ENGEN Mikocheni wauza mafuta Machafu?

Wapendwa nilikuwa nafanya kazi zangu nikaona mmoja amelalamikia hii sehemu ya kuchukulia mafuta
pengine imekuwa ikiaminika sana sana lakini mwenzangu ameongelea uchakachuaji wa mafuta mi nilikuwa mpenzi sana wa hiyo sheli ...siku nilijaza mafuta aikwenda mbali ikazima gari

niakmwita fundi pale kwa mwl nyerere akasema mafuta yana maji ama yamechanganywa na kitu akasema mapaka ivutwe kesho tuifanyie kazi nikaita gari nyumban wakaja kuivuta walipotoa mafuta asbh yake ni aibu nikawasha rvr nikawapelekea ......kama uliskia hivi karibuni kuna uongozi umebadikishwa na si hivyo tu walifunga na shell under ultimate moja ya issue ni kuchanganya mafuta na jamaa alikuwa amlipi mhusika aliemkodishia kituo

hii ninayoongea ya leo asbh saa nne dada mmoja kaja kunijazia jamani..upande wa kulia kuna mtu na pickup amejaza mafuta ya alfu hamsini ,, imeandikwa kabisa jamaa alipomaliza akasimama akamwita yule aliekuwa ananijazia akamwambia 40,000 kkumbuka ....jamani nilishindwa kuamini walipomaliza dada anaanza na s nikamuuliza kulikoni anakwamia 40,000 noana imeandikwa 50,000 akanijibu unataka kuongeza na wewe huku anaenda ...loh ..nikakoma nikaenda zangu kujaza full tank pale bp sheraton na kama nao wanapiga mi sijui

ila hiki kituo kina kazi wahindi wamefundwa kujaza mafuta yataa basi imekosa ubora kabisa

with due respect kaka hujasomeka!!
 
Wakuu,

Nipo garage hapa, mafuta wamekuta yalikuwa machafu na nimeshusha tank na kuyamwaga yote.

Nilichoambiwa ni kuwa kuna meli ilileta mafuta machafu, rushwa ikatembea na mafuta yakaachiwa kuingia kwenye soko.

Engen ni victim tu, lakini mafuta haya yapo vituo vingi kwa Dar. TSN ya pale Bamaga nayo imo kwenye vituo nilivyoambiwa.

EngenMikocheni, lengo letu hapa si kukuharibia biashara. Tumeharibikiwa magari ni haki yetu kulalamika na kufahamishana kwa tahadhari. Mmefanya vyema kuja JF kutufafanulia na kuzuia kuuzwa Petroli kwa sasa.
 
Wewe uliosema wamekuchafulia, naomba utueleze una "proof" gani that only mafuta ndiyo imekuharibia? Au unaongelea mashaka tu? Na kama je, kwanini usiwafuate hao wenye sheli uka claim? instead of kulalamika hapo!!
guys pengine huyu hana hata gari... anaropoka tu... Au ni wivu wa watu wengine bcoz naona kama racisicm nyingi tu...

Wewe vipi , kulalamika hapa inasaidia kuwajulisha wengine wasije pata tatizo kama alilopata yeye. na wala siyo yeye peke yake watu kibao wamejitokeza kuishtumu hiyo petrol station na mimi nikiwa mmojawapo kwani nimeweka jana tu nafika pale Henken gari ikaanza kushtka shituka . mimi naona wewe ni mmojawapo wa hiyo sehemu
 
  • Thanks
Reactions: EMT
We would like to assure you and all our customers that the investigation is ongoing. Quality of Fuel is an issue we take seriously. Samples have been collected by relevant authorities. So let's all be patient -- see what may have happened.

We take pride in ensuring quality fuel is available at all times and provide excellent service.

Should you have any concerns regarding any issues, please pop-in the Quickshop/Office and ask for Omari, the station manager.
 
tumewasiliana na engen, wameahidi kuingia jf kutoa ufafanuzi.

Kifupi wanasema wamesimamisha uuzwaji wa mafuta ya petroli na wanajaribu kufuatilia usafi wa mafuta yao.
Maxence nimepita hapo korola zinaendelea kupigwa mchakuchuo kama kawa wasikudanganye hao...kwanza sijui huyo mmiliki wa sasa, wa mwanzoni alikua hata ukimpelekea shida hana mpango na wewe.

Nakumbuka hili la mafuta nikawapelekeaga nikasubiri sikuhiyo mmiliki akaja nikamwonyesha mafuta yake mpaka leo ...nothing akaishia kuchukua simu yangu wacha hiyo..nawashauri msikimbilie yale mayai ya kule ndani wanakuita supermarket niliingia mkenge nikauliza mayai sh ngapi na ya kienyeji wakasema ndio...nilipofika hme keshokutwa yake nikachukua kukaanga zaidi ya 20 nilivunja mamayangu mwanamke yoteeeee yameharibika nikachukua trei moja nikampelekea na yaliobakia ....nilipofika nikauliza dada mmoja wa shell tatizo ni nini akasema pole hayo mayai ya khanga dear awakukwambia...akachukua yai 5 akavunja zote zimeoza sikuwa na hamu hata leo hii niwe na kiu nikisema kuingia mule ndan nahisi maji yameoza sijui watanibadilishaje
 
  • Thanks
Reactions: EMT
wewe uliosema wamekuchafulia, naomba utueleze una "proof" gani that only mafuta ndiyo imekuharibia? Au unaongelea mashaka tu? Na kama je, kwanini usiwafuate hao wenye sheli uka claim? Instead of kulalamika hapo!!
Guys pengine huyu hana hata gari... Anaropoka tu... Au ni wivu wa watu wengine bcoz naona kama racisicm nyingi tu...

javed

punguza jazba rekebisheni matatizo yenu.

..kumbuka haya ni magari yananunuliwa kwa bei kubwa sio kama unavyoenda kumletea hawara huyo bosi wako pale afrikasana...ukimsoma mlalamikaji hana wivu kwa nini asiseme tsn,asiseme oil com..asiseme javed petrol station aseme hiki...

Nahisi kama wamekutuma too late kuwasafisha mie binafsi nimeenda pale na leo hii nilichosikia huyo dada anaambiwa na mwenzake kumbuka sina hamu...

Unaposema asiende kulalamika kule kama hana cont asiulize apate msaada jamani...??ama unapoenda kule kwenye jukwaa la ukubwa si kwamba huna mke ???lakini kinachokufanya kukimbilia ni nini??si upate msaada wa kumtimizia mkeo ..wacha watu wawe huru bana ...kemcho barabarache
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Our stand here is SIMPLE - you have an issue and a problem, something you are not happy with - come see us, and we will LISTEN. We even gave you the contact of the manager, Omari. Karibu sana...you have further concerns you may even escalate to Engen Headquarters
 
We would like to assure you and all our customers that the investigation is ongoing. Quality of Fuel is an issue we take seriously. Samples have been collected by relevant authorities. So let's all be patient -- see what may have happened.

We take pride in ensuring quality fuel is available at all times and provide excellent service.

Should you have any concerns regarding any issues, please pop-in the Quickshop/Office and ask for Omari, the station manager.

you have click ""like"" for javed we are after racism what do you want again our "Ass""??why do you need to come to your office?how sure our security??
wacha wafu tuzike gazi zetu bana kama mmekuja kupata msaada tuko pamoja lakini mnakimbilia post za mshenzi mmoja tu asiye na haya ajui mafuta hayo yatamuathiri na baba yake kama sio mjomba wake kama yeye hana gari/................
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Wewe uliosema wamekuchafulia, naomba utueleze una "proof" gani that only mafuta ndiyo imekuharibia? Au unaongelea mashaka tu? Na kama je, kwanini usiwafuate hao wenye sheli uka claim? instead of kulalamika hapo!!
guys pengine huyu hana hata gari... anaropoka tu... Au ni wivu wa watu wengine bcoz naona kama racisicm nyingi tu...

Mkuu unaweza kudhani ni tatizo dogo, lakini yanayosemwa hapo chini kama yana ukweli, it could be even worse.

Wakuu,

Nipo garage hapa, mafuta wamekuta yalikuwa machafu na nimeshusha tank na kuyamwaga yote.

Nilichoambiwa ni kuwa kuna meli ilileta mafuta machafu, rushwa ikatembea na mafuta yakaachiwa kuingia kwenye soko.

Engen ni victim tu, lakini mafuta haya yapo vituo vingi kwa Dar. TSN ya pale Bamaga nayo imo kwenye vituo nilivyoambiwa.

EngenMikocheni, lengo letu hapa si kukuharibia biashara. Tumeharibikiwa magari ni haki yetu kulalamika na kufahamishana kwa tahadhari. Mmefanya vyema kuja JF kutufafanulia na kuzuia kuuzwa Petroli kwa sasa.
 
m nafikiri JAVED akutake radhi kwanza
hata kama yeye ni dereva wa hao jaamaa anatakiwa ajue hata kama unaendehsa gari ya ofisini unatakiwa kuipenda kuiheshimu sio kwamba kila mafuta /mkojo /mafuta ya taa yanatakiwa kuwekwa kisa watu kadhaa wanufaike na kujaza matumbo yao
mi majuzi nimeweka wazi jamani nilimwaga mafuta half tank nilijaza pale OIL COM sio siri ukitoke UBUNGO kwenda mwenge kuna shell ya OILCOM kabla ujafika mwenge kushoto loh!! sina hamu nimeyamwaga pale ENGEN NJIA YA MBEZI BEACH NAHISI WALINZI NI MASHAHIDII GARI ILIBUMA KABISA ...SASA HATUKO HAPA KUWACHAFULIA WATU TUKO HAPA KUREKEBISHA NA KUTHAMINI MALI ZETU KAMA WAO WANAVYOTHAMINI MAFUTA YAO KWA KUWEKA NA MAFUTA YATAA ILI WAPATE PESA ZAIDI..
 
Dear All, we are very surprised with the reactions here.

We have stopped immediate sell of petrol at our station and will investigate. As to the number people who feel that they got "upepo" - we have have a fully calibrated measuring can.

You are welcome to come and see what our pumps deliver; we are immediately welcoming all those who feel their vehicles have a problem, to bring the vehicles at station. We will then perhaps also compare the 'tests' in your vehicle and what we have in the tank.

Please note recently we had no petrol for 4 days, we had options to buy petrol from depots other than Engen, but we did NOT buy because we wanted to be sure of quality, until we got fuel from the Engen depot, as Engen depot we are required to buy fuel from Engen...we are not taking this lightly...we will check and revert shortly

Its fine to respond but I thought you would be more responsible. It isnt just the question of prooving whether the fuel in car is the same as yours but its the matter of compensation. Acheni ubabaishaji na wizi kama ni kweli. Wengi wa wanaokuja kununua mafuta ni watz wanaosota kupata hela halafu mnawaibia kiulaini. Nasema kama ni kweli nyie ni MANYANG'AU TU.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom