Pasco,
Nyani Ngabu,
..I would never call Zitto mpumbavu, nadhani Kibonde amekwenda mbali.
..sidhani kama Kibonde anaweza kumuita kiongozi yoyote yule wa CCM mpumbavu.
..kwa upande mwingine, nashauri Zitto ajilipue tu na hayo majina.
..mbona Dr.Slaa alijilipua pale Mwembeyanga na ile orodha ya mafisadi na mpaka leo bado anapeta tu??
..au, Zitto amkabidhi Dr.Slaa mikoba yote uone mmang'ati atakavyoshughulika.
NB:
..Dr aliniacha hoi alivyowalipua Mkapa na Ole Njolay kwamba walijaribu kumhonga post kwenda ubalozini UN.