Engineers wetu hasa hasa hawa CIVIL ENGINEERS

Engineers wetu hasa hasa hawa CIVIL ENGINEERS

What is Civil Engineering? Huenda tuanzie hapo

Hivi kijumba single level kinahitaji Engineer kweli au architect? Watu wengi wanawachanganya Engineer na Architect

Bongo Civil Engineer wapo wachache sana, ila wengi ni literature tu
 
Sijawahi kuziona, kwa hiyo ni kosa kwa civil Engineer? Kuona cantilever kama zile ni requirements za client
Kama bongo zingehitajika ungeziona

Hahaha, Bongo cantiliver Eng nani anaweza fanya hizo?? utazunguka sana, wanaoongoza kuharibu michoro ya wasanifu ni engineers kwa kwetu

Nakupa mfano tu Muulize Arch Mkonyi alichora Treasury ile ya Dodoma kwenye entrance tu alierka cantiliver isiyozid hata 5M nenda kaangalie ile entrance walivojaza manguzo yasiyo na misingi.
 
What is Civil Engineering? Huenda tuanzie hapo

Hivi kijumba single level kinahitaji Engineer kweli au architect? Watu wengi wanawachanganya Engineer na Architect
Unaona Sasa....Tatizo wengine wamekariri kama form one...what is this...Define this...
Tena Wameenda mbali Kuona Civil Engineer kama ulivyosema eti kijumba Kwa hiyo Civil Yeye adili na Madaraja,Maghorofaaaa,Mahekaluuu,Ma Malls, hahaha huyo ndo Civil engineer kwa Mtazamo wako,na Haitajiki Kujihusicha na Nyumba za Makazi say Nyumba 150 za Nssf,Nyumba 500 Za NHC,wewe hao Sio civil,Haya Mkuu....ila Tahadhari...usidharau kazi, Ufanisi unaanzia Kwenye Kazi ndogo kwenda Kubwa jinsi ilivyo Design tuu unajua hapa Kuna mkono wa Ndalama hata kama ni kitu,Nyumba ndogo.
 
Hahaha, Bongo cantiliver Eng nani anaweza fanya hizo?? utazunguka sana, wanaoongoza kuharibu michoro ya wasanifu ni engineers kwa kwetu

Nakupa mfano tu Muulize Arch Mkonyi alichora Treasury ile ya Dodoma kwenye entrance tu alierka cantiliver isiyozid hata 5M nenda kaangalie ile entrance walivojaza manguzo yasiyo na misingi.
Unajuaje kama hakureview?

Project managers wa buildings mara nyingi ni architects

Ina maana wajenzi waliweka hayo manguzo kutokana na mchoro gani kama sio wa architect?
 
Unajuaje kama hakureview?

Project managers wa buildings mara nyingi ni architects

Ina maana wajenzi waliweka hayo manguzo kutokana na mchoro gani kama sio wa architect?

Nimeshakwambia, kilichokusudiwa pale ni cantiliver ila Eng mbishi akaweka manguzo

Project manager anaweza kuwa YEYOTE YULE na hasa TAASISI nyingi za SERIKALI bado hazijajua Architect/Qs

Proposed ni eng waweke hayo MANGUZO
 
Unaona Sasa....Tatizo wengine wamekariri kama form one...what is this...Define this...
Tena Wameenda mbali Kuona Civil Engineer kama ulivyosema eti kijumba Kwa hiyo Civil Yeye adili na Madaraja,Maghorofaaaa,Mahekaluuu,Ma Malls, hahaha huyo ndo Civil engineer kwa Mtazamo wako,na Haitajiki Kujihusicha na Nyumba za Makazi say Nyumba 150 za Nssf,Nyumba 500 Za NHC,wewe hao Sio civil,Haya Mkuu....ila Tahadhari...usidharau kazi, Ufanisi unaanzia Kwenye Kazi ndogo kwenda Kubwa jinsi ilivyo Design tuu unajua hapa Kuna mkono wa Ndalama hata kama ni kitu,Nyumba ndogo.

Civil wetu wao ni Literature TUUUUUU, ila Practical ni 0 kabisa na huwa hawataki kujifunza wao ni ubishi tu
 
Hahaha, Bongo cantiliver Eng nani anaweza fanya hizo?? utazunguka sana, wanaoongoza kuharibu michoro ya wasanifu ni engineers kwa kwetu

Nakupa mfano tu Muulize Arch Mkonyi alichora Treasury ile ya Dodoma kwenye entrance tu alierka cantiliver isiyozid hata 5M nenda kaangalie ile entrance walivojaza manguzo yasiyo na misingi.
Tetemeko likipita ndio utajua maana ya hiyo minguzo.

Endeleeni kutiririsha hoja ila msijifungie kifikra.
 
Unaona Sasa....Tatizo wengine wamekariri kama form one...what is this...Define this...
Tena Wameenda mbali Kuona Civil Engineer kama ulivyosema eti kijumba Kwa hiyo Civil Yeye adili na Madaraja,Maghorofaaaa,Mahekaluuu,Ma Malls, hahaha huyo ndo Civil engineer kwa Mtazamo wako,na Haitajiki Kujihusicha na Nyumba za Makazi say Nyumba 150 za Nssf,Nyumba 500 Za NHC,wewe hao Sio civil,Haya Mkuu....ila Tahadhari...usidharau kazi, Ufanisi unaanzia Kwenye Kazi ndogo kwenda Kubwa jinsi ilivyo Design tuu unajua hapa Kuna mkono wa Ndalama hata kama ni kitu,Nyumba ndogo.
You got me wrong mkuu, nyumba zimeanza kujengwa miaka mingi kabla hawa wanaoitwa civil Engineers hawajawapo, unafikiri zile Pyramids za Misri zilijengwa na Engineers?
 
Tetemeko likipita ndio utajua maana ya hiyo minguzo.

Endeleeni kutiririsha hoja ila msijifungie kifikra.

Nchi kama Japan iliyopo kwenye matetemeko na ina majengo marefu hawaogopi leo tz eng waogope cantilever ya 5m
 
Wewe fundi mchundo, engineer anakuwa site kukagua kazi aliyodesign. Huwezi Fanya design porini huko huwa wanaenda kwa feasibility study. Engineer anatakiwa atumie akili siyo nguvu kama kibarua au wewe.

Walewale
 
Hawaiogopahudi Jr II, post: 27879622, member: 347749"]Nchi kama Japan iliyopo kwenye matetemeko na ina majengo marefu hawaogopi leo tz eng waogope cantilever ya 5m[/QUOTE]
Hawaiogopi bali hoja yao ilikuwa na mashiko zaidi pale designer alipotakiwa kutetea designing yake.
 
Civil Engineer hutakiwa kukaa ofisini ukapulizwa AC ukalipwa mshahara mzuri ukaona umemaliza ndugu yangu ipo siku hata fundi aliesoma VETA uwashi atakuaibisha.

Kuna tatizo mahali kwenye kadi hii hapa Tanzania, wengi wa maengineer wetu ni watu wa ofisini sana wakisema wanadesign ili hali ni vichekeaho tu,

Hawa maemgineer ambao ni wengi sana kwenye nchi yetu hii huwa wabishi sana, wao wanachojua ni literature tu ukimweleza kitu atarudi kusoma notes, unaweza ukamwambia Eng hapa kutokana na sababu hii hatuhitaji chuma zote hizooo, yeye atakacho fanya leta calculation sheet unajiuliza maswali mpk unakosa majibu,

Mkuu kwanza lazima nikiri umeandika huu uzi kwa kuwa wewe sio engineer, na kama sio engineer basi omba uelekezwe badala ya kutoa point zako za ki-nguin hapa zisizo na mshiko.

Pili, huwezi kumlinganisha engineer na mtu wa VETA. Engineer kasomea u-engineer na mtu wa VETA kazi za mchundo. Mtu wa VETA atajua kusuka nondo za column kuliko engineer ambae atamwambia asuke nondo za column. Mtu wa VETA atajua kufanya welding zaidi ya engineer anaemwambia afanye welding.

Tatu, mtu wa VETA atabishana na engineer kwamba huhitaji nondo zote hizo kwa kuwa mtu wa VETA anafikiria ni nondo ngapi zitatosha kusimamisha jengo au daraja wakati engineer anajua sio suala la kusimamisha jengo au daraja bali ni pamoja na uwezekano wa tetemeko, ukiukwaji wa uzito (maximum load), kugongwa na ndege, mafuriko nk, katika kitu kinaitwa "factor of safety" katika "extreme conditions".

Na ndio, engineer anatakiwa akae ofiini akipigwa kiyoyozi ili akili ifanye kazi vizuri na kutembelea site kila baada ya muda fulani na mtu wa VETA anatakiwa site muda wote.
 
Back
Top Bottom