Habari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umenichekesha kijana
Kupata mwanamke wa kuoa sio kazi kubwa kiukweli kama wengi wanavyoaminishwa haswa kwenye kipengere cha kuchagua mke bora
Fanya hivi
Bila shaka tayali unao wanawake wawili au wanne hivi ambao ni nyapu zako kila ukiomba gemu huwa unakula !!!!![emoji15][emoji15][emoji15]
Usinishangae huo ndo uanaume kama huna basi hebu jitahidi uwe nao
Pili hakikisha unakuwa nao kwa zaidi ya mwaka ili kila mmoja umfahamu vizuri tabia zake
Na hapa namaanisha utawagundua tabia zao yupi anakupenda sana
Yupi anauchi mtamu
Yupi msafi yupi mchafu
Yupi anagubu na yupi mpole
Yupi anapenda kujishughulisha yupi anapenda uboss
Yupi mcheshi yupo yupo cool
Yupi msomi yupi darasa la saba
Yupi ana kipato yupi hana
Yupi mpenda mizinga yupi kazi kazi n.k
Halafu sasa fanya selection yako kutoka kwa hao na ufanye maamuzi ya kumwoa yeye
Hakika nakwambia hutajuta na nataka nikuonye kwamba usioe mwanamke ambaye umekutana nae miezi miwili mitatu then unakuja na mihemko ya ndoa
ITAKULA KWAKO MAZIMA NA HATUTAJUA TUKUSAIDIAJE
Zingatia mitongozo yako kwa hawa wanawake usiwatajie ndoa ili iwe rahisi kwao wasi pretend tabia zisizokuwa zao kwa sababu tu wana ahadi ya ndoa utaharibu
Tembea nao kama mahawala tu then usome mchezo kimya kimya
Chunga sana UKIMWI upo cheza salama !!!
Nakutakia mke mwema