how tulikuwa watumwa
Member
- Jul 23, 2023
- 38
- 136
Habar wadau wa Jamiforums leo nimeona niwaletee hii.
Tanzania wauza Mafuta asilimia 90 wote ni wezi na gari ya mafuta wanaiuza mara mbili kwa wateja je wanafanyaje
Watu wa Petrol station wengi ni Matapeli hasa kwa wale watu wanao enda kujaza mafuta full tank kwenye gari hasa wale ambao walikuwa na mafuta kiasi tayari ndani ya gari sababu mara nyingi huwa wanaiba hapo ukitaka kuamin ilo kama full tank yako huwa unajaza kwa shilingi laki 2 siku weka mafuta ya elfu hamsini halafu nenda sheli yoyote waambie wakuwekee full tank machine itasoma laki2 ile ile
Kwa wenye magari mnaweza mkajaribu hili pia na mamlaka mfatilie.
Tanzania wauza Mafuta asilimia 90 wote ni wezi na gari ya mafuta wanaiuza mara mbili kwa wateja je wanafanyaje
Watu wa Petrol station wengi ni Matapeli hasa kwa wale watu wanao enda kujaza mafuta full tank kwenye gari hasa wale ambao walikuwa na mafuta kiasi tayari ndani ya gari sababu mara nyingi huwa wanaiba hapo ukitaka kuamin ilo kama full tank yako huwa unajaza kwa shilingi laki 2 siku weka mafuta ya elfu hamsini halafu nenda sheli yoyote waambie wakuwekee full tank machine itasoma laki2 ile ile
Kwa wenye magari mnaweza mkajaribu hili pia na mamlaka mfatilie.