EngenMikocheni
Member
- Jan 20, 2012
- 7
- 7
JF will confirm our ID as halali!...once again, if you have had issues, karibu at station and we will talk to you...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapendwa nilikuwa nafanya kazi zangu nikaona mmoja amelalamikia hii sehemu ya kuchukulia mafuta
pengine imekuwa ikiaminika sana sana lakini mwenzangu ameongelea uchakachuaji wa mafuta mi nilikuwa mpenzi sana wa hiyo sheli ...siku nilijaza mafuta aikwenda mbali ikazima gari
niakmwita fundi pale kwa mwl nyerere akasema mafuta yana maji ama yamechanganywa na kitu akasema mapaka ivutwe kesho tuifanyie kazi nikaita gari nyumban wakaja kuivuta walipotoa mafuta asbh yake ni aibu nikawasha rvr nikawapelekea ......kama uliskia hivi karibuni kuna uongozi umebadikishwa na si hivyo tu walifunga na shell under ultimate moja ya issue ni kuchanganya mafuta na jamaa alikuwa amlipi mhusika aliemkodishia kituo
hii ninayoongea ya leo asbh saa nne dada mmoja kaja kunijazia jamani..upande wa kulia kuna mtu na pickup amejaza mafuta ya alfu hamsini ,, imeandikwa kabisa jamaa alipomaliza akasimama akamwita yule aliekuwa ananijazia akamwambia 40,000 kkumbuka ....jamani nilishindwa kuamini walipomaliza dada anaanza na s nikamuuliza kulikoni anakwamia 40,000 noana imeandikwa 50,000 akanijibu unataka kuongeza na wewe huku anaenda ...loh ..nikakoma nikaenda zangu kujaza full tank pale bp sheraton na kama nao wanapiga mi sijui
ila hiki kituo kina kazi wahindi wamefundwa kujaza mafuta yataa basi imekosa ubora kabisa
Wewe uliosema wamekuchafulia, naomba utueleze una "proof" gani that only mafuta ndiyo imekuharibia? Au unaongelea mashaka tu? Na kama je, kwanini usiwafuate hao wenye sheli uka claim? instead of kulalamika hapo!!
guys pengine huyu hana hata gari... anaropoka tu... Au ni wivu wa watu wengine bcoz naona kama racisicm nyingi tu...
Maxence nimepita hapo korola zinaendelea kupigwa mchakuchuo kama kawa wasikudanganye hao...kwanza sijui huyo mmiliki wa sasa, wa mwanzoni alikua hata ukimpelekea shida hana mpango na wewe.tumewasiliana na engen, wameahidi kuingia jf kutoa ufafanuzi.
Kifupi wanasema wamesimamisha uuzwaji wa mafuta ya petroli na wanajaribu kufuatilia usafi wa mafuta yao.
wewe uliosema wamekuchafulia, naomba utueleze una "proof" gani that only mafuta ndiyo imekuharibia? Au unaongelea mashaka tu? Na kama je, kwanini usiwafuate hao wenye sheli uka claim? Instead of kulalamika hapo!!
Guys pengine huyu hana hata gari... Anaropoka tu... Au ni wivu wa watu wengine bcoz naona kama racisicm nyingi tu...
Tumewasiliana na Engen, wameahidi kuingia JF kutoa ufafanuzi.
Kifupi wanasema wamesimamisha uuzwaji wa mafuta ya petroli na wanajaribu kufuatilia usafi wa mafuta yao.
We would like to assure you and all our customers that the investigation is ongoing. Quality of Fuel is an issue we take seriously. Samples have been collected by relevant authorities. So let's all be patient -- see what may have happened.
We take pride in ensuring quality fuel is available at all times and provide excellent service.
Should you have any concerns regarding any issues, please pop-in the Quickshop/Office and ask for Omari, the station manager.
Wewe uliosema wamekuchafulia, naomba utueleze una "proof" gani that only mafuta ndiyo imekuharibia? Au unaongelea mashaka tu? Na kama je, kwanini usiwafuate hao wenye sheli uka claim? instead of kulalamika hapo!!
guys pengine huyu hana hata gari... anaropoka tu... Au ni wivu wa watu wengine bcoz naona kama racisicm nyingi tu...
Wakuu,
Nipo garage hapa, mafuta wamekuta yalikuwa machafu na nimeshusha tank na kuyamwaga yote.
Nilichoambiwa ni kuwa kuna meli ilileta mafuta machafu, rushwa ikatembea na mafuta yakaachiwa kuingia kwenye soko.
Engen ni victim tu, lakini mafuta haya yapo vituo vingi kwa Dar. TSN ya pale Bamaga nayo imo kwenye vituo nilivyoambiwa.
EngenMikocheni, lengo letu hapa si kukuharibia biashara. Tumeharibikiwa magari ni haki yetu kulalamika na kufahamishana kwa tahadhari. Mmefanya vyema kuja JF kutufafanulia na kuzuia kuuzwa Petroli kwa sasa.
Dear All, we are very surprised with the reactions here.
We have stopped immediate sell of petrol at our station and will investigate. As to the number people who feel that they got "upepo" - we have have a fully calibrated measuring can.
You are welcome to come and see what our pumps deliver; we are immediately welcoming all those who feel their vehicles have a problem, to bring the vehicles at station. We will then perhaps also compare the 'tests' in your vehicle and what we have in the tank.
Please note recently we had no petrol for 4 days, we had options to buy petrol from depots other than Engen, but we did NOT buy because we wanted to be sure of quality, until we got fuel from the Engen depot, as Engen depot we are required to buy fuel from Engen...we are not taking this lightly...we will check and revert shortly