Epuka kufanya mapenzi bafuni au chooni

Epuka kufanya mapenzi bafuni au chooni

Mti wa Chuma

Kabla sijakubaliana nawe jibu hayo yangu matatu kwanza
1. Kama kuna vitu havionekani we umeonaje?
2. Na kama huwa huyafanyi mapenzi bafuni au chooni umejuaje kama watu hufanya?
3. Au kuna nini ulikifanya chooni yakakukuta hayo uloandika hapa?
 
Last edited by a moderator:
Hatuachi....
Ish Madam Evelyn Kumbe Na Ww Umo?
Ila Ata Mm Nakusapoti. Hao Viumbe.Wakiamua Kukuingia Wanakuingia Tu Ukiwa Toilet Regardless Unafanya Nini Koz Lazma Utakua CHIU Na Kujiachia.
Hizo Ni Imani Za Mtu Tu. Yani Hao Viumbe Waache Kukuingia Ukiwa Unaoga Na Vinginevyo Wakuingie Ukiwa Unachuchumia TamTam??Labda Kama Na Wao Wana GENYE.
Na Atuachiiii,Chezea Mchuchumio Huku Maji Yanakutiririka Ww!!
 
Sex is an art, watu wanapiga hadi darini
 
Mimi Na Ex Wangu Tulikua Ma-Expert Wa Kugegedana Kwenye Dari..
Yani Ilianza Kama Utani Naenda Kuangalia Nyaya Zmekorofisha Nkamuomba Anisaidie Kuleta Kisu Juu Si Kapanda Adi Darini Asee. One ThingbLed To The Other.Bas Tukapandisha Na Maboksi Ikifika Time Ananiambia Hatupandi Darini Kutengeneza Umeme,Apo Naelewa Anataka Dyudyu.
Warning:If U Dare Do This Usiwe Mnene Usije Ukashuka Na Hiyo Dari Afu Nyumba Ya Kupanga Au Kwa Mzee.Ila Makenge,Mijusi Na Mapaka Ujiandae Koz Ndo Audience Yenu. Na Joto Lake Mfanye Asubuhi,Jion Au Usiku.
 
Average Desk Harbors 400 Times More Bacteria Than Average Toilet Seat.
 
Mimi Na Ex Wangu Tulikua Ma-Expert Wa Kugegedana Kwenye Dari..
Yani Ilianza Kama Utani Naenda Kuangalia Nyaya Zmekorofisha Nkamuomba Anisaidie Kuleta Kisu Juu Si Kapanda Adi Darini Asee. One ThingbLed To The Other.Bas Tukapandisha Na Maboksi Ikifika Time Ananiambia Hatupandi Darini Kutengeneza Umeme,Apo Naelewa Anataka Dyudyu.
Warning:If U Dare Do This Usiwe Mnene Usije Ukashuka Na Hiyo Dari Afu Nyumba Ya Kupanga Au Kwa Mzee.Ila Makenge,Mijusi Na Mapaka Ujiandae Koz Ndo Audience Yenu. Na Joto Lake Mfanye Asubuhi,Jion Au Usiku.

Brother brother tafadhali bana. Darini? Halafu nilisikia hiyo mambo inakuwa babkubwa kama hamuipangi. Yaani inatokea tu automatically, jikoni, kwenye gari, kwenye kochi. Ila yenu mpaka maboksi mkapandisha, au mna nyota ya panya? Usitufanyie hivi bana.
 
Ning'iniza mfupa wa Kitimoto utakuwa salama zaidi.
 
Brother brother tafadhali bana. Darini? Halafu nilisikia hiyo mambo inakuwa babkubwa kama hamuipangi. Yaani inatokea tu automatically, jikoni, kwenye gari, kwenye kochi. Ila yenu mpaka maboksi mkapandisha, au mna nyota ya panya? Usitufanyie hivi bana.

Mapenzi Ni Uchizi Kaka Yani Ile Feeling Ya Kwamba Ur Being Nasty Na Ule Uprivate Wa Kule Juu Dah Ilikua Inanoga Sana. Kuna Siku Akaniambia Huko Juu Leo Sipandi Nikawa Mpole Eti Baadae Akapanda Afu Ananiita.
Ivyo Ndo Vitu Namkumbuka Na Yy Ananikumbushiaga.
Ananiitaga Mzee Wa Dari.
 
Back
Top Bottom