Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,542
Sijui kwanini anawashambulia civil engs, hivi hakuna walimu wenye mapungufu?, doctors, accountants,..... watawala?Unajua unachosema? Yaani engineers wafanye kazi za -engineer, u-technician (FTC), ufundi mchundo, (VETA)?
Umehamia chama tawala nini? Achana na siasa nenda kasome.
Hii kama sio obsession basi ni kisasi