Pasco naona umenipa like ya post ya miaka saba nyuma...anyway R.I.P Kibondeukiangalia utaona kwa wepesi tu kuwa alikua akimlenga ZITTO,na nadhani kilichomtisha zaidi,si kibonde bali aliemtuma na kumfadhili,ni jinsi Mhe Zitto,alivyomudu kwa ufanisi kuweka wazi mambo yote yenye utata kuhusu yeye kwenye mdahalo ulioendeshwa hapa JF leo....kama Zitto alivyosema,Njia Pekee ya kumaliza Majungu na Uzushi ni Uwazi,leo amekua muwazi na mkweli na imewagusa wengi...