Mtaji wa biashara zangu umeanza kukua, sasa naombeni mnisaidie jambo hili

Kizibo

JF-Expert Member
Jul 3, 2018
3,871
8,381
Heshima kwenu wakuu.

Mimi ni mfanyabiashara mdogo wa duka, Ukerewe . Kuanzia mwezi wa 6 kurudi nyuma, nilikuwa mtu wa kuhemea mzigo kwenye maduka ya jumla hapa hapa Nansio kwa pesa taslim laki 4 na kushuka. Yaani uwezo wangu ulikuwa wa kununua mzigo wa bidhaa kwa laki 2, laki 2.5, laki 3-4 basi.

Kuanzia mwezi wa 6+ mambo yakaanza kubadilika tena kwa kasi ya ajabu. Kutoka mwezi huo wa 6 hadi sasa mtaji umekuwa ukikua na sasa nimefikia uwezo wa kuingiza dukani mzigo wa milioni 2+.

SASA NATAKA NIANZE KUWA NANUNUA BIDHAA MWANZA KWENYE MADUKA AU MACHIMBO AMBAYO HAWA WAFANYA BIASHARA WANAOTUUZIA JUMLA JUMLA HUKU UKEREWE WANAPONUNUA LAKINI SASA SIJUI YALIPO HAYO MADUKA AU MACHIMBO.

Je, wanaonunua mizigo yao yote pamoja?? Yaani anaponunua ngano hapo hapo anaenunua sukari, mafuta ya kula, vinywaji baridi, lotion na mafuta mgando au wananunua kila category ya bidhaa kivyake??

Naomba kwa anaejua maduka au machimbo wanaponunua hawa wafanya biashara wa jumla kwa mkoa wa MWANZA anielekeze.

Je, kuna kiwango ambacho lazima ufikie ili mtu aweze kununua huko??

Kwa mkoa wa Mwanza wapi nipate ngano?
Wapi nipate vinywaji baridi?
Wapi nipate sukari?
Wapi nipate mafuta ya kula

Vyote kwa bei ambayo na mimi naweza kuja kuuza kwa jumla ??

Pia NATAFUTA WAUZA NAFAKA KWA BEI YA JUMLA WA JIJINI MWANZA.

Karibuni
 
Asante sana mkuu
Pamoja mkuu nadhani ukifika hapo liberty utapata pa kuanzia coz hapo liberty wanauza bidhaa za matumizi ya kila siku km sabuni mafuta, pipi, sukari nk ila ukitaka nafaka may be uende sehemu moja inaitwa mabatini huwa naona mashine zimepangana ila ni vyema ukiwauliza vizuri hao jamaa wa liberty watakupa muongozo sahihi
 
Pamoja mkuu nadhani ukifika hapo liberty utapata pa kuanzia coz hapo liberty wanauza bidhaa za matumizi ya kila siku km sabuni mafuta, pipi, sukari nk ila ukitaka nafaka may be uende sehemu moja inaitwa mabatini huwa naona mashine zimepangana ila ni vyema ukiwauliza vizuri hao jamaa wa liberty watakupa muongozo sahihi
Ebwana ubarikiwe sana mkuu, shukurani sana kiongozi
 
Heshima kwenu wakuu.

Mimi ni mfanyabiashara mdogo wa duka, Ukerewe . Kuanzia mwezi wa 6 kurudi nyuma, nilikuwa mtu wa kuhemea mzigo kwenye maduka ya jumla hapa hapa Nansio kwa pesa taslim laki 4 na kushuka. Yaani uwezo wangu ulikuwa wa kununua mzigo wa bidhaa kwa laki 2, laki 2.5, laki 3-4 basi.

Kuanzia mwezi wa 6+ mambo yakaanza kubadilika tena kwa kasi ya ajabu. Kutoka mwezi huo wa 6 hadi sasa mtaji umekuwa ukikua na sasa nimefikia uwezo wa kuingiza dukani mzigo wa milioni 2+.

SASA NATAKA NIANZE KUWA NANUNUA BIDHAA MWANZA KWENYE MADUKA AU MACHIMBO AMBAYO HAWA WAFANYA BIASHARA WANAOTUUZIA JUMLA JUMLA HUKU UKEREWE WANAPONUNUA LAKINI SASA SIJUI YALIPO HAYO MADUKA AU MACHIMBO.

Je, wanaonunua mizigo yao yote pamoja?? Yaani anaponunua ngano hapo hapo anaenunua sukari, mafuta ya kula, vinywaji baridi, lotion na mafuta mgando au wananunua kila category ya bidhaa kivyake??

Naomba kwa anaejua maduka au machimbo wanaponunua hawa wafanya biashara wa jumla kwa mkoa wa MWANZA anielekeze.

Je, kuna kiwango ambacho lazima ufikie ili mtu aweze kununua huko??

Kwa mkoa wa Mwanza wapi nipate ngano?
Wapi nipate vinywaji baridi?
Wapi nipate sukari?
Wapi nipate mafuta ya kula

Vyote kwa bei ambayo na mimi naweza kuja kuuza kwa jumla ??

Pia NATAFUTA WAUZA NAFAKA KWA BEI YA JUMLA WA JIJINI MWANZA.

Karibuni
Sasa wahuni washapata chimbo lako Nansio na biashara zenye mafanikio, wanakuja kukuletea upinzani huko 🤣🤣🤣
 
Kaka wazo zuri sana na hapo ndio faida utaiona... Mim nina kibanda tu nachukua mzigo takribani wa mil 1 kwa wiki yan, vocha, sigara, pombe kali, maji na visoda vya jambo ila unajikamua wiki nzima. Unaambulia faida laki tu
Pambana mkuu hyo laki 1....ni faida ya vocha tu (naomba niwe mdau wako niwe nakuletea vocha za jumla) kama upo seriously
 
Heshima kwenu wakuu.

Mimi ni mfanyabiashara mdogo wa duka, Ukerewe . Kuanzia mwezi wa 6 kurudi nyuma, nilikuwa mtu wa kuhemea mzigo kwenye maduka ya jumla hapa hapa Nansio kwa pesa taslim laki 4 na kushuka. Yaani uwezo wangu ulikuwa wa kununua mzigo wa bidhaa kwa laki 2, laki 2.5, laki 3-4 basi.

Kuanzia mwezi wa 6+ mambo yakaanza kubadilika tena kwa kasi ya ajabu. Kutoka mwezi huo wa 6 hadi sasa mtaji umekuwa ukikua na sasa nimefikia uwezo wa kuingiza dukani mzigo wa milioni 2+.

SASA NATAKA NIANZE KUWA NANUNUA BIDHAA MWANZA KWENYE MADUKA AU MACHIMBO AMBAYO HAWA WAFANYA BIASHARA WANAOTUUZIA JUMLA JUMLA HUKU UKEREWE WANAPONUNUA LAKINI SASA SIJUI YALIPO HAYO MADUKA AU MACHIMBO.

Je, wanaonunua mizigo yao yote pamoja?? Yaani anaponunua ngano hapo hapo anaenunua sukari, mafuta ya kula, vinywaji baridi, lotion na mafuta mgando au wananunua kila category ya bidhaa kivyake??

Naomba kwa anaejua maduka au machimbo wanaponunua hawa wafanya biashara wa jumla kwa mkoa wa MWANZA anielekeze.

Je, kuna kiwango ambacho lazima ufikie ili mtu aweze kununua huko??

Kwa mkoa wa Mwanza wapi nipate ngano?
Wapi nipate vinywaji baridi?
Wapi nipate sukari?
Wapi nipate mafuta ya kula

Vyote kwa bei ambayo na mimi naweza kuja kuuza kwa jumla ??

Pia NATAFUTA WAUZA NAFAKA KWA BEI YA JUMLA WA JIJINI MWANZA.

Karibuni
Mkuu vp soko la vocha hasa Airtel....naweza ukawa retailers wangu niwe nakuuzia bei ya kiwandani tufanye biashara uko..
 
mkuu vocha nachukuaga kidogo tu kama za lakh na 50
Ila vpi kutoka kwake hasa za airtel....kama kwa wiki vocha za laki zinaisha,soko apo sio baya sanaa.

Unajua biashara ya vocha inalipa kuliko maji na juice,yaani vocha za 940,000 faida yake 60,000 [ukiuza rejareja] umekisa 50,0000 [ukiuza jumla]
 
Kwa sukari usihaangaike na liberty, shuka kwenye meli yenu, panda boda mwambie akupeleke kwa Shah, duka lipo nyerere road, huyo ndo supplier mkubwa wa sukari mwanza, na utapata bei nzuri compared to liberty.
Ngano-Pia siku hz Shah anauza ngano, bei yake inapishaana kitu kama sh 100 na suppliers wengine lakn yeye ana uhakika wa mzigo muda wote. Kuna main suppliers wa Azam lakn wao wako buzuruga huko, itakua gharama kwako.

Mafuta ya kula kuna aina 2. Korie na Safi ya Mo.
1. Korie- kuna duka kbsa ambalo nafkr ndo main suppliers wa korie, lipo liberty unapoanza kushuka na barabara ya kwenda daraja la wamasai, lipo upande wa kulia, lina bango kubwa limeandikwa Korie.
2. Safi - main shop ya mo, ipo pale ilipokua hospitali ya manjis inatazamana na msikiti wa wahindi karbia na njia ya kwenda salma cone. Ukifika hapo muulizie mtu anaitwa Philemon, ndo kama sales person wao, huyo atakupa bei halisi ya dukani for that day, cha muhim jifanye unamfaham from someone else ili asikuuzie kama mtu wa reja reja.
Kwa shah pia wanauza mafuta, i thnk wana korie but mostly kunakua na difference ya kama buku hivi between the 3 suppliers. Kazi kwako kufanya window shopping kwanza.
ANGALIZO.
1. Kuwa makini sana na maduka ya liberty maana vishoka ni wengi, kwaio unaeza kupigwa price ya juu. (Thats if ukiamua kununua humo liberty madukani)
2. Hayo maduka nliokwambia wanauza mzigo mkubwa kwaio at least uanzie vitu 5, lets say ndoo 5 za mafuta e.t.c
Kuhusu mavinywaji baridi sijui sana vinapatikana wapi, mayb wengine wakuelezee
USAFIRI.
kuna msela wangu ana tutunja (guta) hua ana bei nzuri, siez weka mawasiliani yake public but if uko interested i might send you his number, ye n mstaarabu kidogo.

All in all nakuombea ufanikiwe kwenye hii biashara yako. Kila la kheri, karibu mwanza.
Kaa chonjo wale mafisi wasikule mtaji wako (unawajua vzur wale wanaovaa vikuku na kuweka kope bandia.
 
Kwa sukari usihaangaike na liberty, shuka kwenye meli yenu, panda boda mwambie akupeleke kwa Shah, duka lipo nyerere road, huyo ndo supplier mkubwa wa sukari mwanza, na utapata bei nzuri compared to liberty.
Ngano-Pia siku hz Shah anauza ngano, bei yake inapishaana kitu kama sh 100 na suppliers wengine lakn yeye ana uhakika wa mzigo muda wote. Kuna main suppliers wa Azam lakn wao wako buzuruga huko, itakua gharama kwako.

Mafuta ya kula kuna aina 2. Korie na Safi ya Mo.
1. Korie- kuna duka kbsa ambalo nafkr ndo main suppliers wa korie, lipo liberty unapoanza kushuka na barabara ya kwenda daraja la wamasai, lipo upande wa kulia, lina bango kubwa limeandikwa Korie.
2. Safi - main shop ya mo, ipo pale ilipokua hospitali ya manjis inatazamana na msikiti wa wahindi karbia na njia ya kwenda salma cone. Ukifika hapo muulizie mtu anaitwa Philemon, ndo kama sales person wao, huyo atakupa bei halisi ya dukani for that day, cha muhim jifanye unamfaham from someone else ili asikuuzie kama mtu wa reja reja.
Kwa shah pia wanauza mafuta, i thnk wana korie but mostly kunakua na difference ya kama buku hivi between the 3 suppliers. Kazi kwako kufanya window shopping kwanza.
ANGALIZO.
1. Kuwa makini sana na maduka ya liberty maana vishoka ni wengi, kwaio unaeza kupigwa price ya juu. (Thats if ukiamua kununua humo liberty madukani)
2. Hayo maduka nliokwambia wanauza mzigo mkubwa kwaio at least uanzie vitu 5, lets say ndoo 5 za mafuta e.t.c
Kuhusu mavinywaji baridi sijui sana vinapatikana wapi, mayb wengine wakuelezee
USAFIRI.
kuna msela wangu ana tutunja (guta) hua ana bei nzuri, siez weka mawasiliani yake public but if uko interested i might send you his number, ye n mstaarabu kidogo.

All in all nakuombea ufanikiwe kwenye hii biashara yako. Kila la kheri, karibu mwanza.
Kaa chonjo wale mafisi wasikule mtaji wako (unawajua vzur wale wanaovaa vikuku na kuweka kope bandia.
Mkuu ubarikiwe sana.

Huyo jamaa yako wa usafiri anaweza akawa anasafirisha kutoka madukani kupeleka Melini??
 
Back
Top Bottom