Hahahahaaa mbona mmechelewa sana kusema jaman nyie wadada,,,,,yani mmengoja watoto Wa watu wameharibika chaaa wakijua mnapenda afu sa HV ndo mnajifanya hampendi....sio vizuri Dada zangu
ha ha ha ha ngoja nikasome maandiko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama mnavyowahangaisha wanawake kuongeza makalio na matiti wakidhani mnapenda na ninyi hangaikeni hivyo hivyo kuongeza sehemu za siri na vifua mkidhani wanapenda yaani ni mwendo wa kuhangaishana hadi kieleweke si mnataka kuishi ili kufurahisha kila mtu endeleeni[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sasa si ndo anaku hold vizur!!?😀Mi ndo kabisaaaaa! Mwenye mapingili kama sijui mdudu gani hapana kwakweli!!!
Ndio mkuu, kwanza anatishaHahaha...eti Mapingili
Nje ya mada umeoa?ha ha ha six pack iendane na mshiko;Pack bila mshiko ni ugonjwa...binti mzuri na mrembo anatakiwa atatuliwe changamoto alizo nazo,mfano kama hana gari anunuliwe gari,hana nyumba anunuliwe/ajengewe nyumba n.k
Ndio + watoto 3Nje ya mada umeoa?
Hapana yani hata mshipa wa faham haushtuki..... kwa maumbo hayo sijui mitatoo sijui micheni cheni hapana kwa kweli.[emoji28]Sasa si ndo anaku hold vizur!!?[emoji3]
Ndio + watoto 3
kawaida mkuuSafi sana mkeo ana raha
Mwenzangu mipingili kama yote fua kama loteMi ndo kabisaaaaa! Mwenye mapingili kama sijui mdudu gani hapana kwakweli!!!
Picha pleaseAwe Mkaka tu wa kawaida Kifua kiasi,ila Hayo mamisuli kama anataka kupasuka mmh hapanaa, pia asiwe Mkubwaaa(mbaba)