Kah. Ndio maana wanasema kwenye familia yeyote mwanamke akiwa mchawi ..familia inakwisha...hata huruma Flo umekosa kwa mtu aliyekuzalisha mtoto lol....hebu ona aibu hata kama ni kweli iyo ni biblia gani unayosoma isiyoruhusu msamaha?Mungu atakuweka mahali Pako siku si nyingi..