Engineers wetu hasa hasa hawa CIVIL ENGINEERS

Engineers wetu hasa hasa hawa CIVIL ENGINEERS

Wewe fundi mchundo, engineer anakuwa site kukagua kazi aliyodesign. Huwezi Fanya design porini huko huwa wanaenda kwa feasibility study. Engineer anatakiwa atumie akili siyo nguvu kama kibarua au wewe.
Kaka unakosea hapa. Huwezi ku design kabla hujaenda site mzee hasa hizi kazi za Civil.
 
Mkuu kwanza lazima nikiri umeandika huu uzi kwa kuwa wewe sio engineer, na kama sio engineer basi omba uelekezwe badala ya kutoa point zako za ki-nguin hapa zisizo na mshiko.

Pili, huwezi kumlinganisha engineer na mtu wa VETA. Engineer kasomea u-engineer na mtu wa VETA kazi za mchundo. Mtu wa VETA atajua kusuka nondo za column kuliko engineer ambae atamwambia asuke nondo za column. Mtu wa VETA atajua kufanya welding zaidi ya engineer anaemwambia afanye welding.

Tatu, mtu wa VETA atabishana na engineer kwamba huhitaji nondo zote hizo kwa kuwa mtu wa VETA anafikiria ni nondo ngapi zitatosha kusimamisha jengo au daraja wakati engineer anajua sio suala la kusimamisha jengo au daraja bali ni pamoja na uwezekano wa tetemeko, ukiukwaji wa uzito (maximum load), kugongwa na ndege, mafuriko nk, katika kitu kinaitwa "factor of safety" katika "extreme conditions".

Na ndio, engineer anatakiwa akae ofiini akipigwa kiyoyozi ili akili ifanye kazi vizuri na kutembelea site kila baada ya muda fulani na mtu wa VETA anatakiwa site muda wote.
Inaonekana bro umekariri fani,hapa unashuka msamiati wa class.

Kuna kanuni inasema " Huwezi kukijua kitu kama hukifanyii kazi"


Ukija kwa undani katika hizi fani wengi wetu huwa tunajidanganya sana.

Kuna eng mmoja aliwahi kusema leo hii vijana wengi wanakimbilia kusajiliwa as a Professional engineer lakini Professional Engineer kama hujui kazi ni kazi bure.
 
Leo nimeona niandike jambo flan juu ya hawa watu maana wanatumia mamlaka yao vibaya sana.

Sifa kuu ya Civil Engineers sio Cheti chenye Ufaulu mkali ukijisifia umetoka na GPA kali sana chuo kikuu, sifa kuu ni uwezo wa kutatua matatizo na changamoto mbalimbali katika practical works maana hapa ndio tunakujudge hicho kichwa chako.

Civil Engineer hutakiwa kukaa ofisini ukapulizwa AC ukalipwa mshahara mzuri ukaona umemaliza ndugu yangu ipo siku hata fundi aliesoma VETA uwashi atakuaibisha.

Kuna tatizo mahali kwenye kadi hii hapa Tanzania, wengi wa maengineer wetu ni watu wa ofisini sana wakisema wanadesign ili hali ni vichekeaho tu,

Hawa maemgineer ambao ni wengi sana kwenye nchi yetu hii huwa wabishi sana, wao wanachojua ni literature tu ukimweleza kitu atarudi kusoma notes, unaweza ukamwambia Eng hapa kutokana na sababu hii hatuhitaji chuma zote hizooo, yeye atakacho fanya leta calculation sheet unajiuliza maswali mpk unakosa majibu,

Jibu unalipata, huyu ni Engineer wa Ofisini.

View attachment 829844
Kwani anayeshauri provision ya chuma n.a. size ya structural member ni nani?
Anayekaa kufanya design (archtecture) ni nani?
Anayefanya project execution ni nani?
Nikipata majibu hayo nami nitarudi mkuu, maana labda nilikariri madesa tu.
 
Desigining inahitaji practical gani ya site?
Kama wewe ni civil eng lakini kama mchangiaji kama mimi unaweza usilijibu swali hili,kama ni muhusika wa fani husika nijibu swali hili chini :

Kaka nataka nikupe mfano au unipe hatua za kufanya designing (Usanifu) za usanifu wa foundation ya Lattice Sturcture Tower ya miguu minne ya material ya steel iron.

Nataka unionyeshe katika hatua hizo ni vipi uhitajiki kwenda site. Sio tunaongea tu.
 
Majority wana lack exposure, na hawataki kutoka nje ya comfort zone, akipata mchoro anataka nguzo within 6m , beam slab 450, ukimchallenge kidogo umevuruga kila kitu
Ndio shida ya wahandisi wengi hili lipo mpaka kwa wahandisi wa umeme,yaani wao ni majivuno mengi na kuleta desa kusipohitajika.

Naishi nao sana watu wa hivi. Tatizo lao kubwa pia huwa hawataki kujifunza hata kutoka kwa wale walio wazidi.
 
Nafikiri hao maengineer wanakuwa trained kuwa ma think tanks (critical thinkers), wewe technician unapoona hatua 10 yeye anaangalia hatua 100 zaidi. Wanakuwa na uelewa mpana zaidi wa mambo na options tofauti tofauti za kutoa miongozo ya utekelezaji. Ni sawa na kutaka daktari ashinde wodini kutoa matibabu, hajawa trained kwa ajili ya hilo. Yeye ata prescribe matibabu kwa case ambayo imekuwa referred kwake, lakini hutamwona anazunguka na sindano au dawa kuwapa wagonjwa.
Hivi mtoa mada anazungumzia kukaa ofisini au kujua kazi ?

Ngoja nipitie mada tena kwa mara ya pili.
 
Kama wewe ni civil eng lakini kama mchangiaji kama mimi unaweza usilijibu swali hili,kama ni muhusika wa fani husika nijibu swali hili chini :

Kaka nataka nikupe mfano au unipe hatua za kufanya designing (Usanifu) za usanifu wa foundation ya Lattice Sturcture Tower ya miguu minne ya material ya steel iron.

Nataka unionyeshe katika hatua hizo ni vipi uhitajiki kwenda site. Sio tunaongea tu.
Designing is just about Dimensioning of the structural elements Columns,Slabs,Beams and foundations sometimes walls in accordance to stability.Structural member pekee inayoathirika na Conditions za site ni Fiundations ambapo Engineer anatakiwa awe na soil properties za eneo husika especial bearing capacity ya udongo.
 
Inaonekana bro umekariri fani,hapa unashuka msamiati wa class.

Kuna kanuni inasema " Huwezi kukijua kitu kama hukifanyii kazi"


Ukija kwa undani katika hizi fani wengi wetu huwa tunajidanganya sana.

Kuna eng mmoja aliwahi kusema leo hii vijana wengi wanakimbilia kusajiliwa as a Professional engineer lakini Professional Engineer kama hujui kazi ni kazi bure.
Yaani wao wanakimbilia kusajiliwa wakati hawajui Kazi,ila muhimu hela inaingia kama Ada....HahahaaaTanzania banaaa
 
Kaka unakosea hapa. Huwezi ku design kabla hujaenda site mzee hasa hizi kazi za Civil.
Unajua maana ya feasibility study? Huo ndo mda wa kwenda site kwa engineer yeyote ata wa ulaya wanakujaga, mafundi ndo wanatekeleza mradi kwa miongozo ya michoro na Maelezo kutoka kwa engineers ambao kwa wakati huo watakuwa na kazi nyingine.
 
Designing is just about Dimensioning of the structural elements Columns,Slabs,Beams and foundations sometimes walls in accordance to stability.Structural member pekee inayoathirika na Conditions za site ni Fiundations ambapo Engineer anatakiwa awe na soil properties za eneo husika especial bearing capacity ya udongo.
Hujaonyesha kutohiyajika kwa design eng site.
 
Usiwape lawama mkuu engineers aka wahandisi, kwani kazi yoyote ya ujenzi inafanywa na watu watatu yaani Engineer / Mhandisi, Fundi Mchundo aka Technician na Fundi Sadifu (masons na wengine wengi)...kwa pamoja pakiwa pana ushirikiano usio wa kudharauliana kinatoka kitu bomba...Engineer anapokwenda kwenye vitabu sio kwamba ni mbishi bali anatafuta maelezo ya kiutaalam hata kama kitatokea kitu aweze kutoa maelezo

Mie sio engineer ila nimefanya kazi na hawa jamaa, sometime tunawaonea hasa wale wasio na uzoefu na kuwataka kufanya kazi kama wale wazoefu wakati yeye anakuwa hajafika level ya kufanya shortcut (tuwatie moyo mkuu ndio wametoka kwenye vyuo vyetu ambavyo havina practical za kutosha hivyo hata kama atabisha na kuchukua karatasi sio kwamba hataki ushauri wako bali anataka apate majawabu ya kisayansi)
 
Nashindwa Kujibu Comment Moja Moja..
Kwanza Mtoa Mada wewe ni Technician, Mambo ya Design Huyajui hata Kidogo..
Civil Engineer let say structural Engineer anadeal na Design za Structure.. icase ikatokea Architecture akadesign Mjengo na Civil Engineer akifanya Calculations za Load yaani toka Kwenye Roof adi kwenye Footing (Design) akaona kwamba design ya arch haiwezi himili Jengo lazma yeye afanye recomendatitions zake..Structural Engineeer kazi yake sio Kushika Plizer na Kufix steel au Ku Operate Concrete Mixer.. Yeye kazi yake ni kuhakikisha kila kitu kinafanyika kutoka na Design inavysema (Mchoro).. Mfano Kwenye Footing yaani Foundation ya Nguzo..Engineer akidesgn watumie labda Zege Grade 30 anatakiwa ahakikishe hio Grade ndio iliyotumika.. kama kwenye column Nondo inatakiwa kuwa mm20, maybe spacing kwenye Links ni mm200 yeye anatakiwa ahakikishe imefuatwa hivyo..

Sasa Nyinyi Ma Technician Mna tatizo Moja yaani Hamjui Totaly what is the Physics Beyond Engineers Recomendations..Kuna Wakati Mnasaidia kweli mfan kama Engineer sio Mzoefu na Technician ni Mzoefu kwa Miaka Mingi, anaeza mshauri Engineer kuwa kwenye ujenzi fulani case kama hii tulifanya hivi na hivi.. Japo Hajui Physics Behind..

Kuhusu Engineer Kukaa ofisini Umechemka.. Kwanza Ujue Kuna site engineer (Hukaa site) na design engineer (Hukaa Ofisini) (Mara nyingi ni Consultant)..

Unapoleta shutuma kama hizi unajitathmini kwanza


sina cha kukujibu, natembelea mifano hai, ulichosema nafahamu pengine kuzidi hata wewe, nimefanya kazi both consultant and consruction department,

Nimekutana na engs ameweka depth ya footing 2.5m, lakini excution kwenye real world ilihitaji 1.7m, alikataa, unaona storng rocks yenye uwezo wa kubeba jengo bado unataka kifanyike ulichosema kwanini snisikuite mzee wa litrature

ila narudia kusema wewe bado mchanga sana kwenye hili gemu kama ni architect, hujapractise au bado unasoma ko siwezi kuelezea ukaelewa

NARUDIA TENA: Architects wengi wanaharibiwa michoro kwa upungufu wa experience ya engs wetu, nimekutolea mfno, kama unasoma ardhi ingia ofisi ya mkonyi muulize

Usibishe kama hujapractise kwenye real world
 
Hujaonyesha kutohiyajika kwa design eng site.
Soil testing huwa inafanywa na Geotechnical expert ambao si lazima awe Engineer.Nilichohitaji ufafanuzi wa mtoa uzi ni kivipi uzoefu wa Engineer site unamsaidia katika kidesign hasa kulingana na picha aliyoionesha hapo mkuu.
 
sina cha kukujibu, natembelea mifano hai, ulichosema nafahamu pengine kuzidi hata wewe, nimefanya kazi both consultant and consruction department,

Nimekutana na engs ameweka depth ya footing 2.5m, lakini excution kwenye real world ilihitaji 1.7m, alikataa, unaona storng rocks yenye uwezo wa kubeba jengo bado unataka kifanyike ulichosema kwanini snisikuite mzee wa litrature

ila narudia kusema wewe bado mchanga sana kwenye hili gemu kama ni architect, hujapractise au bado unasoma ko siwezi kuelezea ukaelewa

NARUDIA TENA: Architects wengi wanaharibiwa michoro kwa upungufu wa experience ya engs wetu, nimekutolea mfno, kama unasoma ardhi ingia ofisi ya mkonyi muulize

Usibishe kama hujapractise kwenye real world
Mkuu nisichokuelewa ni kitu kimoja tuu.Ebu nieleweshe kidogo uzoefu wa Eng. Site unamsaidia vipi kudesign?
 
Mkuu kwanza lazima nikiri umeandika huu uzi kwa kuwa wewe sio engineer, na kama sio engineer basi omba uelekezwe badala ya kutoa point zako za ki-nguin hapa zisizo na mshiko.

Pili, huwezi kumlinganisha engineer na mtu wa VETA. Engineer kasomea u-engineer na mtu wa VETA kazi za mchundo. Mtu wa VETA atajua kusuka nondo za column kuliko engineer ambae atamwambia asuke nondo za column. Mtu wa VETA atajua kufanya welding zaidi ya engineer anaemwambia afanye welding.

Tatu, mtu wa VETA atabishana na engineer kwamba huhitaji nondo zote hizo kwa kuwa mtu wa VETA anafikiria ni nondo ngapi zitatosha kusimamisha jengo au daraja wakati engineer anajua sio suala la kusimamisha jengo au daraja bali ni pamoja na uwezekano wa tetemeko, ukiukwaji wa uzito (maximum load), kugongwa na ndege, mafuriko nk, katika kitu kinaitwa "factor of safety" katika "extreme conditions".

Na ndio, engineer anatakiwa akae ofiini akipigwa kiyoyozi ili akili ifanye kazi vizuri na kutembelea site kila baada ya muda fulani na mtu wa VETA anatakiwa site muda wote.
Asante
 
Back
Top Bottom