ENGEN Mikocheni wauza mafuta Machafu?

Watu

JF-Expert Member
May 12, 2008
3,231
1,470
Tahadahari tahadhari

Uchakachuaji wamafuta umerudi tena kwa kasi, watu wengi nikiwemo mimi mwenywe nimezimikiwa gari baada ya kujaza mafuta kituoni hapo!!!
 
Tahadahari tahadhari

Uchakachuaji wamafuta umerudi tena kwa kasi, watu wengi nikiwemo mimi mwenywe nimezimikiwa gari baada ya kujaza mafuta kituoni hapo!!!

Mkuu ebu niambie gari yako imekuwaje na signs zilikuwa vipi maana niliweka wese hapo kwenye saa kumi na mbili leo na nimefika njia panda ya clouds naona kama gari ilikuwa imebadilika mlio na kuwa nzito flani.. Ebu tujuze mkuu..
 
You guys, gari kuzima inawezekana kuna matatizo mengi. Unless you are sure the reason is contaminated fuel, vinginevyo si vema ku speculate
 
Mpaka sasa gari langu linasumbua yapata wiki. Niliweka mafuta ya laki 1 kituoni hapa na siku moja baadae gari langu likaanza kusumbua. Ni la petroli. Kama tetesi hizi zina ukweli wowote basi wameniharibia gari. Nifanyeje wakuu? Gari linajizima ovyo barabarani na linanitoa nishai, gari jipya tu
 
You guys, gari kuzima inawezekana kuna matatizo mengi. Unless you are sure the reason is contaminated fuel, vinginevyo si vema ku speculate

Mkuu sidhani kama prob itakuwa ya gari, maana hii gari haina hata mwezi barabarani n ilipofika tu niliipiga full service.. Why today baada ya kuweka wese hapo. Nimeenda BP kuongeza mafuta zaidi kujaribu kupunguza concentration ya mchakachuo will it help??
 
Wapendwa nilikuwa nafanya kazi zangu nikaona mmoja amelalamikia hii sehemu ya kuchukulia mafuta
pengine imekuwa ikiaminika sana sana lakini mwenzangu ameongelea uchakachuaji wa mafuta mi nilikuwa mpenzi sana wa hiyo sheli ...siku nilijaza mafuta aikwenda mbali ikazima gari

niakmwita fundi pale kwa mwl nyerere akasema mafuta yana maji ama yamechanganywa na kitu akasema mapaka ivutwe kesho tuifanyie kazi nikaita gari nyumban wakaja kuivuta walipotoa mafuta asbh yake ni aibu nikawasha rvr nikawapelekea ......kama uliskia hivi karibuni kuna uongozi umebadikishwa na si hivyo tu walifunga na shell under ultimate moja ya issue ni kuchanganya mafuta na jamaa alikuwa amlipi mhusika aliemkodishia kituo

hii ninayoongea ya leo asbh saa nne dada mmoja kaja kunijazia jamani..upande wa kulia kuna mtu na pickup amejaza mafuta ya alfu hamsini ,, imeandikwa kabisa jamaa alipomaliza akasimama akamwita yule aliekuwa ananijazia akamwambia 40,000 kkumbuka ....jamani nilishindwa kuamini walipomaliza dada anaanza na s nikamuuliza kulikoni anakwamia 40,000 noana imeandikwa 50,000 akanijibu unataka kuongeza na wewe huku anaenda ...loh ..nikakoma nikaenda zangu kujaza full tank pale bp sheraton na kama nao wanapiga mi sijui

ila hiki kituo kina kazi wahindi wamefundwa kujaza mafuta yataa basi imekosa ubora kabisa
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nikajiuliza nimejaza ya 10,000 mungu wangu si wameniwekea ya alfu 2
 
Mkuu tulia basi ufafanue kiundani tukuelewe, inawezekana ni hisia tu.
Najaribu kufikiri kua gari imezima sababu ya kuwekewa mafuta yaliyochanganyika na upepo.
Anyway, niña mobile Namba ya kuanzia mmiliki, manager mpaka Engen makao makuu, watakusaidia.
 
He Jamani hata mimi nimepata the same problem. Jana nimeweka mafuta pale Engen Mikocheni kutoka tu hapo gari likwa kama nilishtukashituka hadi leo asubuhi.
 
Dear All, we are very surprised with the reactions here.

We have stopped immediate sell of petrol at our station and will investigate. As to the number people who feel that they got "upepo" - we have have a fully calibrated measuring can.

You are welcome to come and see what our pumps deliver; we are immediately welcoming all those who feel their vehicles have a problem, to bring the vehicles at station. We will then perhaps also compare the 'tests' in your vehicle and what we have in the tank.

Please note recently we had no petrol for 4 days, we had options to buy petrol from depots other than Engen, but we did NOT buy because we wanted to be sure of quality, until we got fuel from the Engen depot, as Engen depot we are required to buy fuel from Engen...we are not taking this lightly...we will check and revert shortly
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu tulia basi ufafanue kiundani tukuelewe, inawezekana ni hisia tu.
Najaribu kufikiri kua gari imezima sababu ya kuwekewa mafuta yaliyochanganyika na upepo.
Anyway, niña mobile Namba ya kuanzia mmiliki, manager mpaka Engen makao makuu, watakusaidia.


Mkuu sijakusoma, hapo ndio umemaanisha nini?
 
Dear All, we are very surprised with the reactions here.

We have stopped immediate sell of petrol at our station and will investigate. As to the number people who feel that they got "upepo" - we have have a fully calibrated measuring can.

You are welcome to come and see what our pumps deliver; we are immediately welcoming all those who feel their vehicles have a problem, to bring the vehicles at station. We will then perhaps also compare the 'tests' in your vehicle and what we have in the tank.

Please note recently we had no petrol for 4 days, we had options to buy petrol from depots other than Engen, but we did NOT buy because we wanted to be sure of quality, until we got fuel from the Engen depot, as Engen depot we are required to buy fuel from Engen...we are not taking this lightly...we will check and revert shortly


Bila shaka mtakuwa mmewasoma wahusika hapo juu, kazi ni kwenu sasa.


He Jamani hata mimi nimepata the same problem. Jana nimeweka mafuta pale Engen Mikocheni kutoka tu hapo gari likwa kama nilishtukashituka hadi leo asubuhi.

nimepata same problem from Engen,hawa wahindi is a matter of time

Mpaka sasa gari langu linasumbua yapata wiki. Niliweka mafuta ya laki 1 kituoni hapa na siku moja baadae gari langu likaanza kusumbua. Ni la petroli. Kama tetesi hizi zina ukweli wowote basi wameniharibia gari. Nifanyeje wakuu? Gari linajizima ovyo barabarani na linanitoa nishai, gari jipya tu

Mkuu ebu niambie gari yako imekuwaje na signs zilikuwa vipi maana niliweka wese hapo kwenye saa kumi na mbili leo na nimefika njia panda ya clouds naona kama gari ilikuwa imebadilika mlio na kuwa nzito flani.. Ebu tujuze mkuu..

Tahadahari tahadhari

Uchakachuaji wamafuta umerudi tena kwa kasi, watu wengi nikiwemo mimi mwenywe nimezimikiwa gari baada ya kujaza mafuta kituoni hapo!!!

Wapendwa nilikuwa nafanya kazi zangu nikaona mmoja amelalamikia hii sehemu ya kuchukulia mafuta
pengine imekuwa ikiaminika sana sana lakini mwenzangu ameongelea uchakachuaji wa mafuta mi nilikuwa mpenzi sana wa hiyo sheli ...siku nilijaza mafuta aikwenda mbali ikazima gari

niakmwita fundi pale kwa mwl nyerere akasema mafuta yana maji ama yamechanganywa na kitu akasema mapaka ivutwe kesho tuifanyie kazi nikaita gari nyumban wakaja kuivuta walipotoa mafuta asbh yake ni aibu nikawasha rvr nikawapelekea ......kama uliskia hivi karibuni kuna uongozi umebadikishwa na si hivyo tu walifunga na shell under ultimate moja ya issue ni kuchanganya mafuta na jamaa alikuwa amlipi mhusika aliemkodishia kituo

hii ninayoongea ya leo asbh saa nne dada mmoja kaja kunijazia jamani..upande wa kulia kuna mtu na pickup amejaza mafuta ya alfu hamsini ,, imeandikwa kabisa jamaa alipomaliza akasimama akamwita yule aliekuwa ananijazia akamwambia 40,000 kkumbuka ....jamani nilishindwa kuamini walipomaliza dada anaanza na s nikamuuliza kulikoni anakwamia 40,000 noana imeandikwa 50,000 akanijibu unataka kuongeza na wewe huku anaenda ...loh ..nikakoma nikaenda zangu kujaza full tank pale bp sheraton na kama nao wanapiga mi sijui

ila hiki kituo kina kazi wahindi wamefundwa kujaza mafuta yataa basi imekosa ubora kabisa
 
Mpaka sasa gari langu linasumbua yapata wiki. Niliweka mafuta ya laki 1 kituoni hapa na siku moja baadae gari langu likaanza kusumbua. Ni la petroli. Kama tetesi hizi zina ukweli wowote basi wameniharibia gari. Nifanyeje wakuu? Gari linajizima ovyo barabarani na linanitoa nishai, gari jipya tu

Hayo ni mafuta machafu! Hata mimi ilinitokea last week. Shida ilikuwa gari ikifika kwenye mwinuko mdogo tu inaishiwa nguvu hata ukilazimisha kukanyaga accelerator bado hupati mwendo na mara nyingine inazimika. Nikalipeleka kwa fundi, wakashusha tank la mafuta, wakakuta maji kibao. Tukamwaga yale mafuta na kuweka mengine, sasa gari iko bomba. Ushauri wa BURE; jitahidi kununua mafuta vituo vya mjini. sikwambii vituo gani kwani sitaki kuwatangazia biashara.
 
Kuna agency Zinajilipa hela Kibao Kwa Ajili ya Kufanya Kazi Hii! Nadhani Kwa aliyepata matatizo ni Bora akaenda kwa Wahusika!! Kuna TBS - Ubora, Kuna EWURA - Hawa nao wanyonga hela Kibao ila kwa kusema ukweli Sijui Hata Kazi Yao!! Pia Kuna hawa wa WEGHS AND MEASURES. Wako pala Ilala Boma!! Huu ni full Mkanganyiko kwani Hakuna Hata Mmoja anayejua Jukuma lake la Kumlinda Mlaji linaishia wapi!!!
 
Wewe uliosema wamekuchafulia, naomba utueleze una "proof" gani that only mafuta ndiyo imekuharibia? Au unaongelea mashaka tu? Na kama je, kwanini usiwafuate hao wenye sheli uka claim? instead of kulalamika hapo!!
guys pengine huyu hana hata gari... anaropoka tu... Au ni wivu wa watu wengine bcoz naona kama racisicm nyingi tu...
 
Nadhani lisemwalo lipo, wamejitokeza wengi walionunua mafuta hapo wanasema magari yao yalikuwa na matatizo ya kuzima dawa ni kutonunua mafuta kwenye hicho kituo.
 
Mimi huwa nanunua Victoria Service station, nikiamini kuwa mmiliki wake ampokea Mungu hawezi kuwa na tamaa hizo, sijui kama najidanganya au ni kweli.
 
Back
Top Bottom