Epuka kufanya mapenzi bafuni au chooni

Epuka kufanya mapenzi bafuni au chooni

Kwa mentality ulizonazo mleta mada inaonekana kuna
siku utakija kusema kuwa tukienda msalani kujisaidia haja
kubwa na ndogo tusivue nguo kwani kuna vitu huko shimoni
vitatuchungulia kunako ""maeneo nyeti"".

Mkuu nadhani mtoa mada kaichimbua hapa.. http://www.spiritualresearchfoundation.org/spiritual-healing/self-healing/salt-water-remedy/
 
Fanya usafi wa choo mkuu. Maana naona hapa umewaza ule uchafu kwenye choo chako. Sisi wengine chooo ni safi sawa na vyumba vingine tu!
 
Habari msomaji wa uzi huu.

Ni siku nyingine tena tumekutana jamvini.

Twende kwenye mada...

Watu wengi hupendelea kufanya mapenzi wakiwa bafuni au chooni wakiwa wanaoga, asilimia kubwa wanaofanya hivo ni vijana.

Kuna hatari kubwa unaweza kupata ukifanya mapenzi bafuni ama chooni. Bafu na choo si sehemu pazuri pia si mahala salama, huko kuna viumbe wasionekana kwa macho ya binadamu.

Hivyo ukifanya mapenzi huko kuna uwezekano 100% viumbe hao wakakuingia mwilini na kusabibisha mambo mabaya juu yako, yakiwemo kuingiliwa kimwili ndotoni usiku unapokuwa umelaa.

Kuwa na tamaa ya ngono, kupungua nguvu za kiume, kama u mjamzito mimba kuharibika, ndoa/mahusiano kuvunjika, kutojisikia raha/hamu ya kufanya mapenzi. Hivyo ni hatari kufanya mapenzi bafuni au chooni.

Pamoja na hivo kama unatumia bafu/choo cha ndani na unapenda kusex huko kabla hamjafanya mapenzi fanya hivi; Chukua chumvi mwaga kidogo mlangoni mwa bafu au choo mtakuwa salama.


Hicho ukokiongea science inapingana nacho 100% amasivyo wewe ni mganga wa kienyeji
 
Habari msomaji wa uzi huu.

Ni siku nyingine tena tumekutana jamvini.

Twende kwenye mada...

Watu wengi hupendelea kufanya mapenzi wakiwa bafuni au chooni wakiwa wanaoga, asilimia kubwa wanaofanya hivo ni vijana.

Kuna hatari kubwa unaweza kupata ukifanya mapenzi bafuni ama chooni. Bafu na choo si sehemu pazuri pia si mahala salama, huko kuna viumbe wasionekana kwa macho ya binadamu.

Hivyo ukifanya mapenzi huko kuna uwezekano 100% viumbe hao wakakuingia mwilini na kusabibisha mambo mabaya juu yako, yakiwemo kuingiliwa kimwili ndotoni usiku unapokuwa umelaa.

Kuwa na tamaa ya ngono, kupungua nguvu za kiume, kama u mjamzito mimba kuharibika, ndoa/mahusiano kuvunjika, kutojisikia raha/hamu ya kufanya mapenzi. Hivyo ni hatari kufanya mapenzi bafuni au chooni.

Pamoja na hivo kama unatumia bafu/choo cha ndani na unapenda kusex huko kabla hamjafanya mapenzi fanya hivi; Chukua chumvi mwaga kidogo mlangoni mwa bafu au choo mtakuwa salama.



kwani hao viumbe wasioonekana wanapatikana chooni na bafuni tu?
 
Back
Top Bottom