ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,525
- 126,910
..aah kumbe hata kuingia bado, sasa unaogopa nini?Me bado ata kuingia ntatokaje
..aah kumbe hata kuingia bado, sasa unaogopa nini?Me bado ata kuingia ntatokaje
Naogopa kupitia nayoyaona kwa watu wa karibu..aah kumbe hata kuingia bado, sasa unaogopa nini?
Usiogope, kila mtu ana njia yake na hatutakaa tufanane. Nitamuonya mdogo wangu Saint Ivuga akupende na kukutunza [emoji39]Naogopa kupitia nayoyaona kwa watu wa karibu
Nakapenda ka arusha kangu.Usiogope, kila mtu ana njia yake na hatutakaa tufanane. Nitamuonya mdogo wangu Saint Ivuga akupende na kukutunza [emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jiongeze bas huon hizi mvuaNakapenda ka arusha kangu.
Ila kuna mafuriko nje kwa hio nimekafungia.
Si unajua wa arachuga maji ya mtaro tu yanawabebaga
Achana na huyo mzee hajui kuhudumia..unawajua wapare unawaskiaUsiogope, kila mtu ana njia yake na hatutakaa tufanane. Nitamuonya mdogo wangu Saint Ivuga akupende na kukutunza [emoji39]
🤣🤣🤣🤣ila wewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jiongeze bas huon hizi mvua
Hahaha Kwani Eli ni msukuma?Achana na huyo mzee hajui kuhudumia..unawajua wapare unawaskia
Kumbe katoto la arachuga, shikilia mkuu. Usikaache, huwa wanakuwa watamu sana hao..Nakapenda ka arusha kangu.
Ila kuna mafuriko nje kwa hio nimekafungia.
Si unajua wa arachuga maji ya mtaro tu yanawabebaga
Hapa kamefika.Kumbe katoto la arachuga, shikilia mkuu. Usikaache, huwa wanakuwa watamu sana hao..
Kumbee ni wale waleeHahaha Kwani Eli ni msukuma?
Muonyeshe picha ya samaki uone kama hatajilamba
Hahahaha, bado hajakupa ATM card yake tu, huwa tunawapa wake zetu wakae na card zetu za bank. Kuwa mvumilivu kidogo...[emoji23][emoji23]pole kumbe mpo group moja aiseee nawapa saluti kwa ubahili huyu mzee ananiringishia account yake kila siku lkn hakupi ata shiling kumi
[emoji3][emoji3][emoji3]siku akinipa ntaanzisha uzi hapa hapa jfHahahaha, bado hajakupa ATM card yake tu, huwa tunawapa wake zetu wakae na card zetu za bank. Kuwa mvumilivu kidogo...
Muombe sana Mungu
Hapana toka nimepata wazo lakuoa nakosa kabisa dem