Engineers wetu hasa hasa hawa CIVIL ENGINEERS

Engineers wetu hasa hasa hawa CIVIL ENGINEERS

Nashindwa Kujibu Comment Moja Moja..
Kwanza Mtoa Mada wewe ni Technician, Mambo ya Design Huyajui hata Kidogo..
Civil Engineer let say structural Engineer anadeal na Design za Structure.. icase ikatokea Architecture akadesign Mjengo na Civil Engineer akifanya Calculations za Load yaani toka Kwenye Roof adi kwenye Footing (Design) akaona kwamba design ya arch haiwezi himili Jengo lazma yeye afanye recomendatitions zake..Structural Engineeer kazi yake sio Kushika Plizer na Kufix steel au Ku Operate Concrete Mixer.. Yeye kazi yake ni kuhakikisha kila kitu kinafanyika kutoka na Design inavysema (Mchoro).. Mfano Kwenye Footing yaani Foundation ya Nguzo..Engineer akidesgn watumie labda Zege Grade 30 anatakiwa ahakikishe hio Grade ndio iliyotumika.. kama kwenye column Nondo inatakiwa kuwa mm20, maybe spacing kwenye Links ni mm200 yeye anatakiwa ahakikishe imefuatwa hivyo..

Sasa Nyinyi Ma Technician Mna tatizo Moja yaani Hamjui Totaly what is the Physics Beyond Engineers Recomendations..Kuna Wakati Mnasaidia kweli mfan kama Engineer sio Mzoefu na Technician ni Mzoefu kwa Miaka Mingi, anaeza mshauri Engineer kuwa kwenye ujenzi fulani case kama hii tulifanya hivi na hivi.. Japo Hajui Physics Behind..

Kuhusu Engineer Kukaa ofisini Umechemka.. Kwanza Ujue Kuna site engineer (Hukaa site) na design engineer (Hukaa Ofisini) (Mara nyingi ni Consultant)..

Unapoleta shutuma kama hizi unajitathmini kwanza
 
Probably you Know Nothing About Engineering..

Wewe unaejua ndio useme nadhani, kama ni Architect by proffesional HAKIKA utakua mchanga sana kwenye hili gemu, na kma huyo niliemtaja HUMKUBALI basi sina cha kukusaidia

kifupi unaweza kuingia pale ofisini kwake ukamuuliza
 
Swala sio hakuna wa kudesign mkuu mbona tuna wakandarasi wa barabara lakini tender wanapewa wa china unataka kusema wanapewa sababu hakuna anaeweza kufanya kazi za barabara bongo..

Sijaja kuleta mada ya wa barabara, sijawahi kufanya nao kazi, nimefanya kazi na wa buildings, ninachosema nducho wanachofanya

Civil au ubora wa civil haupo bila practise ya site muda mrefu, na practise ya site sio kwenda kukagua na kutoa maelekezo

Tanzania hiii TANROADS engs wao wako njema kwa kua wanakesha site, changamoto nyingi wanajua wazitatuaje na sio literature
 
Mkuu who is an Engineer

Sijui, labda ukiniambia utakua umenisaidia, na sijaleta hii mada kujua who is an eng.

mada yangu nimeleta nikimaanisha udhaifu walionao civil eng katika kutoa maamuz yao, wengi wao ni watu wa ofisini, site na changamoto za site hawazijui ko utoaji maamuzi katika kazi flani inayohitaji real experience/real practical wao wanatumia literature kutoa maamuzi yao, huku wakiogopa wasipofanya hivyo mzigo utawarudia,

nikatoa mfano, Cantiliver ya 5m eng anaprovide ma nondoo mengiii.

Maarchitects ni wahanga wakubwa, ndio maana napata UKAKASI na wewe juu ya hili, kama bado unasoma huwezi kunielewa/una muda mfupi kwenye hilo gemu, au kama unachukulia complex sftructur ndizo zile ulizodesign mwaka wa 4/5 ukaona uko njema badooo sana
 
Mkuu hiyo cantiliver umeangalia ni ya material gan maana bongo asilimia kubwa ya structure ni concrete....kwa upande wa steel ndo pekee inaweza kuaccomodate span kubwa kwny cantiliver....
picha yangu niliyoweka wakati nafungua uzi huu inatosha kujibu hili swali
 
Nashindwa Kujibu Comment Moja Moja..
Kwanza Mtoa Mada wewe ni Technician, Mambo ya Design Huyajui hata Kidogo..
Civil Engineer let say structural Engineer anadeal na Design za Structure.. icase ikatokea Architecture akadesign Mjengo na Civil Engineer akifanya Calculations za Load yaani toka Kwenye Roof adi kwenye Footing (Design) akaona kwamba design ya arch haiwezi himili Jengo lazma yeye afanye recomendatitions zake..Structural Engineeer kazi yake sio Kushika Plizer na Kufix steel au Ku Operate Concrete Mixer.. Yeye kazi yake ni kuhakikisha kila kitu kinafanyika kutoka na Design inavysema (Mchoro).. Mfano Kwenye Footing yaani Foundation ya Nguzo..Engineer akidesgn watumie labda Zege Grade 30 anatakiwa ahakikishe hio Grade ndio iliyotumika.. kama kwenye column Nondo inatakiwa kuwa mm20, maybe spacing kwenye Links ni mm200 yeye anatakiwa ahakikishe imefuatwa hivyo..

Sasa Nyinyi Ma Technician Mna tatizo Moja yaani Hamjui Totaly what is the Physics Beyond Engineers Recomendations..Kuna Wakati Mnasaidia kweli mfan kama Engineer sio Mzoefu na Technician ni Mzoefu kwa Miaka Mingi, anaeza mshauri Engineer kuwa kwenye ujenzi fulani case kama hii tulifanya hivi na hivi.. Japo Hajui Physics Behind..

Kuhusu Engineer Kukaa ofisini Umechemka.. Kwanza Ujue Kuna site engineer (Hukaa site) na design engineer (Hukaa Ofisini) (Mara nyingi ni Consultant)..

Unapoleta shutuma kama hizi unajitathmini kwanza
Achana nae huyo, usimpe elimu hiyo, mwambie aende darasani nae akasome !
 
Unajua unachosema? Yaani engineers wafanye kazi za -engineer, u-technician (FTC), ufundi mchundo, (VETA)?

Umehamia chama tawala nini? Achana na siasa nenda kasome.
hahaa ", unamaanisha kwamba ikihamia chama tawala" Akili zinatoweka ghafla",au sijakuelewa """!!?
 
What is Civil Engineering? Huenda tuanzie hapo

Hivi kijumba single level kinahitaji Engineer kweli au architect? Watu wengi wanawachanganya Engineer na Architect
Mkubwa, walio serious na fani zao, ni lazima usome B.Eng/BSc CIVIL ENGINEERING kwanza kisha upige paa la architect.

Msingi wa hizo fani zote uwe CIVIL.
 
Bongo kuna engineer???
Unamfahamu Eng Patrick mfugale? Kwa taarifa yako tuu madaraja mengi unayoyaona yamedesigniwa na yeye, ukiwa unaenda kwenu kijijini uwe unachungulia dirishani kidogo mkuu...
Hii kasumba ya kudharau taaluma za watu mmeitoa wapi?
Yaan inafikia hatua Civil Eng. Unamfananisha na Veta? Huu ni unyamwazi
 
Unamfahamu Eng Patrick mfugale? Kwa taarifa yako tuu madaraja mengi unayoyaona yamedesigniwa na yeye, ukiwa unaenda kwenu kijijini uwe unachungulia dirishani kidogo mkuu...
Hii kasumba ya kudharau taaluma za watu mmeitoa wapi?
Yaan inafikia hatua Civil Eng. Unamfananisha na Veta? Huu ni unyamwazi
Bongo hakuna engineer bhana, acha kelele
 
Sasa Civil Engineer hapo anahusikaje?
Alikutenda nini?
Soil testing anfanya nani ? Je uoni haja ya kuwepo eng site kutafuta sample marudhawa na wapi pa kupata sample nzuri ya udongo ? Jwa ufupi design engineer site lazima aende.
 
Hapa Utaona Ma engineer wanavyoteteana,hahahaa wengine wanatetea ili wazidi kuwapoteza Wenzao....Ukweli Utabaki Pale Pale,Ndio Maana Nowadays Nyumba tuu za Kawaida maeneo ya Kijichi,Kinyerezi,Mbweni,Ununio nk Unakuta nyumba Imejengwa hatari Nzuri sana tena na MTU ambae sio hata Engineer,sasa MPE kazi Engineer uone kitakachotokea na Cost juu zaidi,Haya mambo yanahitaji More Experiences, na Sio Tuu upande wa Civil hata Fani nyingine kama Umeme,Mechanical,
Unaweza kuta Electrical technician anajua zaidi kuliko Engineer,Nenda Viwandani Utajua naongea Nini,
MZEEE IVI UJUI KWAMBA IVO VINYUMBA VIDOGO AVIITAJI STRUCTURAL ENGINEER JUST FUNDI AU ACHTECTURAL
 
Nimetoa rai kwao, wengi wa engineers wetu ni watu wa literature, hawataki kukaa site kujua vitu practical
Bro uko sahihi huwezi kuwa engineer bora na mzuri kama hakai site,zaidi wewe utakuwa unafanya biashara ya engineering na hawa wako wengi.

Sijui katika field nyingine za engineering ila hizi za Mechanicl,Electrical na Civil site hapaepukiki.
 
Back
Top Bottom