu tofauti alopewa jini anao uwezo wa kuzisoma mpaka nafsi zetu akikuona mtu kama wewe una hofu na yeye ndo anazidi kukutia hofu lakin akikuona huna hata mawazo naye anakupotezea.

Hujiulizi kwanini africa ndo kunaogngoza kwa mapepo n.k. ni kwasabab mnayaendekeza na yameshawasoma nafsi zenu yanawachezea mbona mzungu hapandishi shetani hata siku moja lol.
 
Back
Top Bottom