Enyi mliooa, mlipataje wake?

Enyi mliooa, mlipataje wake?

Umenikumbusha ule wimbo wa,"Mke si nguo apatikane sokoni, wala sio kitunguu apatikane gengeni nasema" 😀 😀

Mkuu mshirikishe Mungu.Ishi kama ulivyo bila maigizo na usisite kumwambia mtu yeyote unayedhani anakufaa/mnaendana(unayeweza kubeba mapungufu yake).
Jangalason!

Wewe ni mhenga!
 
Kuna watu wana struggle sana kupata wanawake sahihi na wana rasilimali zote. Sie wengine ambao makapuku ndio dah wanawake hawasumbui kabisa na wife material ndio nakutana nao kwa wingi kuliko disposable material

mwee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom